A Arizona 1 JF-Expert Member Joined Sep 10, 2024 Posts 605 Reaction score 1,279 Jan 22, 2025 #61 Ngongo said: Huyu ni bingwa wa kuropoka. Click to expand... Uduni wa elimu na umaskini umewafanya vijana wa kitanzania hamjui kilichobora Kwa taifa, mnaona ni heri kujikomba (uchawa) Kwa wale wale waliopelekea ufukara wenu ili mrushiwe angalau mifupa. Pathetic
Ngongo said: Huyu ni bingwa wa kuropoka. Click to expand... Uduni wa elimu na umaskini umewafanya vijana wa kitanzania hamjui kilichobora Kwa taifa, mnaona ni heri kujikomba (uchawa) Kwa wale wale waliopelekea ufukara wenu ili mrushiwe angalau mifupa. Pathetic
C Chasaga JF-Expert Member Joined Sep 13, 2024 Posts 279 Reaction score 275 Jan 23, 2025 #62 Subira the princess said: Km babako Click to expand... Kwani baba yake unamjua? Au ni majirani mnakoishi?
Subira the princess said: Km babako Click to expand... Kwani baba yake unamjua? Au ni majirani mnakoishi?
F fazili JF-Expert Member Joined Jun 10, 2011 Posts 16,427 Reaction score 22,418 Jan 23, 2025 #63 eden kimario said: View attachment 3190886 Click to expand... Tujiandikishe CHADEA ndiye mkombozi wetu kutoka mkoloni CCM.
eden kimario said: View attachment 3190886 Click to expand... Tujiandikishe CHADEA ndiye mkombozi wetu kutoka mkoloni CCM.
MADAM T JF-Expert Member Joined Oct 21, 2010 Posts 5,747 Reaction score 2,977 Jan 23, 2025 #64 La gioconda said: Kibaraka wa wazungu jichanganyeni Click to expand... Sawa tu, mbona huko kuna kbaraka wa Waarabu.
La gioconda said: Kibaraka wa wazungu jichanganyeni Click to expand... Sawa tu, mbona huko kuna kbaraka wa Waarabu.
F fimboyaukwaju JF-Expert Member Joined Aug 3, 2020 Posts 2,977 Reaction score 3,798 Jan 23, 2025 #65 eden kimario said: View attachment 3190886 Click to expand... Ha ha ha ja
nyoka in JF-Expert Member Joined Aug 27, 2024 Posts 518 Reaction score 318 Jan 23, 2025 #66 Huyu akipewa nchi kwa ile misimamo alafu akaanza utekaji sijui Nani atamshauri aache, Tunaweza stuka tumebaki sabini nchi nzima hahahaha!
Huyu akipewa nchi kwa ile misimamo alafu akaanza utekaji sijui Nani atamshauri aache, Tunaweza stuka tumebaki sabini nchi nzima hahahaha!
imhotep JF-Expert Member Joined Oct 13, 2012 Posts 55,997 Reaction score 88,219 Jan 23, 2025 #67 La gioconda said: Kibaraka wa wazungu Click to expand... Kibaraka wa Waarabu nae ni nani?
R Rabbon JF-Expert Member Joined Apr 16, 2022 Posts 21,625 Reaction score 33,688 Jan 26, 2025 #68 Lissu umefanikiwa kusafisha chama na kurudisha Imani ya wanacdm na watz Kwa ujumla. Yule kiongozi mwoga wa cccc KAZI anayo!
Lissu umefanikiwa kusafisha chama na kurudisha Imani ya wanacdm na watz Kwa ujumla. Yule kiongozi mwoga wa cccc KAZI anayo!