Huyu muhudumu mrembo wa kwenye mabasi, ni nani mmiliki wa hii mali?

Status
Not open for further replies.

R-K-O

JF-Expert Member
Joined
Jun 27, 2023
Posts
482
Reaction score
2,178
Japo si urembo wa kina Beyonce, Rihana, n.k. ila binti kwa ni mzuri si haba

Huyu binti mdogo anaehudumu kwenye basi ametokea kuwa maarufu sana kwa mitandaoni watu wakivutiwa zaidi na uzuri wake na jinsi alivyo overall, abiria wengine hukata tiketi ya basi kwa kigezo tu basi liwe na huyu binti.

Kwa sasa yupo kwenye mabasi ya BM, hii ni baada ya BM kumpa ofa nono zaidi kuliko alikotoka.

Ila swali linaloumiza vichwa ni kwamba, nani anaimiliki hii mali ?

Your browser is not able to display this video.






 
Tanzania imejaa mabwege wengi.
 
Hana tako
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…