[emoji2][emoji2][emoji2]wabongo aisee, mtu anaweza kua amezungukwa na wanawake wazuri kuliko haka lakini hawaoni, anawaona waliochujwa na CameraKwa upumbavu huu mtachunwa mpaka mufe.
Urembo uko wapi hapo?
Huyu binti maarufu wa kwenye mabasi ni nani anaimiliki hii mali ?
View attachment 2695526
View attachment 2695527
View attachment 2695517
View attachment 2695518
Nimesikitika sanaKwa upumbavu huu mtachunwa mpaka mufe.
Urembo uko wapi hapo?
Mwanamke ukishakuwa mfupi, urembo unautoa wapi?[emoji2][emoji2][emoji2]wabongo aisee, mtu anaweza kua amezungukwa na wanawake wazuri kuliko haka lakini hawaoni, anawaona waliochujwa na Camera
Mnaibiwa na snapCream zitamuuaView attachment 2695530
Tanzania imejaa mabwege wengi.Haka kabinti kametokea kuwa maarufu sana huko kwenye mabasi huku watu wakivutiwa zaidi na urembo wake na jinsi alivyo overall, abiria wengine hukata tiketi ya basi kwa kigezo tu basi liwe na huyu binti.
Kwa kifupi ni kawa maarufu kiasi kwamba wamiliki wa basi la Bm wamemnunua kutoka kampuni yake ya zamani.
Ila swali linaloumiza vichwa ni kwamba, nani anaimiliki hii mali ?
View attachment 2695526
View attachment 2695527
View attachment 2695517
View attachment 2695518
Ulitaka wapakie uchukue namba?Hiyo kaz ya kuweka wadada kwenye gar sielewag maana yake due to the fact that hawana kaz zaid ya kutangaza vituo
Hata mizugo hawapakii kwenye gar
Hana takoHaka kabinti kametokea kuwa maarufu sana huko kwenye mabasi huku watu wakivutiwa zaidi na urembo wake na jinsi alivyo overall, abiria wengine hukata tiketi ya basi kwa kigezo tu basi liwe na huyu binti.
Kwa kifupi ni kawa maarufu kiasi kwamba wamiliki wa basi la Bm wamemnunua kutoka kampuni yake ya zamani.
Ila swali linaloumiza vichwa ni kwamba, nani anaimiliki hii mali ?
View attachment 2695526
View attachment 2695527
View attachment 2695517
View attachment 2695518