residentura
JF-Expert Member
- Mar 1, 2017
- 8,146
- 11,434
Huyo sio classmate/bedmate/sinmate/sexmate wako kweli mzee wa "mate"!!??Kafupi kama nyundo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huyo sio classmate/bedmate/sinmate/sexmate wako kweli mzee wa "mate"!!??Kafupi kama nyundo
Mi naona hela zangu ni zote mkuu.Mnaibiwa na snap
Sasa mkuu llaki tatu si matumiz ya siku mojaMi naona hela zangu ni zote mkuu. View attachment 2695540
we jamaa jau sanaUna mguu na tako lipo ata ukisimama upande upande linaonekana
Huyo mashavu yamejikusanya kama ngano ya maandazi
Sasa mkuu llaki tatu si matumiz ya siku moja
kwa wewe marioo ni sawa maana si unalelewa.Sasa mkuu llaki tatu si matumiz ya siku moja
Wa kawaida sana hutu.Huyu binti mdogo anaehudumu kwenye basi ametokea kuwa maarufu sana kwa mitandaoni watu wakivutiwa zaidi na urembo wake na jinsi alivyo overall, abiria wengine hukata tiketi ya basi kwa kigezo tu basi liwe na huyu binti.
Kwa kifupi ni kawa maarufu kiasi kwamba wamiliki wa basi la Bm wamemwaga mamilioni ili kumsahili kutoka kampuni yake ya zamani ya Tilisho.
Ila swali linaloumiza vichwa ni kwamba, nani anaimiliki hii mali ?
View attachment 2695526
View attachment 2695527
View attachment 2695517
View attachment 2695518
Huyo sio classmate/bedmate/sinmate/sexmate wako kweli mzee wa "mate"!!??
Una mguu na tako lipo ata ukisimama upande upande linaonekana
Huyo mashavu yamejikusanya kama ngano ya maandazi
Sasa mkuu llaki tatu si matumiz ya siku mojaMi naona hela zangu ni zote mkuu. View attachment 2695540
Ahahhah utamuona siku ukifawe jamaa jau sana
nataka nimuone shemeji sasa maana sio kwa kusema huko
Mkuu kwahiyo huwa unakazi ya kuscreen shoot siokwa wewe marioo ni sawa maana si unalelewa.
kwetu wapambanaji tumehaso kuzipata wiki kadhaaView attachment 2695545
The truth shall be told.Mkuu kwahiyo huwa unakazi ya kuscreen shoot sio
Mh kumbe sawa angalia mdomo uli upon uponza kichwaThe truth shall be told.
Marioo is caugh red handed😜😜
Dada mwenyewe mbn WA kawaida Sana yupo normal tu [emoji23] nina kengeza jmnKama umewahi kupanda ndege bila shaka umewaona wahudumu wa mle ndani huitwa air hostess basi na mabasi nao sikuhizi wameweka bus hostess.
Huyu binti mdogo anaehudumu kwenye basi ametokea kuwa maarufu sana kwa mitandaoni watu wakivutiwa zaidi na urembo wake na jinsi alivyo overall, abiria wengine hukata tiketi ya basi kwa kigezo tu basi liwe na huyu binti.
Kwa sasa yupo kwenye mabasi ya BM, hii ni baada ya BM kumpa ofa nono zaidi kuliko alikotoka.
Ila swali linaloumiza vichwa ni kwamba, nani anaimiliki hii mali ?
View attachment 2695556
View attachment 2695550
View attachment 2695551
View attachment 2695553
Km wa kule jeshini tu sioni kaz yaoHiyo kaz ya kuweka wadada kwenye gar sielewag maana yake due to the fact that hawana kaz zaid ya kutangaza vituo
Hata mizugo hawapakii kwenye gar