Huyu Mwafrika mwenzetu "anatisha", anaongea maneno mazito sana kuhusu ujinga wa Waafrika

Sasa weweulikuwa unajibu post hata huekewi mwanzo wake? Ndiyo ylinywe tu.
Kweli ujinga unakusumbua mzee wangu kwaiyo kama umelisha watu matango pori tusizungumze kisa hatukuwepo from the startin!!?
 
Shikamoo Bibi
 


Wala siwezi poteza mda soma post za mtu hovyo kama wewe!
 

Attachments

  • 69480.jpg
    14.9 KB · Views: 6
kuna namna hayuko sawa,,,
 
Unaadika ujinga inakuaje mtu mzima Tena Bibi Kabisa unaishi Maisha ya kujikomba komba kwa wanasiasa . Wewe kwa umri wako 60s unabidi kuutumia kufanya ibada na sio kugeuka Chawa.
Tatizo lako huelewi kuwa kumpa mtu elimu ni sadaka endelevu. Nnaaminihapa utajifunza japo moja. AlhamduliLlah, kwangu hiyo ni ibada kubwa sana. Endelea kunisoma usininyime thawabu za sadakatul jariah.
 
Mpuuzi wewe! Mamayo asingekuzaa ungekuwa mavi tuu!
Endelea kuelimika kijana, ni vyema sana kuwa "mpuuzi" kuliko kuwa mjinga.

Chota madini ya Dhahabu Nyeusi post #1.
 
walimu wa history waliotufundisha miaka ya nyuma kama ndo umejibu swali kwa maelezo yote hayo anakata tu shwaaaaaa na kukuandikia 2/20
Ukikumbana na Mwalimu mimi naendelea kukupa darsa tu, nafaham ni ujinga tu, Kama asemavyo Black Gold juu hapo.

Umeona kuna swali limejibiwa hapo kwenye post #1? Kama hivyo basi ni vyema sana itakuwa nimeuwa ndege wawili kwa jiwe moja.
 
Ujinga wa Waafrika unaanzia kwa Viongozi wao

Ujinga wako ni kusupport jambo lolote hata la kijinga kwa minajili ya kidini
 
Ujinga wa Waafrika unaanzia kwa Viongozi wao

Ujinga wako ni kusupport jambo lolote hata la kijinga kwa minajili ya kidini
Una haki ya kufikiri upendavyo lakini huna haki ya dhana. Fanya tafiti japo kidogo. Siungi mkono chochote wala sipingi chochote nisichokijuwa au nisichokifanyia utafiti.


Hilo la biashara za Kimataifa nnalijuwa vilivyo, huelewi tu kuwa mimi ni Mshauri wa biashara (business Consultant) niliyesajiliwa Tanzania pia. Kwa faida yako tu, itafute Business Consultants Ltd.

Pakuitafuta ni Brela, TRA na Chamber of Commerce, ujiridhishe kuwa nnafaham nnachokielimisha humu JF.

Huwa sikisii. Chota madini.
 
Samia ondoka hapo ikulu ili aingie mtu mwenye UMAHIRI.

Wewe utapangiwa kazi nyingine ya kupanga mafaili kwenye kabati.
Unafaham kuwa DP World wameshaanza kazi za kuweka "mafaili" sawa bandari ya Dar?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…