Huyu Mwafrika mwenzetu "anatisha", anaongea maneno mazito sana kuhusu ujinga wa Waafrika

Huyu Mwafrika mwenzetu "anatisha", anaongea maneno mazito sana kuhusu ujinga wa Waafrika

Hayo yoote anayoyazungumzia kuhusu Africa, angekaa/mngekaa chini kwanza kutafuta mzizi wa Tatizo na sio kulaumu ambao hawajui chochote.
 
Africa imeathirika na kuathiliwa na ukoloni mpala leo, ukoloni wa Muarabu na Mzungu umeacha makovu na athari kubwa Africa kiasi cha Mwafrica mpaka leo kuskip basic concepts za development na civilization.

Mzungu alileta dini Africa na muarabu akaleta dini Africa, WaAfrica wamechukua dini wakachukua uzungu na uarabu pia wakasahau Uafrica wao na kupendana wenyewe.

Ukoloni, Dini na mengineyo vimebaki silaha ya mzungu na muarabu kuendelea kuitawala Africa na kuwaacha WaAfrica hivi walivyo.

Hiyo Ignorance ya mwafrica ni moja ya Kovu ambalo mwafrica ameachiwa na chanzo chake ni divide and rule iliyoletwa na muarabu na Mzungu, huo mnyororo umeshikiliwa mpaka leo ili Mwafrica abaki hivyo kuukata hakuwezi kuja kwa kuongea bali kwa mipango ya muda mrefu na utawala wa chuma utakaowaambia waAfrica njia ya kupita kufikia malengo.
 
Hayo yoote anayoyazungumzia kuhusu Africa, angekaa/mngekaa chini kwanza kutafuta mzizi wa Tatizo na sio kulaumu ambao hawajui chochote.
Anaelezea kwa kina mzizi, chanzo na pia anatoa ushauri wa kina wa njia za kuondokana na huu ujinga.

Ana video nyingi sana za kuelimisha, kila nchi ya Afrika anapita na kutowa elimu.
 
Africa imeathirika na kuathiliwa na ukoloni mpala leo, ukoloni wa Muarabu na Mzungu umeacha makovu na athari kubwa Africa kiasi cha Mwafrica mpaka leo kuskip basic concepts za development na civilization.

Mzungu alileta dini Africa na muarabu akaleta dini Africa, WaAfrica wamechukua dini wakachukua uzungu na uarabu pia wakasahau Uafrica wao na kupendana wenyewe.

Ukoloni, Dini na mengineyo vimebaki silaha ya mzungu na muarabu kuendelea kuitawala Africa na kuwaacha WaAfrica hivi walivyo.

Hiyo Ignorance ya mwafrica ni moja ya Kovu ambalo mwafrica ameachiwa na chanzo chake ni divide and rule iliyoletwa na muarabu na Mzungu, huo mnyororo umeshikiliwa mpaka leo ili Mwafrica abaki hivyo kuukata hakuwezi kuja kwa kuongea bali kwa mipango ya muda mrefu na utawala wa chuma utakaowaambia waAfrica njia ya kupita kufikia malengo.
Huo ndiyo ujinga wetu mkubwa sana, tmeamini elimu ya wazungu kuliko sisi wenyewe kufanya tafiti.

Geography, history na mpa sayansi inaonesha Waarabu siyo wakuja Afrika.

Mfano, soma kisa cha Malkia Bilqis, huyu alitawala kwenye shina la tunalosema Waarabu, huko Yemen mpaka ambayo tunayoiita sasa Ethiopia, na mpaka huko panapoitwa Misr, na mtu kama Sulaiman, akiwa safarini akapata habari za huyu Malkia nawanahitori wengine wansema alimuoa, (sas jiulize Suleiman alitokea waoi akafika kwa malkia wa Sheba huko Yemen akamuoa. Sasa mpaka wa Afrika na Yemen na wa utawala wa Sheba ulikuwa wapi?

Wazungu ndiyo waliipiga mipaka wakiwa Berlin mwaka elfu moja na mia nane na... Kabla ya hapo mipaka ilikuwa wapi?

Waarabu hawakuja Afrika, bali mimi naamini walitokea Afrika wakatawanyika kwenda Asia na sehemu zingine.
 
Imeamuliwa 'next stage' isitishwe. Baadhi ya maombi ya unyenyekevu ya 'theState':

1. Sheria zifuatwe na zile zisizofaa zibadilishwe.
2. Mwakani kuwe na mwendelezo wa kuandika katiba ambapo bunge liundwe na lisilazimike kuingiza wabunge waliopo sasa isipokuwa wale wenye tija.
3. Wabunge wasiokuwa halali waondolewe kutoka bungeni.
4. Ikiwezekana yale majimbo na kata ambayo ilionekana kabisa kulikuwa na upotoshaji wa matokeo basi uchaguzi urudiwe. Uchaguzi wa serikali za mitaa usubirie mpaka katiba mpya.
5. Stahiki za wafanyakazi wa umma na wastaafu zilipwe. Fao la kujitoa lirejeshwe kwa wale waliopoteza ajira.
6. Fungua milango ya nchi ili biashara na mitaji ikaribie na ku-unlock uchumi. Wawekezaji wakaribishwe kwa sera na sheria wezeshi.
7. Wananchi kule kimara walipwe fidia na kwingineko ambapo watu waliumizwa.
8. Ofisi ya DPP na mwanasheria mkuu ifumuliwe na watu watendewe haki.
9. Watendaji wote 'walio-dance the tune' na kuvunja sheria huku wakiumiza watu waondolewe.
10. Miradi ya SGR na Stiegler's iendelezwe pamoja na ile ya barabara lakini upembuzi ufanyike ili ikiwepo isiyo na tija iachwe.
11. Kuna tatizo kubwa sana deni la taifa.. angalau punguza sasa kukopa na weka mazingira ili uvutie wawekezaji na hasa wale wa ndani ambao wameficha matrilioni ardhini na nje ya nchi.
12. Uchunguzi huru ufanyike kwa yale matukio yote ya utekaji, mauaji na mashambulizi dhidi ya binadamu.
13. Ondoa elimu bure kwasababu inajenga taifa lenye 'irresponsible' minds. Angalia namna ya kubadilisha mfumo wa elimu ili uendane na nyakati tulizonazo.
14. Fanya maridhiano na wapinzani na taasisi zilizotengwa ili kuleta umoja wa kitaifa.
15. Serikali iendelee kubaki Dodoma na ikiwezekana ikulu ya Dar es salaam pajengwe kituo maalum cha utalii.
16. Chama bado kina misingi mizuri, imarisha kwa kuteua watu wenye maono na uzalendo kwa nchi.
17. Sisi hatutakuja kukuingilia, teua na unda timu kwa kadri unavyoona inafaa.. watendee watu haki nasi tutaendelea kukuunga mkono.

18. Mpaka sasa umetuonesha mwanga mwema nasi kwakuwa tunaipenda nchi tumesitisha 'mipango' yetu ili utimize majukumu yako na kusimamia haki.

Tulishauri, hakusikiliza na sasa hayupo. Nimepewa ujumbe, nimeufikisha.

Watu kama wewe mmelezewa vizuri sana na post namba 1. Kinachowasumbuwa ni:

 
Ujinga WA mwafrika ni kama kuhonga bandari Zetu milele na milele Kwa mwarabu WA DP world kisa katoa mlungula
 
Ujinga WA mwafrika ni kama kuhonga bandari Zetu milele na milele Kwa mwarabu WA DP world kisa katoa mlungula

Ujinga ni huo wa kujifanya unajuwa kumbe huna unachokijuwa.

Umeshawahi kuiona bandari?
 
Kama kichwa cha habari kinavyosema, katika pita pita yangu mtandaoni nimekumbana na hii video. Kwa mtazano wangu, huyu jamaa ana upeo, muono na mawazo mapana sana na ana kipaji cha kuzifikisha fikra zake kwa ufasaha na utulivu wa viwango vya juu kabisa. Ana uchungu na ujinga wetu Waafrika na anaufafanuwa vizuri sana. tafadhali msikilize mwenyewe upanuwe mawazo. Hili ni zaidi ya somo. 👇🏾



Tafsiri ya Kiswahili kwa msaada wa google ya anachokisema👇🏾

(what's up family this is your man not your boy gold black to AfricaI did a video that did not actually go through
being that uh the reception is off but I'm back and I would like to really share with)


Nini habari familia, ni mtu wako si kijana wako, salaam kutoka kwa Dhahabu Nyeusi kwa Afrika.

Nilifanya video ambayo kwa kweli haikupanda kwenye mtandao, mtandao haukuwa vizuri ukazimwa lakini nimerudi tena na ningependa kushiriki na Ninyi nyote, mnisamehe, nafahammu wengi wenu huenda msipende jina la ujumbe wangu "Nakabiliana na Ujinga uliojazwa na ukoloni kwenye akili za (ki) Afrika". tunaposikia maneno kama" ujinga" tuelewe kuwa neno ujina siyo tusi bali ni neno ambalo watu wengi linaweza kuwatatiza na kuwashughulisha lakini tuchukulie kuwa ujinga sio kosa, ni sifa kwa sababu tunajuwa kuwa ujinga unamaanisha mtu ambaye hana ujuzi au ni mtu ambae hana ufahamu wa kitu fulani, na na pia ni kile kilicho juu ya uwezo wa mtu.

Wengi wa ndugu zangu wa Afrika hatuelewi kuwa ni ujinga kujifanya tunajuwa namna ya wenzetu wa kutoka nje na wageni wetu kutoka nje kuwa wanawaza na kufikiri kama sisi.

Kina kaka na akina dada ninaowaona hapa Afrika wana shida sana linapokuja suala la kukabiliana kibiashara na watu wa nje. Kutokuelewa mawazo ya kigeni ndio utaona Mwafrika anateseka anapokaa mezani na wale ambao anafanya nao biashana, hata haelewi mawazo ya biashara za kibepari na njia za kufanya nao biashara. jambo ambalo hupelekea kupoteza faida, kimsingi biashara ni faida.

Lakini hiyo sio haswa kile ninachozungumzia linapokuja suala la ujinga wa Afrika. Najuwa wewe unaona nalisema hili kiwepesi sana. Siyasemi haya kwa nia ya kumkosea mtu yeyote. Ni wazi, wakati mimi naanza kuangalia mienendo ya hapa hivi karibuni nikaona muono wa kikoloni.

Inaendelea post # 53

Vip lakin ameuchambua mkataba au nae ni wale wale
 
Endelea kubaki na ujinga wako, kama Dhahabu Nyeusi anavyosema hapo juu, siyo maneno yangu hayo. Usinizozomokee. Wewe basi hata tofauti ya Oman na Dubai huielewi jalafu unajifanya unajuwa, ndiyo ujinga wa Mwafrika anaousema Dhahabu Nyeusi huo. Tumia muda wako kufanya japo kijitafii kidogo ili uelewe tofauti ya Oman na Dubai wanapotokea DP World.

Nafaham, hukumuelewa Dhahabu Nyeusi kwa kumsikikiza, lakini farijika kidogo, nimeshaweka tafsiri ya Kiswahili kwa msaada wa google, rudi juu ukamsome.

Swali kwako: Hivi Tanzania hii Akasankara hauna hata shemeji wa kusingiziwa wa Kiarabu?
kasome kifungu cha 23 kuna muda wa mkataba halafu rudi useme hujauzwa pia kifungu cha 27 kinazuia matumizi ya taratibu halali za kimataifa ktk mradi huu , wekeni udini ukifika muda tutalia wote
 
Huu wa kutoa bandari bure
Usitudanganye na wala usijidanganye.

Bandari inaboreshwa na kusimamishwa wima bure, cheza na wajomba zetu wewe. Hatuna wajomba mambumbu wasiooelewa maana ya kusimamisha kama waleeeee.
 
Usitudanganye na wala usijidanganye.

Bandari inaboreshwa na kusimamishwa wima bure, cheza na wajomba zetu wewe. Hatuna wajomba mambumbu wasiooelewa maana ya kusimamisha kama waleeeee.
Kwahiyo hii nchi ina mambumbu. Daaah
 
Endelea kubaki na ujinga wako, kama Dhahabu Nyeusi anavyosema hapo juu, siyo maneno yangu hayo. Usinizozomokee. Wewe basi hata tofauti ya Oman na Dubai huielewi jalafu unajifanya unajuwa, ndiyo ujinga wa Mwafrika anaousema Dhahabu Nyeusi huo. Tumia muda wako kufanya japo kijitafii kidogo ili uelewe tofauti ya Oman na Dubai wanapotokea DP World.

Nafaham, hukumuelewa Dhahabu Nyeusi kwa kumsikikiza, lakini farijika kidogo, nimeshaweka tafsiri ya Kiswahili kwa msaada wa google, rudi juu ukamsome.

Swali kwako: Hivi Tanzania hii Akasankara hauna hata shemeji wa kusingiziwa wa Kiarabu?
Wewe ni Wakala wa DP world?
 
Back
Top Bottom