Huyu mwanamke ana tatizo gani?

Mawazo haya nimeyachukua mkuu,Ahsante sana!
 
Hongera tajir 1.5m SI haba ila kapime DNA huyo mtoto.
Mkuu kwa hiyo kumtumia mwanamke wako aliye na mwanao Tsh 1.5 kwa mwezi kwenu ni hela nyingi?

Aisee kama kuna kitu ambacho vijana inapaswa mkikatae kwa nguvu zote ni Umasikini,yaani Vijana mnashangaa mimi kumtumia mwanamke niliyezaa naye Tsh 1.5 M kwa mwezi?,Serious kabisa?
 
Nimesoma username ikabidi nifute comment.

Umefanya sahii anko.
 
Kwan wapi niliposhangaa mkuu? Mm nimekupa hongera tu binafsi Sina uwezo huo maana kipato changu chenyewe kwa mwezi hakifikii huko ni kweli umaskini sio kitu kizuri na hakuna anayeupenda.
 
Mkuu kama hutojali nataka nikutoe out ili u-experience aina nyingine ya maisha,maana hayo unayoishi ni kama yamekufunga akili!

Chagua nchi yoyote unayotaka kwenda nitakulipia Gharama zote kwa muda wa siku 7!

Ukiwa tayari nicheki pm
Hahaha naona unayajua sana maisha yangu Punguza majigambo ndugu
 

 
Hii vita bado mbichi 😹😹😹
 
huna iyo hela na huji kuipata
Vijana walalahoi hapa JF huwa mnajifariji sana!

Mimi nitaendelea kuwadharau kwasababu pesa siibi wala siokoti,napambana huko mikoani kuitafuta pesa,hivyo nitaendelea kuwaonyesha nyodo na dharau kwasababu wengi wenu ni wapumbavu!
 
1.5ml Per month hebu kwanza tufafanulie hapo, au we ni Bill Gate
 
Story yako nzuri, ila wewe kijana ni muongo.
 
Sasa kumuandika mtoto wake si ni sawa tu na kuandika yeye mwenyewe
 
Roycol mchuzi mix
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…