kruzostom
JF-Expert Member
- Sep 6, 2024
- 310
- 419
Jitaidi mrejesho utuletee usisahau.Nitaleta mrejesho
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Jitaidi mrejesho utuletee usisahau.Nitaleta mrejesho
Astaghafilulah.... Yaani unatangaza kusagana kama ni jambo la maana? Kwa nini mmekuwa na huo mchezo wanawake wa siku hizi? Ni uchafu.Wakuu kuna manzi mmoja anafanya kazi kwenye duka karibu na langu nimemzimika ile laana. Uzuri wa huyu manzi ni ngumu kuuelezea kwa lugha za kibinadamu. Wanawake wote duniani wakichanga uzuri ndo watafikia robo ya uzuri wa huyu manzi.
Huwa naenda dukani kwao kupata huduma za kifedha na nikafanikiwa kujenga mazoea hadi kubadilishana namba za simu. Sasa last week aliniomba nimnunulie lunch nami bila kusita nikatekeza kama Tsh 15,000/= kwa ajili ya lunch. Jana kwa raha zangu nikamtumia mpunga mida ya lunch akapate msosi ila jibu lake lilinishangaza sana. Alisema anashukuru ila tafadhali nisiwe namtumia pesa. Kwa upande wangu nimejiuliza kama kweli hapendi kutumiwa hela au ni kujifanya mkristo kuliko kristo mwenyewe?
View attachment 3187655
Niliwah kumpata wa hvyo hatak kutumiwa hela wala kurushiwa hela ya salio,kumbe alikuwa ananisogeza aniombe hela kubwa,siku nimejaa vzur niliombwa hela kubwa mpaka nikashangaaOngeza hela uone kama kauli itabaki hiyo hiyo.
Utakuta hata mama yako mzazi humtumii hela na ni muhitaji.Wakuu kuna manzi mmoja anafanya kazi kwenye duka karibu na langu nimemzimika ile laana. Uzuri wa huyu manzi ni ngumu kuuelezea kwa lugha za kibinadamu. Wanawake wote duniani wakichanga uzuri ndo watafikia robo ya uzuri wa huyu manzi.
Huwa naenda dukani kwao kupata huduma za kifedha na nikafanikiwa kujenga mazoea hadi kubadilishana namba za simu. Sasa last week aliniomba nimnunulie lunch nami bila kusita nikatekeza kama Tsh 15,000/= kwa ajili ya lunch. Jana kwa raha zangu nikamtumia mpunga mida ya lunch akapate msosi ila jibu lake lilinishangaza sana. Alisema anashukuru ila tafadhali nisiwe namtumia pesa. Kwa upande wangu nimejiuliza kama kweli hapendi kutumiwa hela au ni kujifanya mkristo kuliko kristo mwenyewe?
View attachment 3187655
Unachokitafuta utakipata jipe muda wewe kobe unachinjwa kwa timing subiri ujae kwenye mfumo ufumuliwe ulete story nyingineHuwa naenda dukani kwao kupata huduma za kifedha na nikafanikiwa kujenga mazoea hadi kubadilishana namba za simu. Sasa last week aliniomba nimnunulie lunch nami bila kusita nikatekeza kama Tsh 15,000/= kwa ajili ya lunch. Jana kwa raha zangu nikamtumia mpunga mida ya lunch akapate msosi ila jibu lake lilinishangaza sana. Alisema anashukuru ila tafadhali nisiwe
[emoji2][emoji2]Ameandika everytime sio never mkuu.
Usijali mama mkubwa.... huwa namtumia sana mama labda kama hakuambii wewe dada yake.Utakuta hata mama yako mzazi humtumii hela na ni muhitaji.
Utajijua mwenyewe na ushetani wakoSawa Dada Tajiri. Kuamini sio kosa kisheria. Endelea kuamini huo upuuzi.
Hakuna Huo Ulazima hata kidogo Wewe Ni Boya Uzuri wa Mwanamke Uko kwenye Jicho lako Mke Wako Watu Wanamsifia Mzuri mpaka Wanawake Wenzie Ila mimi Kwa sasa Ñamuona mbona Kama Pua kubwa Sana Siku Ingine Naona Angekuwa mwembamba Kidogo Ila Najua shida ni Kwamba Nimeshamzoea hata wewe Baadae Utakuwa Kama mimi Kwa Huyo Demu hivyo Punguza Mihemko.Mkuu nimekuelewa vema sana. Naahidi kuiacha hii tabia ya kusifia manzi hadi pale ulazima wa kufanya hivyo utakapojitokeza.
loh!Kama kweli ni mzuri kulingana na hayo maelezo yako, basi atakuwa na mtu
Sasa anapima amuache aliyenaye aje kwako kweli?
Hii tunaiita bullish reversal
Ongeza mtaji kaka, upindue soko.
UumbwaaaUsijali mama mkubwa.... huwa namtumia sana mama labda kama hakuambii wewe dada yake.