Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sawa na ujenzi kwenye umaliziaji ukishapaua.Lugha adhimu ya kiswahili hainaga nafasi kwenye haya mambo. Si hata yule mtu asiyejua kuandika vizuri kiswahili lazima atupie maneno kadhaa kwa lugha ya kiingereza linapofika suala la mapenzi.
😹😹😹Ameandika everytime sio never mkuu.
😂😂MamaSamia2025 sasa nimeyathibitisha maneno ya MangeKimambi kwamba wewe ni msagaji.
Nimecheka sanaMi nikajua kazirudisha 😹😹😹
Huyo muongo hakuna mwanamke asiyependa msg za namba zimechanganyikana na herufi sijui Nbdfvdvb1289 weeeh Thubutuuu 🤣
Acha kutudanganya kuhusu uzuri wa huyo manzi yako.Wakuu kuna manzi mmoja anafanya kazi kwenye duka karibu na langu nimemzimika ile laana. Uzuri wa huyu manzi ni ngumu kuuelezea kwa lugha za kibinadamu. Wanawake wote duniani wakichanga uzuri ndo watafikia robo ya uzuri wa huyu manzi.
Huwa naenda dukani kwao kupata huduma za kifedha na nikafanikiwa kujenga mazoea hadi kubadilishana namba za simu. Sasa last week aliniomba nimnunulie lunch nami bila kusita nikatekeza kama Tsh 15,000/= kwa ajili ya lunch. Jana kwa raha zangu nikamtumia mpunga mida ya lunch akapate msosi ila jibu lake lilinishangaza sana. Alisema anashukuru ila tafadhali nisiwe namtumia pesa. Kwa upande wangu nimejiuliza kama kweli hapendi kutumiwa hela au ni kujifanya mkristo kuliko kristo mwenyewe?
View attachment 3187655
izo ndo dalili zenyew sasa. utulie sasa anatomb.wa m2 sasaivi. ngoja upige chabho.Ni mwendo wa ngeli tu mwanzo mwisho
Nashukuru sana mkuu. Ninakuahidi kutoufanyia kazi ushauri wako. Asante sana."Don't do this everytime"
Hii kauli inaonyesha unatuma tuma sana pesa kwake, muda mwingine hata bila sababu ya msingi.
Inafikia stage mpaka anakuonea huruma anaona ni kama huna malengo vileee...!!
Badilika mkuu, Don't be a nice guy!
Sawa 👍🏾Nashukuru sana mkuu. Ninakuahidi kutoufanyia kazi ushauri wako. Asante sana.
Wakina G sio watu wakuaamini kabisaWakuu kuna manzi mmoja anafanya kazi kwenye duka karibu na langu nimemzimika ile laana. Uzuri wa huyu manzi ni ngumu kuuelezea kwa lugha za kibinadamu. Wanawake wote duniani wakichanga uzuri ndo watafikia robo ya uzuri wa huyu manzi.
Huwa naenda dukani kwao kupata huduma za kifedha na nikafanikiwa kujenga mazoea hadi kubadilishana namba za simu. Sasa last week aliniomba nimnunulie lunch nami bila kusita nikatekeza kama Tsh 15,000/= kwa ajili ya lunch. Jana kwa raha zangu nikamtumia mpunga mida ya lunch akapate msosi ila jibu lake lilinishangaza sana. Alisema anashukuru ila tafadhali nisiwe namtumia pesa. Kwa upande wangu nimejiuliza kama kweli hapendi kutumiwa hela au ni kujifanya mkristo kuliko kristo mwenyewe?
View attachment 3187655
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Kuna mmoja alianza niki mtoa out anawai kulipa kila event anawai kulipa nika muuliza vipi aka dai ana penda tu nisimuone wa vile.
kumbe nilkua naingizwa kwenye mfumo ,Alivyo anza kutuma missile ilikua ni hatarii mwanzo niliona kawaida tu maana nilizani sio wa vile bhana baadae nika shtuka [emoji28][emoji28]
I know this.... every woman has got two or more men.A woman can be very tricky sometimes, it seems that she will need your money sometimes but she doesn't want to create an attachment that will lock her in, because as for the moment, she has a dude who covers pretty much everything. Don't worry she's gon keep you in that infinite loop until somebody uses the kill command or system call.