Huyu mwanamke ni kweli hapendi kutumiwa pesa au ni janjajanja zake?

Huyu mwanamke ni kweli hapendi kutumiwa pesa au ni janjajanja zake?

Hapo anakusubiri ujae kwenye mfumoo ulee mtamaa wa hela ya maana sio hivyo vihela mbuzrii unavyompa... pia inawezekana anaogopa kukupuna sana na hakupendi siku kikiumana moto unaweza kuwa mkubwa maana huwa hawakatai hela hao
 
Wakuu kuna manzi mmoja anafanya kazi kwenye duka karibu na langu nimemzimika ile laana. Uzuri wa huyu manzi ni ngumu kuuelezea kwa lugha za kibinadamu. Wanawake wote duniani wakichanga uzuri ndo watafikia robo ya uzuri wa huyu manzi.

Huwa naenda dukani kwao kupata huduma za kifedha na nikafanikiwa kujenga mazoea hadi kubadilishana namba za simu. Sasa last week aliniomba nimnunulie lunch nami bila kusita nikatekeza kama Tsh 15,000/= kwa ajili ya lunch. Jana kwa raha zangu nikamtumia mpunga mida ya lunch akapate msosi ila jibu lake lilinishangaza sana. Alisema anashukuru ila tafadhali nisiwe namtumia pesa. Kwa upande wangu nimejiuliza kama kweli hapendi kutumiwa hela au ni kujifanya mkristo kuliko kristo mwenyewe?
View attachment 3187655
Zingatia “everytime”
Halafu kwa hiyo hata tukichanga uzuri wetu hatumfikii huyo ni balaa 😅😅😅😅😅
 
Ngoja akuimbishe hivyo hivyo mpaka ujae kwenye mfumo.
 
Back
Top Bottom