Huyu mwanamke ni kweli hapendi kutumiwa pesa au ni janjajanja zake?

Lugha adhimu ya kiswahili hainaga nafasi kwenye haya mambo. Si hata yule mtu asiyejua kuandika vizuri kiswahili lazima atupie maneno kadhaa kwa lugha ya kiingereza linapofika suala la mapenzi.
Sawa na ujenzi kwenye umaliziaji ukishapaua.

Hata kama haujasoma, hakuna neno la kiswahili linalotumika kwenye hatua ya 'finnishing', ni ngeli tupu kwa kwenda mbele, mf: wiring, tiles, gipsum, silk colour, biding wire, murble nk nk.
 
Mi nikajua kazirudisha ๐Ÿ˜น๐Ÿ˜น๐Ÿ˜น
Huyo muongo hakuna mwanamke asiyependa msg za namba zimechanganyikana na herufi sijui Nbdfvdvb1289 weeeh Thubutuuu ๐Ÿคฃ
 
Anajua unampenda, ila hataki mahusiano na wewe kwa sasa, wala hataki maswali ya 'mbona hela zangu ulikula' so uko friendzoned. She wants you to stay there. Usiwe head-over-heels kwake ukamuharibia kwa bwana wake.
 
Acha kutudanganya kuhusu uzuri wa huyo manzi yako.
 
"Don't do this everytime"

Hii kauli inaonyesha unatuma tuma sana pesa kwake, muda mwingine hata bila sababu ya msingi.

Inafikia stage mpaka anakuonea huruma anaona ni kama huna malengo vileee...!!

Badilika mkuu, Don't be a nice guy!
 
Dah! Yani unatuma pesa na unascreenshot na muamala kuonesha umemtumia?๐Ÿ˜ƒ

Aah Mkuu unajali sana ase.
 
"Don't do this everytime"

Hii kauli inaonyesha unatuma tuma sana pesa kwake, muda mwingine hata bila sababu ya msingi.

Inafikia stage mpaka anakuonea huruma anaona ni kama huna malengo vileee...!!

Badilika mkuu, Don't be a nice guy!
Nashukuru sana mkuu. Ninakuahidi kutoufanyia kazi ushauri wako. Asante sana.
 
Wakina G sio watu wakuaamini kabisa
 
Acha siasa, una simu mbili unajitumia huku na huku na kujijibu.
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
A woman can be very tricky sometimes, it seems that she will need your money sometimes but she doesn't want to create an attachment that will lock her in, because as for the moment, she has a dude who covers pretty much everything. Don't worry she's gon keep you in that infinite loop until somebody uses the kill command or system call.
 
I know this.... every woman has got two or more men.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn moreโ€ฆ