Huyu mwanamke ni mzuri kama malaika, halafu mlokole

Ndipo yatakapotimia yaliyotabiriwa [emoji16] umeyasema kilokole, umeokoka? Unampenda Yesu?
Yaliyotabiriwa na Mwana yule ajae πŸ˜…πŸ˜…

Lakini Wasijekusahau kutumia zana za kilimo.

πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜„sijaokoka ndugu yangu.maisha ya walokole yamejaa unafiki sana.mpende jirani yako kama nafsi yako..hii amri ni ngumu sana kwao.

πŸ˜„mimi ni mdhambi sanaaa…lakini ninaamini Mungu yupo.ninaweza nisiende kanisani hata mwaka mzima lakini karibu kila siku ninamgusa Mungu Kwa namna ya kipekee kabisa na Mungu anajidhihirisha maishani mwangu.yapo mengi ya kumtukuza nayo lakini mimi si mlokole.

Again…mimi ni mdhambi kishenzi πŸ˜„
 
Dooh! Hivyo Mtani mpaka leo bado ulikuwa unatafuta. Lol
 
Akisha kutenda ndo utajua ni malaika au laaah
Enyiwei usiache kuleta mrejesho ukishapigwa na kitu kizito
 
Ni mzuri zaidi ya CEO mstaafu wa timu yetu pendwa?
 
Tusipoteze muda em turushiane asali hiyo.

Pm iko wazi, acha namba zake pale
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…