Huyu Mwanamke tangu alipokuja kwangu kang'ang'ania kukaa hataki kuondoka

Jamaa alitakiwa a apply HIT & RUN tatizo jamaa Ni good behave SANA

Kuna mshikaji wangu enzi za ujana jamaa katili jamaa anachakata Mara mbili au tatu anamwambia demu TUSIJUANE.. Msela wangu katili Sana Ila ndio ametangaza ndoa anaoa mwezi HUU
Hahaha kapatwa yeye sasa 🤣🤣, Mimi nisipokukubali hata muda wangu sikupi asee....
 
Same same,
 
Hahaha kapatwa yeye sasa 🤣🤣, Mimi nisipokukubali hata muda wangu sikupi asee....
Kuna,
wadada Wana upendo balaa Mimi nimewai kupendwa na watu (wadada) mpaka ikawa kero LOVE IZ BLIND

Pia kabla sijaoa nilikua nisipo MUELEWA MTU ntamu avoid Kuna visa Kama kumi Umenikumbusha😂😂😂

Hivyo vilipaswa viwekwe kwenye Uzi wa Rick boy😊😊 natania tuuu..

It's better kua frankly na honestly usimpotezee muda MTU Kama humuitaji na hauna mpango nae Mwambie ukweli ili aumie ajifunzee..
 
😂😂😂
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]nimecheka eh!
 
Hama haraka hapo. Kisirisiri. Kifuatacho itv ni mimba ndio utashindwa kuchomoka kabisa. Ila kuna saa wadada tunaaibisha aisee... mpaka inaboa
 
Kuna sehemu umesema baby mama wako unakutana nae kwenye chumba cha mshikaji? hapo ndio nimegundua story yako haina uhalisia. Sorry for wasting my time on it
 
huyu hana sifa za kuwa wife material mkuu.....
Istoshe ninae mzazi mwenzangu tayari
 
Kuna sehemu umesema baby mama wako unakutana nae kwenye chumba cha mshikaji? hapo ndio nimegundua story yako haina uhalisia. Sorry for wasting my time on it
funzadume ungesoma vizuri ungenielewa tu.
Hii sio story wala drama kaka ndo maisha ninayopita kwa wakati huu.
 
Huu uongo angalia watu wa kuwaeleza!

Yaani mtu humtaki bado uendelee kukaa nae, kisa?

Nunua zile pilipipi ndefu nyekundu tiii au zile kichaa zilizokauka chomea ndani akitoka tu weka kufuli kaishi kwa mshikaji hata mwezi then usiku 1 hamisha vyombo vyote nenda kaishi kwingine

Kama ana nia njema na wewe kwa nn habebi mimba

Nyoko zako kenge wewe!
 
ndomana sitaki kuendelea kaa nae.
Pilipili ndo zitamfukuza mkuu?au zitampa kichaa?

Mimba atabeba vipi ikiwa sina mpango nae?iko hvi bado sijanasa kwenye mtego wake wa mimba.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…