Huyu Mwanamke tangu alipokuja kwangu kang'ang'ania kukaa hataki kuondoka

Hii ndio i
Hii ndio inaitwa Kamba ya jamiii ya wakamba sio?!
 
Kama sio chai basi mkuu unamtihani mmoja tu. Kule umezalisha utalaanika ukimwachavuliezaa nae kwa sababu ya huyu. Ila ungekua hujazaa kule huyu ungesonga nae tu. Wanawake wa hivyo huwa wanajali na kujali ustawi wako pia kwa sababu hiwa wanaona kiwa wamefika na wanatakiwa kitengeneza keaho yao kupitia walichokipata sio wale wa leo yupo kesho haeleweki. Huyo kanyooka naelewa anataka nini. Analutaka wewe kwisha
 
Se

Sema hii ni chai, hamuwezi kumaliza mwaka kwao na demu hamjaenda. Akimfia hapo ndani atamzika wapi..?
Mapenzi Ni ya ajabu nimeshuhudia mengi Sana..

Tuliwai ingia penzini na mtu ambae hatujuani Ila tupo field moja kwenye industry..

Hajui napo kaa sijui anapo kaa tulivyo kuaa nikama tulikua tunajuana zamani tulisaidiana mengi Sana tulikua na ukaribu Sanaa Kuzid wazazi na ndugu (Siri , Mali, Miradi, Pesa, upendo) sema TU Mimi sikumpenda yeye alinipenda Zaid..

Niliweza kumkosea Mara kadhaa makosa yasiyo sameheka Ila ilikua nikimfuata akaiona sura yangu ananisamehe..

Mapenzi Yana maajabu na nguvu balaa
 
Usipende kupeleka kila mwanamke nyumbani kwako, kuna wale mnamalizana juu juu huko. Akishakuwa rafiki, which means mmefahamiana vizuri hapo unaweza kumleta ghetto apafahamu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…