Huyu Mwanamke tangu alipokuja kwangu kang'ang'ania kukaa hataki kuondoka

Huyu Mwanamke tangu alipokuja kwangu kang'ang'ania kukaa hataki kuondoka

Tena hiyo laki ya juu aliniletea mm msela wake ambaye ndio nipo kwenye hili geto aliloliacha.

Alisema amelipata mbwigira mbwigira mmoja hv anamalizana nae kwa maana hajui show.
 
Aina hiyo ya uoaji sitaki kuiongelea. Ila hayo ya kupigana mangumi siwezi kuvumilia mwanamke wa ivyo.
 
Mume, amka zako kama unaenda job beba nguo....tokomea huko muache abaki anadate mwenyewe.
Hata mimi niliwaza hivi hivi, au aweke mambo yake fresh ila asimwoneshe dalili za kumkimbia! akiwa tayari ampe kiasi flani cha pesa ikiwa kama kamugiza mbali ( sehemu ya kutumia masaa zaidi ya 6 au siku nzima) yeye anarudi anasomaba vitu vyake, business closed.
 
Wakuu habari za muda na wakati kama huu.

Binafsi naamini wengi wetu tu wazima wa afya na wale wachache wenye changamoto fulani kiafya basi Mungu awatie nguvu na awape steps zingine ahead.

Niende kwenye mada moja kwa moja.
mnamo tarehe sita ya mwezi wa saba mwaka jana niliamishwa kituo cha kazi sasa niko mkoani huku kanda ya kati.
Nimeishi mwenyewe kwa mwezi mmoja na nusu mpaka kufikia mwezi wa tisa nikawa nimepata mwanamke wa kuishi nae.mwanamke huyu nilikutana nae jioni moja ndani ya supermarket akiwa anapata mahitaji yake kama ilivyo kawaida.

Tuliongea vizuri hiyo siku tukabadilishana namba,kesho yake tuliongea vizuri zaidi kwa njia ya simu tukapanga kukutana,sikuwaza sana kuhusu mazingira ama eneo la kukutana nikamwambia aje kwangu nae hakusita akakubali.

Kweli kesho ingine jioni mida ya saa kumi na mbili alifika kwangu tukapata chakula pamoja tukafurahi tukalana kisawa sawa mpaka mida ya saa nne usiku.nikajaribu kumwambia kuhusu kumpigia dereva wangu wa tax amrudishe,manzi akasema sio mbaya ata akilala kwa siku hiyo moja kwani sijapenda kampani yake?mwanaume nikasema aah! kulala tu sio big deal sana lala tu mama i real appreciate your company

Manzi akalala,usiku mzima ikawa ni fujo tu.....gheto likageuka msitu mtoto full kucheza na miti.asubuhi hii hapa nikaamka mapema nikajianda kabla sijaondoka nikamuachia maelekezo nikaingia mzigoni,nikajua nikirudi sito mkuta coz ndo tulivokubaliana na alisema nimuachie funguo moja then akija next time atakuja nayo.

Jioni narudi ghetto namkuta ndani karelax na wala hana ata wasiwasi tena kapiga deki vizuri kapulizia malashi katandika kitanda katulia anatizama movie.na kubwa zaidi kapika mpaka na chakula cha jioni.

Daah!sikutaka kuhoji sana maana alivonipokea nilijihisi kama mfalme vile. chap maji yakapelekwa bafuni nikapewa taulo moja kwa moja kuoga.siku ya pili ikapita ya tatu ya nne narudi toka mzigoni nakuta mtoto kafatia nguo zingine kwake.

Kumbe nilikuoa nimeoa bila kujua wakuu,mwezi ukaisha miezi mitatu ikapita mwezi wa kumi na mbili mwishoni nikasema kiukweli siwezi oa kifala namna hii.wakati udsm na mtoto mkali kumzidi na tayari nimezaa nae mtoto mmoja,kwanini huyu manzi wa mkoani anigande kiasi hiki.

Nikamueleza kuwa nina mke yuko dar anasoma na ninamtoto nae tayari na hivi karibuni atakuja kuniona sasa inakuwaje hapo hebu tushauriane tunafanyaje mamaangu ww mwenyewe si unaelewa tulivokutana mimi na ww.jibu alonipa nilichoka zaidi,akaniambia yy aje tutakuwa wote....nikamjibu mama si unakwako akasema ndio ila nimepafunga na hapa kwako siondoki.wakuu hapo ndo nilipo jua kwanini dunia duara.

Kwa kifupi tulizozana sana ikabidi niwe nakodi chumba cha mshikaji wangu mwingine ambae muda mwingi anakuwa safarini.hiki chumba ndo huwa nakutana na huyu babe mama wangu nilie zaa nae.

Siku ya leo ndo kanikela zaidi huyu mwanamke nilie oa bila kutegemea.na hii ndo sababu pekee ya mimi kuandika uzi huu.amenipigia simu niko kibanda umiza nachek game ya yanga.......kwamba anashida na laki mbili na nusu kuna emegency imetokea alinipa maelekezo kibao sana nikasema ni kweli sina budi kumsaidia.....nikamuelekeza sehemu yenye hela nikakata simu nikaendelea kutizama burudani.

Mpira umeisha nimerudi nyumbani cha ajabu sijakuta mtu,nimekaa ndani ya masaa mawili mwanamke karudi amefika tu ananiomba samahani mara oooh mume samahani nimetumia laki yako nyingine pasi na kukushirikisha hvyo naomba unisamehe nimechukua laki tatu na nusu badala ya laki mbili na nusu kama ulivyo niambia.na nimeshatumia hivyo naomba unisamehe.

Kabla ajamaliza kusema nikamwambia hebu nyamaza kimya kwanza.nikawa nimevimba nikatoka nje nikatafakari sana.mpaka sasa sielewi nifanyaje,haipiti wiki tunagombana sana ana amri na mbishi na king'ang'anizi mno.asione unachart au unaongea na simu utakula kofi la mgongo ht sms ikiingia saa sita za usiku ikiwa ya mwanamke basi utaeleza kwanini imeingia muda huo.miezi yote hiyo tuloishi nae kila nilipokuwa namwambia kuhusu kurudi kwake hakuwahi kunielewa ht mara moja.na binafsi sina mpango wa kufunga nae pingu za maisha ni yeye tu na ubishi wake.

Ushauri wenu kwangu:
Wakuu nifanyaje mbona sielewi ina maana ndo nimeoa hivi hivi!napitia wakati mgumu sana na mgogoro wa nafsi na stress nyingi mno.kuna muda najichukia nakujiona mjinga wa mwisho.najuta na nailaani vikali ile siku na saa pale supermarket.

Nisaidieni natokaje hapa.
Hama muachie chumba.
Hama kabisa tafuta pahala pengine muachie chumba na kila kitu.
 
Halafu nyie vijana wa kileo ndomaana mnaitwa kwa majina mengi!

Umefungua uzi na takribani 90% ya waliokuchangia, mnafanana mawazo pamoja na upeo wenu wa kuchukua maamuzi!

Unamchukua mwanamke hawara kwa ajili ya kustareheshana, baadaye anaipindua meza kwa nia ovu anakuwa mke!

Halafu kwa mwaka mmoja ulioishi naye unamuona kabisa kuwa hamuendani na hakufai, lakini umeshindwa kupata sababu ya kumuacha!

Hili jambo linawezekana kweli?

Mkuu una haiba ya kilokole kichungaji chungaji nini?

Mwanamke asiye mke wako, namaanisha msiyefunga naye ndoa, hana haki zozote anazozistahili kutoka kwako na pia hauwezi kuumiza sana nafsi pamoja na akili zako kutafuta njia namna ya kumuondoa.

Sababu uliyoijenga mwanzo kumweleza kuwa una mzazi mwenzako, hiyo ticket ilitosha kabisa kumuondoa bila ya kutafuta vijisababu vingine vya kufikirika.

Lakini nadhani mkuu kuna kiunganishi flani unakiwaza kuwa ukimtema kitakuuma sana, hakuna kingine.

Mtu unapewa papa unaila huku ukitoa machozi ya furaha, wadhani ni vyepesi kuzindukana na kuipotezea?

Tuwe wakweli bhana, huyo mwanamke bado unampenda, vinginevyo ni rahisi sana kumuondoa kwenye himaya yako mwanamke ambaye si mke wako, bila ya kusaka mbinu za ziada.
sikumpenda nilivutiwa nae tu kihisia ndomana sikuwa na mpango wa kuishi nae kama mke na mume lengo ni kupita tu

Nimejaribu mbinu nyingi sana za kibinadamu kumuondoa lakini imeshindikana mkuu.kuna muda mpaka naongea nae kirafiki kwamba arudi kwake kodi takuwa namlipia nikimmiss takuwa namtafuta lakini haelewi mkuu.

Mzazi mwenzangu alikuja nililala nje week zima baada ya hapo narudi kwangu namkuta mtu hana wasiwasi wala swali katulia tu na maisha yakaendelea kama kawaida.mkuu sio rahisi kama unavosema

Nafanya vituko vingi sana lkn hamna mabadiliko yyte.mbinu pekee nazo ona mpaka sasa ndo hizi za kimafia tu.kwako ww mkuu ungemtoaje?
 
sikumpenda nilivutiwa nae tu kihisia ndomana sikuwa na mpango wa kuishi nae kama mke na mume lengo ni kupita tu

Nimejaribu mbinu nyingi sana za kibinadamu kumuondoa lakini imeshindikana mkuu.kuna muda mpaka naongea nae kirafiki kwamba arudi kwake kodi takuwa namlipia nikimmiss takuwa namtafuta lakini haelewi mkuu.

Mzazi mwenzangu alikuja nililala nje week zima baada ya hapo narudi kwangu namkuta mtu hana wasiwasi wala swali katulia tu na maisha yakaendelea kama kawaida.mkuu sio rahisi kama unavosema

Nafanya vituko vingi sana lkn hamna mabadiliko yyte.mbinu pekee nazo ona mpaka sasa ndo hizi za kimafia tu.kwako ww mkuu ungemtoaje?
Mkuu wanawake siku hizi watu wa fursa.
Keshafika huyo cha msingi mkimbie tu.
Mlie muda atoke kesha akishatoka hamisha vitu mzee.
 
Hapo unaweza jaribu kumwomba jicho 🤣

Akikataa mtimue na akikubali mtimue pia.
Hii ni simple sana.
🤣🤣🤣🤣 astaghfirullah.....

Mkuu we ni mafia pro.umekuja na plan ya tofaut kbsa na naona inafaa kuwa plan A.
Akikubali nimuone ndo tabia yake akigoma nione ananinyima haki yangu ya msingi.hii hii imeenda.
 
Kwani huna bunduki umfumue ubongo huyo kahaba 😃😃😃😃
 
🤣🤣🤣🤣 astaghfirullah.....

Mkuu we ni mafia pro.umekuja na plan ya tofaut kbsa na naona inafaa kuwa plan A.
Akikubali nimuone ndo tabia yake akigoma nione ananinyima haki yangu ya msingi.hii hii imeenda.
Kweli mkuu kuna hatua mtu unafika
Inabidi uonekane nyamera tuu 😅
Licha ya kuwa unaonekana mpole
 
Back
Top Bottom