mahatmaxlla
JF-Expert Member
- Nov 26, 2017
- 896
- 1,435
- Thread starter
- #141
Kaka linawezekana hili ilihali sina uhalali wowote wa kummiliki??Umekua dhaifu sana aisee kosa la kwanza ni kumruhusu kulala ile siku ya pili . Nenda kwenye dawati la jinsia na mahusiano kaelezee shida yako atatolewa na vyombo vya sheria. Huenda ukamlipa kiasi