Huyu Mwanamke tangu alipokuja kwangu kang'ang'ania kukaa hataki kuondoka

Huyu Mwanamke tangu alipokuja kwangu kang'ang'ania kukaa hataki kuondoka

Umekua dhaifu sana aisee kosa la kwanza ni kumruhusu kulala ile siku ya pili . Nenda kwenye dawati la jinsia na mahusiano kaelezee shida yako atatolewa na vyombo vya sheria. Huenda ukamlipa kiasi
Kaka linawezekana hili ilihali sina uhalali wowote wa kummiliki??
 
Kaka linawezekana hili ilihali sina uhalali wowote wa kummiliki??
Ndiyo maana nakuambia lipeleke hili suala lako lazima kutakua na vipengele vya sheria kwenye ishu kama hiyo na sheria itachukua mkondo wake huna haja ya kutumia nguvu atatolewa na vyombo vya sheria tu kwa wema kabisa
 
Kwanza mkuu unaroho ngumu kinyama.yanj dem umekutana nae umepiga saund siku yatatu anakuja kwako kwa mara ya kwanza wala hujui ametoka wapi wala anaish wapi unapiga mzigo asubh unamkabidh funguo unaenda kazin kiroho safi wala huna presha.pambana huyo iko siku atakuosha hutakaa uamin
 
Ndiyo maana nakuambia lipeleke hili suala lako lazima kutakua na vipengele vya sheria kwenye ishu kama hiyo na sheria itachukua mkondo wake huna haja ya kutumia nguvu atatolewa na vyombo vya sheria tu kwa wema kabisa
Sheria ya ndoa tanzania inasema ukikaa na mwanamke miez mitatu ni mke wako hatakama hamujafunga ndoa.unawezaje kusema hukupanga kuish nae na kila siku ulikua unaacha kod ya meza anakupikia anakufulia anakupa uroda ulikua unamlipa nin?
 
Tafuta chumba mbali na hapo kale deal na afisa mikopo waje wasombe vitu umeshindwa kulipa mkopo ila anza kujenga mazingira ulalamike una mkopo umekopa microfinance jitie mawazo haulali halafu wake kubeba kumbe wanakuhamisha weeee hakai halafu wewe jifanye waenda kukaaa Kwa mshikaji.
🤗🤗🤗
 
Umekwisha! Hama hapo! Akitoka tu ita kirukuu beba vyako kimbia kama kipepe popote pale!
Na ufanye haraka kabla hajapata mimba!
Ukome!
 
Chakata mbususu kijana! Imejileta yenyewe, mlivokua mnaambiwaga kuwa mtazikuta na kuziacha sasa pambana..ndo ushaoa hivo.
Na mademu wa hivyo ukicheza karata zako vibaya atakuharibia maisha yako completely...ataenda kukuloga hutaamini maana atataka kulipiza kisasi..wewe nenda nae taratibu..
NB; Ukimtibua huyo unaenda kulogwa ndugu! Na maisha yako yataharibika.! Kuwa makini sana
 
Mwachie,
Kila kitu sepa Anza upya wahenga husema
""KUANZA UPYA SIO UJINGA""

NB;
""LOVE IS JUST LIKE A WAR EASY TO START DIFFICULT TO END""

MIMI HUOGOPAGA SANA KUTONGOZA INNOCENT WOMEN THEN NIKAWAACHA SOLEMBA..

NILICHO JIFUNZA KWAKO WEWE NI GOOD BEHAVED PERSON 😊😊😂😂 TUKUFUNDISHE JINSI YA KUMPIGA KIBUTI DEMU??!

Mimi pia na roho ndogo na nyepesi na nikianzisha uhusiano walikuaga Wana fall in love hatare..

Wanaume hatufundishwi kuacha mahawara zetu😊😊😊
Umempambaa mwishoni unampoteza sasa mtoa mada 😂
 
Hapo ww ndo unatatizo unaanzaje kukubali kuishi na mwanamke na unaruhusu awe kama mke kabisa ilhari una mwanamke mwingine ana mtoto wako? Unashida kwenye ubongo! Na tyr mwaka umeisha unaye sasa sku zote ulikua wapi? Hata mlevi hawezi kufanya decision za namna hio labda alikuroga.
Ninachomshangaa kafika nae mpaka anastuka baadae ya mwanamke kuchange tabia....ina maana demu angeendelea kuwa mpole mimba angepata na jamaa angestuka haaa hii si mimba hii.

Kuna baadhi ya wanawake Si watu wa kubeep huwa naogopa sana kuokoto okota namba hata sehemu za Kazi.

Unajua basi tu wanaume hatujui shida zingine tunasababisha wenyewe baadae tunajifanya wababe kipuuzi
 
Sheria ya ndoa tanzania inasema ukikaa na mwanamke miez mitatu ni mke wako hatakama hamujafunga ndoa.unawezaje kusema hukupanga kuish nae na kila siku ulikua unaacha kod ya meza anakupikia anakufulia anakupa uroda ulikua unamlipa nin?
Sheria ya ndoa haisemi miezi 3 ni miaka 2
 
Alipoharibu ni hiyo kuwa mtata, ubishi, kuforce kusoma sms, kugombana na wewe, kutumia pesa bila ridhaa yako na kuwa mjeuri, nje ya hapo ningemtetea kwakweli.
 
Pole sana, tough situation; that force imprisonment anakufanyia na si sawa lakini penye njia pana nia

As long as humpendi, mwambie ukweli na muoneshe kuwa humpendi kwa vitendo sio ile akipika unajilamba lol

Easy way:

  • Ondoa ''show'' kwenye menu sio ukiguswa tu umekiwasha, ukizubaa anakutegeshea mimba
  • Mtafutie mwenzake haraka wapambane wenyewe, kwa jinsi umeandika wewe huwezi hata kidogo.
  • Akikaza, anza kuwasiliana na madalali wakutafutie nyumba nyingine umwachie tu hapo

Kazi kwako
 
Back
Top Bottom