Huyu Mwanamke tangu alipokuja kwangu kang'ang'ania kukaa hataki kuondoka

Tena hiyo laki ya juu aliniletea mm msela wake ambaye ndio nipo kwenye hili geto aliloliacha.

Alisema amelipata mbwigira mbwigira mmoja hv anamalizana nae kwa maana hajui show.
 
Aina hiyo ya uoaji sitaki kuiongelea. Ila hayo ya kupigana mangumi siwezi kuvumilia mwanamke wa ivyo.
 
Mume, amka zako kama unaenda job beba nguo....tokomea huko muache abaki anadate mwenyewe.
Hata mimi niliwaza hivi hivi, au aweke mambo yake fresh ila asimwoneshe dalili za kumkimbia! akiwa tayari ampe kiasi flani cha pesa ikiwa kama kamugiza mbali ( sehemu ya kutumia masaa zaidi ya 6 au siku nzima) yeye anarudi anasomaba vitu vyake, business closed.
 
Hama muachie chumba.
Hama kabisa tafuta pahala pengine muachie chumba na kila kitu.
 
sikumpenda nilivutiwa nae tu kihisia ndomana sikuwa na mpango wa kuishi nae kama mke na mume lengo ni kupita tu

Nimejaribu mbinu nyingi sana za kibinadamu kumuondoa lakini imeshindikana mkuu.kuna muda mpaka naongea nae kirafiki kwamba arudi kwake kodi takuwa namlipia nikimmiss takuwa namtafuta lakini haelewi mkuu.

Mzazi mwenzangu alikuja nililala nje week zima baada ya hapo narudi kwangu namkuta mtu hana wasiwasi wala swali katulia tu na maisha yakaendelea kama kawaida.mkuu sio rahisi kama unavosema

Nafanya vituko vingi sana lkn hamna mabadiliko yyte.mbinu pekee nazo ona mpaka sasa ndo hizi za kimafia tu.kwako ww mkuu ungemtoaje?
 
Mkuu wanawake siku hizi watu wa fursa.
Keshafika huyo cha msingi mkimbie tu.
Mlie muda atoke kesha akishatoka hamisha vitu mzee.
 
πŸ€”πŸ€” ngoja kwanza ili lipite then tajua cha kufanya.km kunisalimia tu agrrh tutakutana ata selena hotel inatosha.

Maana nimegundua kumbe huwa mnavikao vyenu,kuna madini mnapeana uko mnakuja kuapply upande wetu.
Kwako ndo itakua comfotabo hebu limalize hilo kwanza
 
Hapo unaweza jaribu kumwomba jicho 🀣

Akikataa mtimue na akikubali mtimue pia.
Hii ni simple sana.
🀣🀣🀣🀣 astaghfirullah.....

Mkuu we ni mafia pro.umekuja na plan ya tofaut kbsa na naona inafaa kuwa plan A.
Akikubali nimuone ndo tabia yake akigoma nione ananinyima haki yangu ya msingi.hii hii imeenda.
 
Kwani huna bunduki umfumue ubongo huyo kahaba πŸ˜ƒπŸ˜ƒπŸ˜ƒπŸ˜ƒ
 
🀣🀣🀣🀣 astaghfirullah.....

Mkuu we ni mafia pro.umekuja na plan ya tofaut kbsa na naona inafaa kuwa plan A.
Akikubali nimuone ndo tabia yake akigoma nione ananinyima haki yangu ya msingi.hii hii imeenda.
Kweli mkuu kuna hatua mtu unafika
Inabidi uonekane nyamera tuu πŸ˜…
Licha ya kuwa unaonekana mpole
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…