Huyu Mwanamke tumeshindwana. Aende zake tu mi siwezi kwa kweli

Kwani mkuu ungeandika jina lako ungepungukiwa nini? daaaah hukuwa na hamu ya kula mbususu yake aisee,
yaani nashangaa mwanaume gani unasusa kula mbususu?
 
Wote hamna akili...

Guest za nini wakati vichaka vipo...
 
Uongo ni kipaji na bahati mbaya mleta uzi hana hicho kipaji.
 
Kwani mkuu ungeandika jina lako ungepungukiwa nini? daaaah hukuwa na hamu ya kula mbususu yake aisee,
yaani nashangaa mwanaume gani unasusa kula mbususu?
Kwa nini yeye asitake kuandika jina lake? Lazima kutakuwa na sababu. Na mimi namtuma anakataaje?
 
majina ya gesti tunaandika wanaume we mvulana
 
majina ya gesti tunaandika wanaume we mvulana
Na hakuna mwanaume inabidi ajitangaze kuwa ni mwanaume. Huyo atakuwa demu. Ndicho ulichofanya. Simba huwa hapiti porini akijitangaza kuwa yeye ni Simba.
 
Kaeni mlee watoto mjenge familia yenu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…