Hapa kipindi wanafunga ndoa na Ezden... Mahaba nigalagaze!!
Huyu dogo mjinga,eti mapenzi yalimfanya akaishi kwa mwanamke,si aseme tu umarioo wake ndo ulimfanya akaishi kwa mwanamke,sasa alikuwa anaspy simu ya mke wake ili iweje sasa?badala ya kuwaza kusaka noti unaspy simu ya mkeo,si ukosa kazi huu,mimi mwanaume wa hivi siwezi kabisa
hahahahaha aache!ila sio kudownload software kwamba kila ninachokifanya kwenye simu anaona,maana kiukweli ukidownload software akili yote itakuwa inawaza kuangalia simu yako kama mkeo kapigiwa,kasms,yaani ni kujiumiza maradufu wakati mwingine unaweza hata usipate kitu.Muha hagusi simu yako?
Vijana wa bajaj
Hakikisheni kweny kila nyumba ya star wa kike mnaweka kijiwe!
Anzieni kwa shilole.
Snura
Jide ah huyu hakuna biashara washavuka hii stage!
Huyu dogo Ezden ---- kweli!
Namjua tangu shinyanga pindi anasoma Uhuru secondary na Dulla Ambua!!
Anapenda sana vya bure huyu dogo,hata kiss fm mwanza alikua na demu mkubwa zaidi yake!
Lady Jay Dee alishaimba wanaume kama mabinti ndo huyu sasa kijana mwenzetu
anayeijua application aliyoutumia ezden msaada basi
Khaa jamani tusione watu wanatupia tu mapicha wapo vacation sijui tukawatamani, maake kila weekend watu wanatalii tu. Kuta za nyumba zinaficha mengi kiruuuu.
Sema me namuaminia dida, hapa sisi tunatokwa povu yeye jana kavuta baby mpya (new ride) hehehehe tushamtangazaaaaaa. Nahisi hapo kichwani anawaza style mpya ya gauni atakalovaa on her next wedding. Anaweka shida chini, ananyanyua mikono juu anabanjukaaaaaa. Huyo ndo Dida a.k.a kim k, a.k.a ndimu mkata shombo. Namtamiajee mwenzangu ndoa ya 4 ipo njiani, me hata kupewa proposal on april fools sijawahi hahahahaahaahaha
Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums
Jamaa anavyoongea hadi anatia huruma.
Halafu sielewi kabisa kilichomvutia kwa huyo Dida.
Na sitashangaa miezi kadhaa toka sasa ukisikia Dida kafunga ndoa tena.
Sijui atakuwa Dida wa nani safari hii....manake mwanzoni alikuwa Dida wa Mchops....akaja kuwa Dida wa G.....akawa Dida wa Ezden......
Labda safari ijayo atakuwa Dida wa Mbeba maboksi:bump2:
Count on me mwakani nielekeze wp pakupeleka posa!
Naitaka asap