Huyu naye alikuwa anawaza nini kumuoa Dida?

Huyu naye alikuwa anawaza nini kumuoa Dida?

thread hii inankumbusha mume wa dada yangu anakaa kwetu kwenye nyumba yetu ya urithi wamepanga wameshindwa wako nyumbani jamani kaka hana sauti yani hadi unamuonea huruma!mi nashindwa kuelewa aliolea nini km hana maisha yani ukifika pale si ndo tuna sauti mana nyumba yetu yani napata picha siku wakitengana km hajaondoka kiedzen edzen afu wanakuwaga malayaaa hawa....!
 
aiseee... wanaume wamebaki wachache sana. naona mpaka kina wolper wameamua nao kugegeda.., hali si nzuri.
 
Hapa kipindi wanafunga ndoa na Ezden... Mahaba nigalagaze!!

1011290_10200281292494974_119616017_n.jpg

na yamemgalagaza kweli
 
Huyu dogo mjinga,eti mapenzi yalimfanya akaishi kwa mwanamke,si aseme tu umarioo wake ndo ulimfanya akaishi kwa mwanamke,sasa alikuwa anaspy simu ya mke wake ili iweje sasa?badala ya kuwaza kusaka noti unaspy simu ya mkeo,si ukosa kazi huu,mimi mwanaume wa hivi siwezi kabisa
 
Huyu dogo mjinga,eti mapenzi yalimfanya akaishi kwa mwanamke,si aseme tu umarioo wake ndo ulimfanya akaishi kwa mwanamke,sasa alikuwa anaspy simu ya mke wake ili iweje sasa?badala ya kuwaza kusaka noti unaspy simu ya mkeo,si ukosa kazi huu,mimi mwanaume wa hivi siwezi kabisa

Muha hagusi simu yako?
 
Muha hagusi simu yako?
hahahahaha aache!ila sio kudownload software kwamba kila ninachokifanya kwenye simu anaona,maana kiukweli ukidownload software akili yote itakuwa inawaza kuangalia simu yako kama mkeo kapigiwa,kasms,yaani ni kujiumiza maradufu wakati mwingine unaweza hata usipate kitu.
 
Vijana wa bajaj
Hakikisheni kweny kila nyumba ya star wa kike mnaweka kijiwe!
Anzieni kwa shilole.
Snura
Jide ah huyu hakuna biashara washavuka hii stage!

Hahahaa haaaa uwiii Yaani nimecheka
 
Huyu dogo Ezden ---- kweli!
Namjua tangu shinyanga pindi anasoma Uhuru secondary na Dulla Ambua!!
Anapenda sana vya bure huyu dogo,hata kiss fm mwanza alikua na demu mkubwa zaidi yake!
Lady Jay Dee alishaimba wanaume kama mabinti ndo huyu sasa kijana mwenzetu

Huyo ndio alikuwa presenter wa kiss FM ezden the rocker kama sikosei
 
Mkuu kuna uzi ulikuwepo tangu asubuhi ukizungumzia hili jambo ...
 
Nafikiri ulimaanisha ndoa ya Ezden na Dida, yaser

Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums
 
Last edited by a moderator:
mkuu, hii ni breaking news, au umeamua ku "recycle" thread?
 
Episode ya mbasha hatimaye imefungwa rasmi na hii ya dida baada ya kuisha ile ya vicky... wacha muvi iendelee
 
Khaa jamani tusione watu wanatupia tu mapicha wapo vacation sijui tukawatamani, maake kila weekend watu wanatalii tu. Kuta za nyumba zinaficha mengi kiruuuu.

Sema me namuaminia dida, hapa sisi tunatokwa povu yeye jana kavuta baby mpya (new ride) hehehehe tushamtangazaaaaaa. Nahisi hapo kichwani anawaza style mpya ya gauni atakalovaa on her next wedding. Anaweka shida chini, ananyanyua mikono juu anabanjukaaaaaa. Huyo ndo Dida a.k.a kim k, a.k.a ndimu mkata shombo. Namtamiajee mwenzangu ndoa ya 4 ipo njiani, me hata kupewa proposal on april fools sijawahi hahahahaahaahaha

Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums

Count on me mwakani nielekeze wp pakupeleka posa!
 
Jamaa anavyoongea hadi anatia huruma.

Halafu sielewi kabisa kilichomvutia kwa huyo Dida.

Na sitashangaa miezi kadhaa toka sasa ukisikia Dida kafunga ndoa tena.

Sijui atakuwa Dida wa nani safari hii....manake mwanzoni alikuwa Dida wa Mchops....akaja kuwa Dida wa G.....akawa Dida wa Ezden......

Labda safari ijayo atakuwa Dida wa Mbeba maboksi:bump2:

Ahaaa, Dida wa John Komba huyo. Unaambiwa Dida analiliwa hakuna mfano, kule Dom bungeni ndiyo usiseme maana wabunge hawaishi kumtaja taja kila kukicha.
 
Kuna sehemu anasema ''Nakiri huo ni udhaifu kwenda kuishi kwa demu ila ni mapenzi yalinikolea'' na sehemu nyingine ''Demu anarudi saa kumi na moja asb yupo tungu namfungulia mlango''Mara mtoto anataka kwenda big brother ila kithungu chakutafuta na tochi?
Kweli hayo ndio mahaba niue.................?
 
Count on me mwakani nielekeze wp pakupeleka posa!

Whaaaaaaaat??? Am I dreaming or? So at last am gonna get my proposal on April fools au hahahahaha? U are so welcome pachachiza.

Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom