Huyu naye alikuwa anawaza nini kumuoa Dida?

Du itabidi tuanzishe na kitchen party ya wanaume bila haya mwanamme hasa unatoa siri zako za ndani nini maana ya ndoa. Ni kusitiriana mbona hukuyasema wakati mko pamoja ukipigwa picha za mapenzi kuwa mwanamme shujaa twanga talaka kaa kimya kukimbialia media ndio jamii ikuonee huruma
 

Msaada wakuu uyu ndo Ezden aliekuwa anatangaza Kiss fm?
 
Last edited by a moderator:

Hahahaaha cheka tu baba Lara moko. Mapenzi yana run dunia kiukweli. Ukipata kiatu kinachokufit shukuru Mungu tu.
By the way nahisi umenichanganya na Heaven on Earth coz sikukuuliza kuhusu mchuchu

Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums
 
Last edited by a moderator:
Ataolewaaa kama fasheni tu huyo ed wala bado mdogo ajitafutie maisha yakeee huyo dida gume gumeee lililoshindikana
 
Hahahaaha cheka tu baba Lara moko. Mapenzi yana run dunia kiukweli. Ukipata kiatu kinachokufit shukuru Mungu tu.
By the way nahisi umenichanganya na Heaven on Earth coz sikukuuliza kuhusu mchuchu

Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums

Teh teh teh kacheka mpaka kachanganyikiwaaa
 
Last edited by a moderator:

Aaaa aaa hawaelewiiiiiii! Sijui wazazi wa kiume wameacha kufundisha vijana wao?
Hata kama mwanamke ana kwake, ukimuoa anahama kumfuata mume kwake! Hata kama ni gorofa linapangishwa then ile hela inatumika kwa matumizi mengine huko kwa mumewe! Si mwanaume mzima kwachu kwachu na rasket unahamia kwa mwanamke! Ukifumaniwa unarushiwa kibegi chako kwendraaaa
 
Teh teh teh kacheka mpaka kachanganyikiwaaa

Hahaha binamu yake Warumi acha tu Matola acheke. Hapana chezea Dida wewe, anakwambia anajiamini mpaka anajiogopa. Me namuaminia yule jembe langu, soon anavuta baby mpya na anaenda naye kukaa pale pale home kwake. Hanaga stress dida

Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums
 
Last edited by a moderator:
Hahahahaaaaa mama zao ni bibi bombas kwa kweli na baba zao je?
 
Cant u see kwamba thaman yako ni zaid ya izo "something"..!!?? ninapokuoa ninakumiliki na ndo sababu nitaitwa kichwa.

World they after something ma dear small individual they after humanity
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…