embu saidia marioo ni nn bwa shekhe
Tatizo sio picha tatizo ni wso wenyewe wana sura ngumu!!!
Dida mbaya jamaniiii khaaa!!!!
naiwaza ndoa yake ya nne
atafanyiwa tena kitchen party na send off?
Nani zaidi?
Kila kitu.......
Ila kuna wanawake wabinafsi dunia hii.........
Hebu msikilizeni huyu Ezden! Yaani anatia huruma kweli.
Anakiri mwenyewe kuwa Dida alikuwa anamzidi kipato....halafu eti baada ya kufunga ndoa akaenda kuishi nyumbani kwa Dida.
What a dummy!
Mtu kweli na akili zako timamu unaoa mwanamke kama Dida? Really? Seriously?
kha! we mwanamke una maneno kweikwei, nimecheka sana ndio maana nilikwambia mimi sina muda na viblog uchwara maana hapa ni full burudani.
jana umeniuliza mchuchu wangu what's happen kabla sijakujibu thread ikafungwa, hata hivyo kesho atakuwa ndani ya nyumba ya jf manshkhofu, alimuwa bize kunikarangizia.
ila maisha sijui kwa nini hayako fair, waowaji serious wanapata tabu sana kukutana na wadada ambo wako committed, na wadada pia hali kadhalika nao wanajikuta wameangukia kwa kina mr tombah tombah.
Hahahaaha cheka tu baba Lara moko. Mapenzi yana run dunia kiukweli. Ukipata kiatu kinachokufit shukuru Mungu tu.
By the way nahisi umenichanganya na Heaven on Earth coz sikukuuliza kuhusu mchuchu
Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums
hivi unajua ni kwa ini mwanume anaitwa kichwa? ni kwa sababu ni anatakiwa kuwa mmiliki... hivi umekuja kwangu nyumba yangu , kila kitu changu do u think unaweza kuwa nasay pale kwa maana hiyo wewe ni mkia... you have power because you have something
Teh teh teh kacheka mpaka kachanganyikiwaaa
Hahahahaaaaa mama zao ni bibi bombas kwa kweli na baba zao je?siku hizi kuna wanaume na wakiume, mimi nilikuwa simjui huyo dogo ila nilivyojuwa tu ni yule anyehost kipindi pamoja na jokate kidoti yani hajiongezi tu akili kwamba waliowapanga vile ndio wanamatch?
mtu yoyote mwenye akili ni lazima ajiongeze kwamba anapaswa akiwa na mkewe awe na taswira kama akiwa na kidoti, hivi hawa vijana wana wazazi kweli? au mama zao ndio washiriki wa bibi bomba?
Duh...hivi huwa wanatoa mahari kila anapotaka kuolewa tena?
Mapenzi haya mpaka Mkabadilisha na lugha nyumbani mnatumia lugha ya kikoloni ha!ha!
Cant u see kwamba thaman yako ni zaid ya izo "something"..!!?? ninapokuoa ninakumiliki na ndo sababu nitaitwa kichwa.
haa!! kwa hiyo ilikuwa inapwaya?