Huyu ndege analindwa sana hapa jijini Mwanza. Kama wewe ni mgeni hapa chukua tahadhari

Analindwa Mwanza pekee so nikimkuta Morogoro nimfanya ninachotaka?

Au anapatikana Mwanza pekee? Ili nimuone inabidi nije Mwanza?
Impact ya huyo ndege kulindwa ni pamoja na environmental conservation katika maeneo husika!!

infact uzi umezungumzia Jiji kubwa na jiji pekee kanda ya ziwa...

Huko Morogoro sasa huyu ndege mtu atakula nini pale Msamvu
 
Impact ya huyo ndege kulindwa ni pamoja na environmental conservation katika maeneo husika!!

infact uzi umezungumzia Jiji kubwa na jiji pekee kanda ya ziwa...

Huko Morogoro sasa huyu ndege mtu atakula nini pale msamvu

Bro jiongezage

Kweli una matatizo; yani unamjibu Jamaa Kama kwamba umeandika kitu kinachoeleweka
 
Ama kweli maisha yanabadilika. Hawa ndege miaka ya 1990 kurudi nyuma tulikuwa tunawapiga sana. Sababu ya kuwapiga ulikuwa ukienda kununua samaki mwaloni ukasahau ndoo yako wazi unakuta wameshaibakiza nusu hivyo tuliwafukuza sana japo walikuwa na kiburi pia. Kuna mmoja alikuja nyumbani miaka hiyo akawa anashuka ananyakua vibata vidogo vidogo kisha anavimeza akiwa anapaa angani. Tulimfukuza akawa anapaa juuu kiasi cha kutokumwona na tulipodhani ameenda mara unamwona juu ya mti.
 
Ila ana kidali kikubwa sana, kinafaa kukaangwa [emoji23][emoji23][emoji23]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…