Chupayamaji
JF-Expert Member
- Sep 19, 2017
- 5,784
- 13,642
Ana nyama nyingi sana halafu tamu.ndege hana hata upaja! Ni mifupa mitupu ulikula nini hapo mkuu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ana nyama nyingi sana halafu tamu.ndege hana hata upaja! Ni mifupa mitupu ulikula nini hapo mkuu
mkuu unalingana na ubawa wa ndege😂Dege tamu sana hilo nimewahi kulitafuna View attachment 2058078View attachment 2058079View attachment 2058080View attachment 2058081
Sio mimi huyo hao vijakazi wangu kipindi nimeenda fanya investment ya mashambamkuu unalingana na ubawa wa ndege[emoji23]
Ukanda wote wa kuzunguka ziwa Victoria yapo yanakula sana samaki, wakati tukiwa wadogo tulikuwa tunayaita bwana afya,Ndege mwenyewe ni huyu, usije ukajaribu kum suicide kivyovyote vile.
serikali inamlinda sana.
Most welcome Jijini Mwanza, Jiji Kubwa sana na lenye heshima kubwa Tanzania baada ya Dar es salaam.
View attachment 2058054View attachment 2058056View attachment 2058057View attachment 2058058View attachment 2058054View attachment 2058056View attachment 2058057View attachment 2058058
walimkamataje huyo ndege maana ukimsogelea tu anarukaSio mimi huyo hao vijakazi wangu kipindi nimeenda fanya investment ya mashamba
Hahahamkuu unalingana na ubawa wa ndege[emoji23]
ndege john au kimila nzokaAnaitwaje?
umewah kufika au umehadithiwa 2 fika ujionee jinsi mwanza palivo pazuriMwanz pachafu sana…
Kimila nzoka ni mweupe full, huyu ni ndege John au ndege mwarabundege john au kimila nzoka
huku hakuna uhaba wa chakulaAah nyinyi waoga tu uyo angekua dar watu wanampga manati tunamla vzr tu acheni uwoga wanaume wa mkoani