Ramon Abbas
JF-Expert Member
- May 4, 2021
- 1,964
- 3,913
- Thread starter
- #81
Fyi,Hawa ndege ndio huvamia ndege za abiria zikiwa angani ni hatari sana wakivamia maana wanaweza sababisha injini kuwaka moto
hawa ndege hawana uwezo wa kuruka zaidi ya km 1 juu, na hawakai angani hata dakika 5