Huyu ndiye daktari aliyejichoma sindano ya UKIMWI ili kuthibitisha kuwa UKIMWI ni uongo!

Huyu ndiye daktari aliyejichoma sindano ya UKIMWI ili kuthibitisha kuwa UKIMWI ni uongo!

Status
Not open for further replies.
.Uongo wenyewe uko hivi;"Inasemekana kuna watoto wanaozaliwa na maambukizi ya VVU/HIV".Ni maambukizi ya HIV na si maambukizi ya ukimwi.Sasa kuwa makini hapa upate elimu,na kama unamfahamu daktari yeyote unayemwamini nenda kamuulize haya ninasema hapa halafu msikilize atakujibu vipi;
Ukisoma reply zangu za nyuma utaona nasema kwamba HIV hasababishi ukimwi kama watu walivyodanganywa hivyo hata kama mtu akipimwa HIV+ sio ishu,ni ulimbukeni tu wa kukosa elimu.Utaona pia kwamba vipimo vyenyewe vya HIV ni feki na wameweka trick ya kisayansi ili vilete majibu wanayoyataka,hivyo mtu yeyote yule anaweza kupimwa HIV+ bila kujali kama yeye ni bikira, aliwahi kupata maambukizi au la,haijalishi,unaweza kuwa HIV+.Hivi wametumia akili nyingi sana kutudanganya kuanzia kwenye historia ya HIV,Hypothesis yake(yaani HIV anasababisha ukimwi),Vipimo vyake na dawa zake zinazotumika yaani ARVs,vyote hivi ni feki.

Sasa tuje kwenye swali la msingi;
Wenyewe wanasema hivi;Mtoto anayezaliwa kutoka kwa mama mwenye HIV ana uwezekano wa kupata HIV kwa 25% tu kama mama yake atakuwa hatumii ARVs,na ana uwezekano wa kupata HIV kwa 2% kama mama yake atatumia ARVs.Kuna watu humu wana akili za kupinga tu najua watapinga na hili pia,kabla ya kupinga angalia link hapo chini.Hizi ni data kutoka CDC marekani.Hawa jamaa wa CDC ndio walioanzisha ile slogan ya "ONE TEST TWO LIVES",hawa ndio wazee wa slogan za HIV/AIDS,slogan zote tunazozisikia zinaanzishwa na hawa jamaa ili kuturubuni akili.Hata sheria ya kupima mama wajawazito HIV kwa lazima hapa kwetu imeanzishwa na hawa jamaa.Nauliza swali "Eti hawa jamaa watakuwa wanatupenda eeenh,yaani wanatupenda mpaka wanatulazimisha kupima!!!,yaani wana upendo na sisi kuliko tunavyojipenda wenyewe"
Soma link hapo chini;
OTTL | Campaigns | Act Against AIDS | CDC

Mtoto kama mtu mwingine yeyote yule kama akipimwa HIV,narudia,kama akipimwa HIV kwa kutumia vipimo hivi ambavyo wameweka trick zao za kisayansi,ana uwezekano wa kumkuta na HIV.Lakini uwezekano huu hajalishi kama mama yake ana HIV au la.Narudia,mtoto kupimwa HIV+ hakujalishi kama mama yake ni HIV+ au la,sasa wewe mwenyewe unaweza kujiuliza kwa nini mtoto awe HIV+ wakati mama yake ni HIV-?Hizo case zipo nyingi tu.

Kama nikiambiwa nitoe uthibitisho,sitatumia data za zamani,nitaanza kufanya vipimo upya vya watoto wapya waliozaliwa kutoka kwa mama zao ambao ni HIV-.Lazima nitapata watoto ambao ni HIV+.Nadhani hapa utakuwa unanielewa nikisema kwamba kwa mtu kuwa HIV+ sio ishu,ni suala la sayansi ya vipimo tu na si uhalisia,na pia HIV huyo wanayemnadi hasababishi ukimwi kama wanavyosema,hivyo pia mtu kuwa HIV+ tena sio ishu.Mtu anadhoofu kwa matatizo halisi ambayo yapo kweli kiuhalisia na ukimpa tiba husika anapona kabisa.Ila mbaya zaidi ukimpa ARVs,ni suala la muda tu mtu huyu lazima afe kwa matatizo yafuatayo;
1.Ugonjwa wa moyo
2.Ini
3.Figo
4.Cancer yoyote
5.Upungufu wa damu

Kama huamini,fanya utafiti wako mwenyewe kwa watu waliozidiwa/wanaoumwa sana wanaotumia ARVs.Ukimaliza tafiti rudi tena hapa.

Kuna kina mama wamepimwa HIV+ na hawatumii ARVs na wanazaa watoto ambao hawana huyo HIV.Case hizi zipo nyingi mno.Hawawezi kuelezea kwa nini haya hutokea pia.Wanajifanya kuangalia upande mmoja tu.Kwa jinsi mtoto anavyokaa tumboni na anavyopata chakula kwa diffusion kutoka kwa mama yake na mambo mengine lukuki,bado mtoto anatoka hana maambukizi hata kama mama yake ni HIV+.Hili swali ushawahi kujiuliza?
Unajua hawa jamaa elimu wanayoingiza kwenye vichwa vyetu kupitia vyombo vya habari inafanya ubongo wetu ujiulize maswali fulani tu na si maswali ya aina nyingine,kwa kifupi tunasema wametu 'brain wash'.

Sasa ngoja nikwambie kwa nini wanalazimisha mama wajawazito ambao ni HIV+ watumie ARVs;
Jibu ni kwamba,wanajua sisi tutakuwa na mashaka sana endapo mama mwenye HIV atazaa mtoto asiye na HIV kwa kuwa hilo si jambo la kawaida,ofcourse,sio la kawaida na ndio uhalisia ulivyo kwamba case hizo zipo nyingi sana.
Sasa kama mama atatumia ARVs halafu atazaa mtoto ambaye hana HIV akili zetu zitakuwa tuned kwamba ARVs ndizo zimemuokoa mtoto,lakini ukweli ni kwamba hata mama asipotumia ARVs chance ni ileile.Chance ya mtoto kuwa HIV+ haichangiwi na mama kutumia au kutotumia ARVs bali huchangiwa na vipimo vya HIV.Fanya utafiti utajua tu.
Nadhani upo kwa ajili kupotosha ukweli kuhusu HIV ili watanzania waache ARVs na kuongezeke vifo kwa watanzania.....Kwavile tupo JF na hizi fake ID tungeweza kuweka mjadala wa ana kwa ana.

Unachanganya sana watu hapa kuhusu HIV na vipimo pamoja na ARVs sielewi lengo lako ni nini....mara useme HIV hakuna hiyo ni fake mara useme mtu yoyote akipimwa anaweza kuwa positive kwa HIV wakati hana kisa ni vipimo vimewekwa hivyo.Mara mtoto anaweza kuzaliwa HIV positive na mama ambaye ni HIV negative mimi kiukweli hata sikuelewi kabisa unachosema kuhusu mambo mengi ya HIV zaidi ya kuwavuruga watanzania wasiokuwa na elimu ya sayansi hasa hasa biology na medicine.
 
Huyo daktari hapo mwisho mimi kanifumbua. UKIMWI kama unavyojieleza ni 'upungufu wa kinga mwilini' hili tatizo la upungufu wa kinga limekuwepo tangu enzi za 'Adam na Hawa' likisababishwa na vitu vingi kama ukosefu wa lishe bora na magonjwa mbali mbali ambayo yanaweza kupelekea kinga ya mwili kushuka, hivyo huwezi kusema 'Upungufu wa kinga mwilini (Ukimwi)haupo, UPO. Tatizo linakuja pale watu wanapohusisha kirusi kinachoitwa 'Retro-virus' / (HIV) na huo upungufu. Huyu Retro-virus anapoingia mwilini mwako, mwili wako huzalisha 'anti-bodies' maalum kwa ajili ya kupambana nae na kummaliza kabisa, na ndio maana hata ukijaribu kumpima physically kwenye damu ni ngumu sana kumuona kwani anakuwa amebaki mchache sana au wanakuwa wamemalizwa; na hapo tunasema mwili wako umeshatengeneza kinga dhidi yake (yaani una antibodies zake/ au tunaita vaccine/ kinga yake), hivyo hawezi kukudhuru tena. Sasa siku ukienda kupima 'Virusi vya ukimwi' hawatakupima virusi vya ukimwi, ni uongo, watakudanganya kwamba wamekupima hivyo virusi lakini ukweli ni kwamba watapima uwepo wa hizo antibodies/kinga dhidi ya huyo kirusi, wakigundua tu kwamba mwili wako una hiyo kinga/ antibodies basi watakwambia wewe 'una virusi vya ukimwi, WHICH IS NOT TRUE! EVEN YOU CAN SEET THAT NOW! Sasa kitakachokupa UKIMWI ni zile sumu, maana wanasema hayo madawa ya AZT na ARV ni HIGHLY TOXIC, na unatumia kwa miaka mingi na mara kwa mara, lazima tu utaugua ugonjwa wa INI na FIGO kwa kunywa hizo sumu, na eventually kinga ya mwili itashuka, na utakonda tu kwa mawazo, halafu ndio wanaita umekufa kwa UKIMWI, WAXENGE SANA WAZUNGU ***** ZAO!
Sasa mkuu huyo retro_virus akiingia mwilini anakua na madhara gani? Kma mwili utashindwa kuzalisha antibodies za kupambana nae?
 
Kama unatumia line ya voda nenda kwa mawakala unawapa 10,000 uunganishwe na uni offer bandle zao zinaeleweka na mtandao wao uko poua kwa baazi ya maeneo!!
Dah.... hii huduma bado ipo?
 
HIV/AIDS au VVU/UKIMWI hauambukizwi kwa njia ya ngono/sex na HIV hasababishi ukimwi.Jitahidini kidogo ku stretch uwezo wenu,elimu ipo lakini mnairuka kwa makusudi.

HIV/AIDS is a mindset disease.Sijui kama nitaeleweka kwa kusema hivi.Yaani ugonjwa huu haupo kiuhalisia,kinachoua si HIV bali kinachoua ni ARVs kwa wale wanaozitumia.Hata kama mtu hatumii ARVs na amedhoofika wewe mpime tu utagundua kwamba lazima awe na ugonjwa fulani unaofahamika,aidha TB,Pneumonia,Cancer nk.

Watu wanadhani mimi nimekurupuka kwa siku moja tu na kuja kuandika yote haya,la hasha nimefuatilia na kufanya tafiti ya mambo haya kwa zaidi ya miaka 5.Watu wanachukulia kirahisi sana,hawagundui hata kwa nini mimi ninawaeleza haya,hawagundui hata kidogo upendo huu ninaouonesha kwao.


Mkuu Nimekufuatilia katika kujenga hoja zako lakini nimepatwa na ukakasi kidogo kwaa namna unavyozielezea.

Unaposema "HIV/AIDS is a mindset disease na haupo" sijui unazungumzia nini kwa kweli. Huu ugonjwa kwa nilivyosoma na kuelewa umeanza miaka ya 1983 kwa hapa Bongo. Kipindi hicho Watanzania walijikuta katika vita kubwa na adui ambaye tokea dakika za awali walionekana kumshindwa na kuwapiga kwa huzuni na majonzi kwani ndugu, jamaa na rafiki wengi tulishuhudia wakipukutika mithili ya majani kipindi cha kiangazi.

Sana zaidi Gonjwa hili lilionyesha umahiri wake kwa namna lilivyowatesa wahanga kwa kuugua vibaya mno. Tulishuhudia jinsi ndugu zetu walivyokonda na kubaki kama miti mikavu huku nywele zao zikiyeyuka vichwani mwao. Madonda makubwa yaliyoacha majeraha yasiosemeka yalitosha kutafsiri maumivu makali ya gonjwa hili.

Vifo mahala mahala vilisikika, vifusi vya udongo viliongezeka na kufanya kumbukumbu isiyosahaulika kwenye nyoyo za watu. Hii ilifanya gonjwa hili likibeba umaarufu na umashuhuri dhidi ya magonjwa mengine kama Malaria kwa kigezo cha mateso makali na suala la tiba.

Namna ugonjwa huu unavyosambazwa ni namna ya kujamiana baina ya mtu mwenye HIV na yule ambaye hana. Pia ilieleezwa kuwa njia nyingine ni kama kubadilisha damu, kuchangia vitu vyenye ncha kali na mwenye hilo ZIMWI. Bila shaka njia hizi ndizo zilionekana ni msingi wa huu ugonjwa jambo ambalo mpaka leo hazijabadilika na hakuna aliyetoa njia Kinzani.

Uvumbuzi wa ARVs ulileta ahueni na tumaini kwa watu wote waishio katika bara giza la watu wenye ngozi zilizoungua. Wengi walizikimbilia na hakika matunda yalionekana kwa baadhi yao hasa wale waliofuata kanuni za msingi za dawa hizo na lishe bora. Kinachpstaajabisha ni kuwa pamoja na wahanga kubwia dawa hizo lakini hazikushinda pomoni, kwani hazikufua dafu zaidi ya kupunguza makali na vitisho vya gonjwa hili hatari. Kifo ndiye aliyekuwa rafiki mzuri katika pambano hili baina ya wahanga na Jitu lisiloonekana naam ndilo HIV.

Chisaye, naomba uniambie ni nini kilichokuwa kinawatesa ndugu zetu kwa ukatili mkubwa ule kabla ya ARVs kuvumbuliwa?

Mbili, Unaposema TB huwa na dalili kama hizo(Ni kweli) lakini kuenezwa kwa HIV na TB mbona ni tofauti? na Mbona kuna uhusiano wa karibu baina ya njia za kupata HIV kupitia kujamiana baina ya mwenye na asiye na HIV?

Je ikiwa mtu ataonyesha dalili za gonjwa ambalo umesema halipo unamshauri nini hasa endapo hata magonjwa mengine ya namna hiyo kama TB, Cancer nayo hayaonekani?

Karibu sana kwa hoja
 
Ttcl 1000 4Gb masaa 24. Speed full 4G. *148*30# 4. Bandika bandua. Kifurushi cha siku yaani masaa 24. Kuanzia saa 6 mpaka 12 asubuhi 1000 unapata 10gb. Muda wa kudownload series na muvi na kuupdate mashine.
Sie huku mikoani hawajatugikia kabisa
 
Nakuelewa sana Chisaye, ila kinachoniuma nina ndugu wengi wanatumia ARV kwa sasa, nifanyeje sasa kuwasaidia au niachane nao tu
Wasije wakaacha, nadhani wakiacha watakufa haraka zaidi kwa magonjwa nyemelezi kwani ARV's zimshadhoofisha sana kinga zao, na ndio kinachowaweka hai, ila pia wanavyoendelea kunywa ni lazima ini, figo na moyo vitakuja kufeli tu, kutumia ARV kwa maoni yangu ni death sentence
 
nimegundua kuwa unabishana mwenyew na huna facts zilizojaa ukweli wa kitu unachobase...hivi unajua utofauti kati ya HIV( VVU) ba AIDS( ukimwi) ...?? kmaa ukiweza kutofautisha kati ya hivo vitu viwiki basi huezi endelea kujiuliza kwanin kioi kinaanza na kipi kinafuata....mtu akiwa na VVU( HIV) hamanishi ana ukimwi..naomba uelewe hapo ndgu....ila ukiwa na HIV kwa muda mrefu ndo utapata Ukimwi, tutasema umepata ukimwi endapo kwanza unaidadi ya Virusi mwilini mwako lakini pia umeanza kupata magonjwa nyemelezi ambayo hayawezi yakaja kama kinga ya mwili iko juu...unapopata HIV infection means kadri HIV wanavyozaliana ndipo immunity yako inazidi kushambuliwa ( na siyo kushambuliwa tu yani HIV DNA inauwezo wa kushut down immune gene activator hence low production ya antibodies against infection) hii naongea katika molecular level sasa make naona kama huelewi.....kwa hiyo HIV akishashut down hizo genes specific for immunity activation ndo hapo tayar bacteria anayesababibsha kuhalibika kwa mapafu( TB)anaingia mwilini,bacteria wanaosababisha home kali wanaingia mwilini,yani kila aina ya takataka aingia mwilini na kusababbisha kupata grupu kubwa la dalilili nyingi na hilo grupu kubwa la dalili nyingi ndo tunaita upungufu wa kinga mwilini(ukimwi)/ AIDS.. kwa hiyo usibase kusema kuwa mtu anaweza pata HIV halafu akakosa ukimwi ndiyo nakubali make tutaita ukimwi( AIDS) pale ambapo mtu kaanza kuonesha dalili za baadhi ya mifumo mwilini kushindwa kufanya kazi kutokana na uwezo wa mwili kushindwa kufanya kazi dhidi ya wadudu nyemelezi....kupata AIDS AINATEGEMEA na HIV kushut down mapema genes foe immunity activation antibody production ndo maana utakuta wengine wana HIV bila kujijua hata zaidi ya miaka 10 ika kuna siku inalipuka hilo ongezeko la HIV na kufanya mwili upate UKIMWI...
Ukimwi=Upungufu wa kinga mwilini,ukimwi hauambukizwi kwa jinsi yoyote ile kutoka kwa mtu mmoja kwenda kwa mwingine,asilan abadani hauambukizwi.Ukimwi ulikuwapo karne nyingi zilizopita kabla ya hata mwaka 1984 baada ya kutangazwa kwa HIV feki.Ukimwi si jambo la kutisha/kutishia maisha kama utajua sayansi yake kwa maana ya chanzo na jinsi ya kukikabili.Ukimwi unatibika kirahisi sana tena kuliko magonjwa mengi sana na ukimwi hausababishwi na HIV kama tulivyoaminishwa huko nyuma.
Sababu zinazosababisha ukimwi ziko nyingi sana.Katika hizi sababu nyingi HIV hayumo.Na ndio maana kuna wakati nasema sababu kubwa inayosababisha ukimwi ni lifestyle;

1.Malnutrition/utapiamlo,
2.Oxdative stress,
3.Repeated infections
4.Ukosefu wa maji safi ya kunywa
5.Alcohol abuse
6.Frequent use of drugs(eg antibiotics,diclofenac,ARVs,contraceptive pills,chemotherapy,radiations etc),
7.Frequent use of drugs(heroin,cocaine etc )
8.Stress/msongo

Ukimwi humtokea mtu yeyote wakati wowote,na wakati mwingine ukimwi hutoweka wenyewe bila hata mhusika kujijua,endapo tu atabadilisha lifestyle.Kila mtu alishawahi kupata ukimwi wakati fulani wa maisha yake,na ndio maana kuna wakati tunaumwa magonjwa ya kuambukizwa mara kwa mara halafu kuna wakati tunakaa muda mrefu sana bila kuumwa.Mwili hujikinga kwa namna tofauti tofauti kulingana na ugonjwa.Lakini endapo kinga itashuka kidogo basi ni rahisi kushambuliwa na magonjwa ya kuambukizwa au yasiyoambukizwa kama cancer.
Leo hii tumekuwa brainwashed na tunauona ukimwi ni ugonjwa wa kutisha sana tofauti na kipindi cha nyuma,watu watakuona wewe umechanganyikiwa kama utasema kwamba ukimwi hautishi na wala hauambukizwi.Jamaa hawa wamefanikiwa sana kuturubuni akili zetu.Njia wanazozitumia kurubuni akili zetu ni very scientific,kwa akili za watu wengi na hasa sisi weusi si rahisi kung'amua uongo huu wa kisayansi,wametumia sayansi kubwa sana kutudanganya.

Sasa kama una swali kuhusu ukimwi zaidi ya hayo niliyoeleza,kuwa huru,nakukaribisha.
 
Sasa mkuu huyo retro_virus akiingia mwilini anakua na madhara gani? Kma mwili utashindwa kuzalisha antibodies za kupambana nae?
Madhara yake ukitaka kuyajua, tafuta mtu, mpime, ukimkuta ni HIV negative (yaani hana kinga ya huyo Retro-virus), halafu tafuta hicho kirusi cha 'HIV' (hata sijui utakipata wapi) halafu mchome nacho, kisha kabla mwili wake haujatengeneza kinga (antibodies) anza kumnywesha ARV's kwa wingi ili mwili udhoofike ushindwe kupambana nacho, then majibu utakayopata tuletee mrejesho kwa faida ya watz wote.
 
Mkuu Nimekufuatilia katika kujenga hoja zako lakini nimepatwa na ukakasi kidogo kwaa namna unavyozielezea.

Unaposema "HIV/AIDS is a mindset disease na haupo" sijui unazungumzia nini kwa kweli. Huu ugonjwa kwa nilivyosoma na kuelewa umeanza miaka ya 1983 kwa hapa Bongo. Kipindi hicho Watanzania walijikuta katika vita kubwa na adui ambaye tokea dakika za awali walionekana kumshindwa na kuwapiga kwa huzuni na majonzi kwani ndugu, jamaa na rafiki wengi tulishuhudia wakipukutika mithili ya majani kipindi cha kiangazi.

Sana zaidi Gonjwa hili lilionyesha umahiri wake kwa namna lilivyowatesa wahanga kwa kuugua vibaya mno. Tulishuhudia jinsi ndugu zetu walivyokonda na kubaki kama miti mikavu huku nywele zao zikiyeyuka vichwani mwao. Madonda makubwa yaliyoacha majeraha yasiosemeka yalitosha kutafsiri maumivu makali ya gonjwa hili.

Vifo mahala mahala vilisikika, vifusi vya udongo viliongezeka na kufanya kumbukumbu isiyosahaulika kwenye nyoyo za watu. Hii ilifanya gonjwa hili likibeba umaarufu na umashuhuri dhidi ya magonjwa mengine kama Malaria kwa kigezo cha mateso makali na suala la tiba.

Namna ugonjwa huu unavyosambazwa ni namna ya kujamiana baina ya mtu mwenye HIV na yule ambaye hana. Pia ilieleezwa kuwa njia nyingine ni kama kubadilisha damu, kuchangia vitu vyenye ncha kali na mwenye hilo ZIMWI. Bila shaka njia hizi ndizo zilionekana ni msingi wa huu ugonjwa jambo ambalo mpaka leo hazijabadilika na hakuna aliyetoa njia Kinzani.

Uvumbuzi wa ARVs ulileta ahueni na tumaini kwa watu wote waishio katika bara giza la watu wenye ngozi zilizoungua. Wengi walizikimbilia na hakika matunda yalionekana kwa baadhi yao hasa wale waliofuata kanuni za msingi za dawa hizo na lishe bora. Kinachpstaajabisha ni kuwa pamoja na wahanga kubwia dawa hizo lakini hazikushinda pomoni, kwani hazikufua dafu zaidi ya kupunguza makali na vitisho vya gonjwa hili hatari. Kifo ndiye aliyekuwa rafiki mzuri katika pambano hili baina ya wahanga na Jitu lisiloonekana naam ndilo HIV.

Chisaye, naomba uniambie ni nini kilichokuwa kinawatesa ndugu zetu kwa ukatili mkubwa ule kabla ya ARVs kuvumbuliwa?

Mbili, Unaposema TB huwa na dalili kama hizo(Ni kweli) lakini kuenezwa kwa HIV na TB mbona ni tofauti? na Mbona kuna uhusiano wa karibu baina ya njia za kupata HIV kupitia kujamiana baina ya mwenye na asiye na HIV?

Je ikiwa mtu ataonyesha dalili za gonjwa ambalo umesema halipo unamshauri nini hasa endapo hata magonjwa mengine ya namna hiyo kama TB, Cancer nayo hayaonekani?

Karibu sana kwa hoja
Daah, mbona ameshaeleza vizuri mno kwenye post za nyuma? Fuatilia majibu yake ya nyuma
 
Nimewahi kusoma mada zake saaaaaaaaaaana ila sijawahi kuchangia, the guy anaongea the naked truth ila sababu timeshawekwa kwenye zone mbaya that's why tunampinga ila in reality there's nothing as UKIMWI
Mkuu upungufu wa kinga mwilini (UKIMWI) upo lakini hausababishwi na kirusi HIV, huyo kirusi anasingiziwa. Vijana wa mjini wanasema kaangushiwa jumba bovu.
 
Nadhani upo kwa ajili kupotosha ukweli kuhusu HIV ili watanzania waache ARVs na kuongezeke vifo kwa watanzania.....Kwavile tupo JF na hizi fake ID tungeweza kuweka mjadala wa ana kwa ana.

Unachanganya sana watu hapa kuhusu HIV na vipimo pamoja na ARVs sielewi lengo lako ni nini....mara useme HIV hakuna hiyo ni fake mara useme mtu yoyote akipimwa anaweza kuwa positive kwa HIV wakati hana kisa ni vipimo vimewekwa hivyo.Mara mtoto anaweza kuzaliwa HIV positive na mama ambaye ni HIV negative mimi kiukweli hata sikuelewi kabisa unachosema kuhusu mambo mengi ya HIV zaidi ya kuwavuruga watanzania wasiokuwa na elimu ya sayansi hasa hasa biology na medicine.
Wewe ndio unajichanganya unashindwa kumuelewa ila ukitulia na ukaruhusu akili yako kumuelewa hutochanganyikiwa kabisa....!
 
nimegundua kuwa unabishana mwenyew na huna facts zilizojaa ukweli wa kitu unachobase...hivi unajua utofauti kati ya HIV( VVU) ba AIDS( ukimwi) ...?? kmaa ukiweza kutofautisha kati ya hivo vitu viwiki basi huezi endelea kujiuliza kwanin kioi kinaanza na kipi kinafuata....mtu akiwa na VVU( HIV) hamanishi ana ukimwi..naomba uelewe hapo ndgu....ila ukiwa na HIV kwa muda mrefu ndo utapata Ukimwi, tutasema umepata ukimwi endapo kwanza unaidadi ya Virusi mwilini mwako lakini pia umeanza kupata magonjwa nyemelezi ambayo hayawezi yakaja kama kinga ya mwili iko juu...unapopata HIV infection means kadri HIV wanavyozaliana ndipo immunity yako inazidi kushambuliwa ( na siyo kushambuliwa tu yani HIV DNA inauwezo wa kushut down immune gene activator hence low production ya antibodies against infection) hii naongea katika molecular level sasa make naona kama huelewi.....kwa hiyo HIV akishashut down hizo genes specific for immunity activation ndo hapo tayar bacteria anayesababibsha kuhalibika kwa mapafu( TB)anaingia mwilini,bacteria wanaosababisha home kali wanaingia mwilini,yani kila aina ya takataka aingia mwilini na kusababbisha kupata grupu kubwa la dalilili nyingi na hilo grupu kubwa la dalili nyingi ndo tunaita upungufu wa kinga mwilini(ukimwi)/ AIDS.. kwa hiyo usibase kusema kuwa mtu anaweza pata HIV halafu akakosa ukimwi ndiyo nakubali make tutaita ukimwi( AIDS) pale ambapo mtu kaanza kuonesha dalili za baadhi ya mifumo mwilini kushindwa kufanya kazi kutokana na uwezo wa mwili kushindwa kufanya kazi dhidi ya wadudu nyemelezi....kupata AIDS AINATEGEMEA na HIV kushut down mapema genes foe immunity activation antibody production ndo maana utakuta wengine wana HIV bila kujijua hata zaidi ya miaka 10 ika kuna siku inalipuka hilo ongezeko la HIV na kufanya mwili upate UKIMWI...

Tukienda upande wa pili kwamba 'HIV' hayupo na AIDS haisababishwi na HIV pia na mimi nitakuletea scientific papers nyingi sana,halafu mwisho wa siku tutakuwa tunashindana kutoa scientific papers.Wewe umetoa scientific papers za watu unaowaamini na mimi nitatoa zangu za wale ninaowaamini,mwisho wa siku hata wana JF hawatang'amua chochote.

Hao unaowaamini wewe wameshindwa na wale ninaowaamini mimi kwenye lab experiments(ambazo kwa hapa ni vigumu kuwathibitishia watu maana tutajaza scientific papers tu humu) na real life experince.Yaani kile kinachoonekana kiuhalisia.

Tukienda kwenye body chemistry, hilo mimi sina tatizo na ninyi kwa kuwa hata nikikwambia uniletee electronics photos za hizo cells najua utaniletea kwa kuwa zipo kiuhalisia.Tatizo linakuja kwenye electronics micrographs za purified HIV.Najua hata ufanye vipi huwezi kuniletea hizo na ukileta lazima zitakuwa feki kwa kuwa hata hao unaowaamini walishakubali kwamba wameshindwa ku purify HIV,wewe unajua umuhimu wa purification hivyo sina haja ya kueleza mengi hapa.

Kama wameshindwa ku purify HIV,sasa ile picha ya HIV kwenye vitabu vyenu wameipata wapi?Evidence nzuri hapa ni ile ya matukio tunayoyaona mtaani.Maana hata niki disqualify hizo paper zako bado watu hawataelewa nini kinaendelea.

Robert Gallo na Luc Montaigner hawajawahi ku purify HIV.Hawawezi pia kuthibitisha kwamba HIV anasababisha AIDS.Usifikiri Kary Mullis ameingia uchizi kukataa kwamba HIV hasababishi AIDS wakati kipimo alichogundua cha PCR ndio kinategemewa kwenye haya mambo yenu.

Usifikiri Prof.Peter Duesberg ameingia uchizi kusema kwamba HIV hasababishi AIDS.Robert Gallo na Luc Montaigner wameshindwa kujibu hoja za hawa wachache tu niliowataja hapa,wewe ukiweza kujibu nitakushangaa sana umepata wapi maelezo hayo.Cha msingi ni kujibu hoja za hawa jamaa.Fahamu kwamba na hawa ni madaktari pia tena wenye hadhi ya juu duniani.

Pia fahamu kwamba Peter Duesberg anaijua virology vizuri zaidi ya hao wanaojiita wagunduzi wa HIV kwa maana ndio field yake hasa na ndio maana wanamkimbia hata kwenye open debate,ninyi hamlijui hili na hamuwezi kuambiwa.

Robert Gallo na Luc Montaigner(wagunduzi wa 'HIV') wameshindwa kujibu (kwa usahihi) hoja zifuatazo za Peter Duesberg.Naomba wewe uzijibu kama hutajali.

Nimeongeza neno kwa usahihi kwa kuwa mtu yeyote anaweza kutunga kitu chochote ili watu wamwamini hata kama hakina ukweli wa kisayansi.Hawa kina R.Gallo na L.Montaigner ndio ma father wa kutunga,wanachokisema ukilinganisha na lab experiment viko tofauti kabisa.Sasa jibu hoja hizo hapo chini.

 
Wasije wakaacha, nadhani wakiacha watakufa haraka zaidi kwa magonjwa nyemelezi kwani ARV's zimshadhoofisha sana kinga zao, na ndio kinachowaweka hai, ila pia wanavyoendelea kunywa ni lazima ini, figo na moyo vitakuja kufeli tu, kutumia ARV kwa maoni yangu ni death sentence
Hii itabaki yangu moyoni, ila wazungu ni watu wabaya sana, wanatugeuza mitaji
 
Ngoja nikwambie kitu hapa mkuu;Kuna vitu vya kusikia na vya kuona mwenyewe.Halafu vile vya kuona mwenyewe pia unaweza kuvielewa au usivielewe kulingana na upeo au elimu aliyonayo mtu.Watu wengi wanazungumza vitu vya kusikia zaidi,na wale walioona hawakuwa na uelewa au elimu ya kutosha kipindi ambacho wanaona hivyo vitu.

Mimi ninayezungumza hapa nimefanya tafiti nyingi za kisayansi.Siko hapa JF kuleta porojo kama wengine wanavyodhani,watu wamejikita zaidi kwenye upingaji lakini hawakujiandaa kuelewa.Kama mtu hakujiandaa kuelewa utamjua tu,na kamwe hawezi kuelewa hata ukimpatia evidence ya aina gani,mtu huyu atalazimisha umpe evidence si kwamba anataka kuelewa la hasha bali anataka ukwame,ukimpa evidence haisomi/haifuatilii na badala yake anatafuta mtego mwingine ili ukwame.Hii ndio tabia ya watu wengi humu JF,wamejiandaa kupinga na kuleta porojo zaidi badala ya kutoa hoja za kisayansi ili kupinga zile ninazotoa mimi.

Jibu lako hili hapa chini;
Miaka ya 1990 ARVs zilikuwa zimeshagundulika ila zilikuwa bado hazijafika kwa wingi Tanzania.ARVs(AZT) zilianza kutumika kwa mara ya kwanza Marekani mwaka 1987,hivyo nakubaliana na wewe kwamba wengi walikuwa hawatumii ARVs Tanzania lakini walikuwa wanakufa kwa magonjwa.Swali linakuja,Je,walikuwa wanakufa kwa magonjwa gani?

Kumbuka kwamba(kama ulikuwa na akili timamu miaka ya 1990) hali ya uchumi kwa upande wa huduma za kijamii ilikuwa mbaya sana kipindi kile hasa huduma za kiafya.

Magonjwa yaliyoongoza kwa kuuwa watu yalikuwa ni malaria na TB,malaria ikishika namba moja.Vipimo vilikuwa duni na madawa pia yalikuwa adimu.Na ndio maana hata ukiangalia takwimu za wagonjwa wa TB zilikuwa zinashuka kuanzia mwaka 1990 kuja juu kwa kadri huduma za kiafya zilivyoboreshwa.Watu walikufa kwa TB na malaria na si HIV.Kama mtu ana uthibitisho kuonesha kwamba HIV/AIDS ndio iliua watu wengi kipindi kile basi alete hapa jukwaani.Maana kuna mambo ya kusikia bila kuona na ukweli.

Kuhusu malaria,unaweza usiamini kwa kuwa haikudhoofisha watu.Lakini TB ilikuwa inatisha ndugu yangu.Si unajua TB iliyokomaa ikoje?Sasa changanya na tatizo la upatikanaji wa huduma za kiafya kipindi kile yaani madawa na vipimo.Hivyo wagonjwa wengi wa TB walishindwa kupata huduma za vipimo na dawa kwa sababu mbalimbali zikiwemo uelewa,umbali wa kufika vituo vya afya vipimo duni na madawa.

Mgonjwa wa TB aliyekosa kabisa huduma huwezi kumuangalia mara mbili.Sasa ukichanganya na kasumba tuliyomezeshwa ya HIV/AIDS jinsi tulivyotangaziwa na vyombo vya habari kipindi hicho redio ni moja,basi kila kitu kinachotangazwa tunakiamini,hivyo tukasahau kabisa kama dalili za TB ndio zilezile dalili za HIV/AIDS tulizoambiwa;
-Kukonda sana
-kupungua uzito
-kuishiwa nguvu
-homa za mara kwa mara
-Kutapika au kuharisha kutegemeana na aina ya TB(GI TB)
-Kukohoa mara kwa mara nk.

Lakini watu bado wanafunga milango yao ya fahamu kujifanya hawajui kama hizi dalili mtu mwenye TB pia anakuwa nazo eti kwa sababu redio imetangaza kwamba hizi ni dalili za VVU/Ukimwi.Silaumu sana kwa maana elimu na uelewa pia kipindi kile vilikuwa chini sana.

Hakuna mgonjwa yeyote wa TB ambaye nywele zake zilinyonyoka kipindi kile kabla ya ARVs hazijaanza kutumika.Kama mtu ana evidence alete hapa.Baada ya ARVs kuanza kutumika ndio ikaongezeka dalili nyingine ya kunyonyoka nywele au nywele kuwa dhaifu.Pia baada ya ARVs kuanza kutumika,zikaongezeka dalili nyingine kama vile;
-Ugonjwa wa moyo
-Matatizo ya figo
-matatizo ya ini
-tumbo kujaa
-miguu kuvimba
-Upungufu wa damu
-Cancer/saratani

Hayo matatizo niliyotaja hapo juu,hamna hata tatizo moja linalosababishwa na HIV.Kama mtu anapinga alete ushahidi.

Nywele kunyonyoka ni dalili mojawapo ya mtu anayetumia ARVs.ARVs na dawa za chemotherapy zinafanana kwa kuwa na common component.Mgonjwa wa cancer pia akitumia chemotherapy hunyonyoka nywele.Kama mtu anapinga hili pia,aje na evidence.

Watu walikuwa wanadhoofika kabla hata kutangazwa kwa HIV mwaka 1984,yaani miaka ya 1970 na kabla ya hapo,walikuwa wana dalili zote za TB nilizozitaja na watu wa kipindi hicho walikuwa wanaona kwa macho yao.Lakini baada ya kutangazwa kwa HIV,watu wamesahau kabisa kama kuna ugonjwa unaitwa TB na una dalili kama za HIV/AIDS tulizoambiwa/kudanganywa,ama kweli ujinga ni mbaya sana.

Angalizo;
Watu wanaangalia tu upande mmoja,lakini hawajui pia kwamba asilimia ya 97%(WHO data) ya watu waliopimwa wakakutwa na huyu HIV feki katika bara la Afrika hawana AIDS.Asilimia 3% ya walio na huyu HIV feki ndio wana AIDS.Na AIDS waliyonayo inalezeka kisayansi wameipataje,lakini haikusababishwa na huyu HIV feki.

Nikianza kutoa list ya maswali ya kutatanisha kuhusu HIV/AIDS sitamaliza,lakini siko hapa kwa ajili hiyo bali nipo hapa ili kuwaelewesha watu.Lakini kuna watu wamejikita kupinga tu na kuuliza maswali ya mitego ambayo wao wanadhani hayajibiki,kumbe yana majibu rahisi sana.Wanataka wajibiwe,lakini wakijibiwa hawasomi,na wakisoma wanasoma kwa bias,yaani wanasoma huku wakiwa na mlengo wa kupinga.Siwezi kupoteza muda wangu kujadiliana na watu kama hao.

Fahamu pia sasa hivi katika NGO zinazoshughulikia masuala ya HIV/AIDS kuna kitengo kinachohusiana na cervical cancer kwa wanawake.Sasa umeshawahi kujiuliza kwa nini wameweka kitengo hicho ndani ya NGO hizo?

Jibu ni rahisi sana;Ni kwa sababu wanawake wengi wanaotumia ARVs kwa muda mrefu mwishowe hupata cervical cancer,cancer hii haisababishwi na HIV la hasha,husababishwa na matumizi ya ARVs.Dawa za uzazi wa mpango pia husababisha cancer,lakini hapa nazungumzia specifically ARVs.
Je,unajua pia kwa nini mama wajawazito sasa hivi kuna sheria lazima wapimwe HIV?Jibu ni rahisi sana;Hawa jamaa si kwamba wanatupenda saaaana la hasha,bali wanatafuta wateja kinguvu,wanajua kwamba mama wajawazito ni rahisi sana kukutwa HIV+ kutokana na trick waliyoiweka kwenye vipimo vya HIV.Mama wajawazito wana uwezekano mkubwa wa kutoa protein ambazo zinafanana kabisa na zile zinazokuwa targeted na vipimo vyao ambazo hufanya mwili wa mama mjamzito ku generate antibodies dhidi ya hizo protein.Antibodies hizi zikionekana ndizo zinazofanya vipimo vioneshe kwamba mtu ni HIV+.Lakini kuna muda protein hizi zinatoweka kama hali iliyosababisha zitokee ikitoweka.Na ndio maana mtu anaweza kuwa HIV+ leo halafu siku nyingine akapima akawa HIV-.

Hivyo basi,mtu kuwa HIV+ is not a big deal,ni usanii tu wa vipimo.Ila mtu anayetumia ARVs kwa muda mrefu huwa mara nyingi anaonekana HIV+ kutokana na sayansi ya dawa zilivyo.Yaani ndugu yangu haya mambo ni mengi sana na ni mazito,inahitaji utulie sana,huwezi kutulia kama una attitude ya kupinga.

Mtu mwenye attitude ya kupinga hawezi kupata kitu hapa,atarukaruka tu huku na kule.Na ndio maana hawa jamaa pamoja na kwamba nawachukia,lakini hapa wametumia sayansi kubwa sana kudanganya watu.Na kwa jamii hii ya watu ninayoiona humu JF,wataishia kuongozwa kama ng'ombe malishoni,waombe tu wasipimwe HIV+,watajuta,kwa kuwa hawatajua la kufanya ili kujitetea.Na lazima ARVs ziwaue watu kama hawa.
naomba kuuliza mama mjamzito afanyaje anapokutwa baby HIV?
Na amkinge vipi mtoto dhidi ya HIV feki
 
Wewe ndio unajichanganya unashindwa kumuelewa ila ukitulia na ukaruhusu akili yako kumuelewa hutochanganyikiwa kabisa....!
Kwa maelezo yake wala siwezi kumuelewa na wala sitaruhusu akili yangu kuelewa ujinga anaoandika hapa kuhusu UKIMWI na HIV......Nimesoma sayansi tena biology O na A level na pia nimesoma chuo sayansi hicho anachokieleza ni kitu ambacho nadhani anachanganya na imani zingine zinazopingana na masuala mazima ya maendelo ya sayansi na teknolojia ya nchi za magharibi
 
Ngoja nikwambie kitu hapa mkuu;Kuna vitu vya kusikia na vya kuona mwenyewe.Halafu vile vya kuona mwenyewe pia unaweza kuvielewa au usivielewe kulingana na upeo au elimu aliyonayo mtu.Watu wengi wanazungumza vitu vya kusikia zaidi,na wale walioona hawakuwa na uelewa au elimu ya kutosha kipindi ambacho wanaona hivyo vitu.

Mimi ninayezungumza hapa nimefanya tafiti nyingi za kisayansi.Siko hapa JF kuleta porojo kama wengine wanavyodhani,watu wamejikita zaidi kwenye upingaji lakini hawakujiandaa kuelewa.Kama mtu hakujiandaa kuelewa utamjua tu,na kamwe hawezi kuelewa hata ukimpatia evidence ya aina gani,mtu huyu atalazimisha umpe evidence si kwamba anataka kuelewa la hasha bali anataka ukwame,ukimpa evidence haisomi/haifuatilii na badala yake anatafuta mtego mwingine ili ukwame.Hii ndio tabia ya watu wengi humu JF,wamejiandaa kupinga na kuleta porojo zaidi badala ya kutoa hoja za kisayansi ili kupinga zile ninazotoa mimi.

Jibu lako hili hapa chini;
Miaka ya 1990 ARVs zilikuwa zimeshagundulika ila zilikuwa bado hazijafika kwa wingi Tanzania.ARVs(AZT) zilianza kutumika kwa mara ya kwanza Marekani mwaka 1987,hivyo nakubaliana na wewe kwamba wengi walikuwa hawatumii ARVs Tanzania lakini walikuwa wanakufa kwa magonjwa.Swali linakuja,Je,walikuwa wanakufa kwa magonjwa gani?

Kumbuka kwamba(kama ulikuwa na akili timamu miaka ya 1990) hali ya uchumi kwa upande wa huduma za kijamii ilikuwa mbaya sana kipindi kile hasa huduma za kiafya.

Magonjwa yaliyoongoza kwa kuuwa watu yalikuwa ni malaria na TB,malaria ikishika namba moja.Vipimo vilikuwa duni na madawa pia yalikuwa adimu.Na ndio maana hata ukiangalia takwimu za wagonjwa wa TB zilikuwa zinashuka kuanzia mwaka 1990 kuja juu kwa kadri huduma za kiafya zilivyoboreshwa.Watu walikufa kwa TB na malaria na si HIV.Kama mtu ana uthibitisho kuonesha kwamba HIV/AIDS ndio iliua watu wengi kipindi kile basi alete hapa jukwaani.Maana kuna mambo ya kusikia bila kuona na ukweli.

Kuhusu malaria,unaweza usiamini kwa kuwa haikudhoofisha watu.Lakini TB ilikuwa inatisha ndugu yangu.Si unajua TB iliyokomaa ikoje?Sasa changanya na tatizo la upatikanaji wa huduma za kiafya kipindi kile yaani madawa na vipimo.Hivyo wagonjwa wengi wa TB walishindwa kupata huduma za vipimo na dawa kwa sababu mbalimbali zikiwemo uelewa,umbali wa kufika vituo vya afya vipimo duni na madawa.

Mgonjwa wa TB aliyekosa kabisa huduma huwezi kumuangalia mara mbili.Sasa ukichanganya na kasumba tuliyomezeshwa ya HIV/AIDS jinsi tulivyotangaziwa na vyombo vya habari kipindi hicho redio ni moja,basi kila kitu kinachotangazwa tunakiamini,hivyo tukasahau kabisa kama dalili za TB ndio zilezile dalili za HIV/AIDS tulizoambiwa;
-Kukonda sana
-kupungua uzito
-kuishiwa nguvu
-homa za mara kwa mara
-Kutapika au kuharisha kutegemeana na aina ya TB(GI TB)
-Kukohoa mara kwa mara nk.

Lakini watu bado wanafunga milango yao ya fahamu kujifanya hawajui kama hizi dalili mtu mwenye TB pia anakuwa nazo eti kwa sababu redio imetangaza kwamba hizi ni dalili za VVU/Ukimwi.Silaumu sana kwa maana elimu na uelewa pia kipindi kile vilikuwa chini sana.

Hakuna mgonjwa yeyote wa TB ambaye nywele zake zilinyonyoka kipindi kile kabla ya ARVs hazijaanza kutumika.Kama mtu ana evidence alete hapa.Baada ya ARVs kuanza kutumika ndio ikaongezeka dalili nyingine ya kunyonyoka nywele au nywele kuwa dhaifu.Pia baada ya ARVs kuanza kutumika,zikaongezeka dalili nyingine kama vile;
-Ugonjwa wa moyo
-Matatizo ya figo
-matatizo ya ini
-tumbo kujaa
-miguu kuvimba
-Upungufu wa damu
-Cancer/saratani

Hayo matatizo niliyotaja hapo juu,hamna hata tatizo moja linalosababishwa na HIV.Kama mtu anapinga alete ushahidi.

Nywele kunyonyoka ni dalili mojawapo ya mtu anayetumia ARVs.ARVs na dawa za chemotherapy zinafanana kwa kuwa na common component.Mgonjwa wa cancer pia akitumia chemotherapy hunyonyoka nywele.Kama mtu anapinga hili pia,aje na evidence.

Watu walikuwa wanadhoofika kabla hata kutangazwa kwa HIV mwaka 1984,yaani miaka ya 1970 na kabla ya hapo,walikuwa wana dalili zote za TB nilizozitaja na watu wa kipindi hicho walikuwa wanaona kwa macho yao.Lakini baada ya kutangazwa kwa HIV,watu wamesahau kabisa kama kuna ugonjwa unaitwa TB na una dalili kama za HIV/AIDS tulizoambiwa/kudanganywa,ama kweli ujinga ni mbaya sana.

Angalizo;
Watu wanaangalia tu upande mmoja,lakini hawajui pia kwamba asilimia ya 97%(WHO data) ya watu waliopimwa wakakutwa na huyu HIV feki katika bara la Afrika hawana AIDS.Asilimia 3% ya walio na huyu HIV feki ndio wana AIDS.Na AIDS waliyonayo inalezeka kisayansi wameipataje,lakini haikusababishwa na huyu HIV feki.

Nikianza kutoa list ya maswali ya kutatanisha kuhusu HIV/AIDS sitamaliza,lakini siko hapa kwa ajili hiyo bali nipo hapa ili kuwaelewesha watu.Lakini kuna watu wamejikita kupinga tu na kuuliza maswali ya mitego ambayo wao wanadhani hayajibiki,kumbe yana majibu rahisi sana.Wanataka wajibiwe,lakini wakijibiwa hawasomi,na wakisoma wanasoma kwa bias,yaani wanasoma huku wakiwa na mlengo wa kupinga.Siwezi kupoteza muda wangu kujadiliana na watu kama hao.

Fahamu pia sasa hivi katika NGO zinazoshughulikia masuala ya HIV/AIDS kuna kitengo kinachohusiana na cervical cancer kwa wanawake.Sasa umeshawahi kujiuliza kwa nini wameweka kitengo hicho ndani ya NGO hizo?

Jibu ni rahisi sana;Ni kwa sababu wanawake wengi wanaotumia ARVs kwa muda mrefu mwishowe hupata cervical cancer,cancer hii haisababishwi na HIV la hasha,husababishwa na matumizi ya ARVs.Dawa za uzazi wa mpango pia husababisha cancer,lakini hapa nazungumzia specifically ARVs.
Je,unajua pia kwa nini mama wajawazito sasa hivi kuna sheria lazima wapimwe HIV?Jibu ni rahisi sana;Hawa jamaa si kwamba wanatupenda saaaana la hasha,bali wanatafuta wateja kinguvu,wanajua kwamba mama wajawazito ni rahisi sana kukutwa HIV+ kutokana na trick waliyoiweka kwenye vipimo vya HIV.Mama wajawazito wana uwezekano mkubwa wa kutoa protein ambazo zinafanana kabisa na zile zinazokuwa targeted na vipimo vyao ambazo hufanya mwili wa mama mjamzito ku generate antibodies dhidi ya hizo protein.Antibodies hizi zikionekana ndizo zinazofanya vipimo vioneshe kwamba mtu ni HIV+.Lakini kuna muda protein hizi zinatoweka kama hali iliyosababisha zitokee ikitoweka.Na ndio maana mtu anaweza kuwa HIV+ leo halafu siku nyingine akapima akawa HIV-.

Hivyo basi,mtu kuwa HIV+ is not a big deal,ni usanii tu wa vipimo.Ila mtu anayetumia ARVs kwa muda mrefu huwa mara nyingi anaonekana HIV+ kutokana na sayansi ya dawa zilivyo.Yaani ndugu yangu haya mambo ni mengi sana na ni mazito,inahitaji utulie sana,huwezi kutulia kama una attitude ya kupinga.

Mtu mwenye attitude ya kupinga hawezi kupata kitu hapa,atarukaruka tu huku na kule.Na ndio maana hawa jamaa pamoja na kwamba nawachukia,lakini hapa wametumia sayansi kubwa sana kudanganya watu.Na kwa jamii hii ya watu ninayoiona humu JF,wataishia kuongozwa kama ng'ombe malishoni,waombe tu wasipimwe HIV+,watajuta,kwa kuwa hawatajua la kufanya ili kujitetea.Na lazima ARVs ziwaue watu kama hawa.
YANI SIKU HIZI HOSPITALINI UNASHAURIWA KWA NGUVU ZOTE KUPIMA UKIMWI ALAFU WANAHAMASISHA UKIGUNDULIKA UNAO UANZE KUTUMIA KINGA.
 
Tukienda upande wa pili kwamba 'HIV' hayupo na AIDS haisababishwi na HIV pia na mimi nitakuletea scientific papers nyingi sana,halafu mwisho wa siku tutakuwa tunashindana kutoa scientific papers.Wewe umetoa scientific papers za watu unaowaamini na mimi nitatoa zangu za wale ninaowaamini,mwisho wa siku hata wana JF hawatang'amua chochote.

Hao unaowaamini wewe wameshindwa na wale ninaowaamini mimi kwenye lab experiments(ambazo kwa hapa ni vigumu kuwathibitishia watu maana tutajaza scientific papers tu humu) na real life experince.Yaani kile kinachoonekana kiuhalisia.

Tukienda kwenye body chemistry, hilo mimi sina tatizo na ninyi kwa kuwa hata nikikwambia uniletee electronics photos za hizo cells najua utaniletea kwa kuwa zipo kiuhalisia.Tatizo linakuja kwenye electronics micrographs za purified HIV.Najua hata ufanye vipi huwezi kuniletea hizo na ukileta lazima zitakuwa feki kwa kuwa hata hao unaowaamini walishakubali kwamba wameshindwa ku purify HIV,wewe unajua umuhimu wa purification hivyo sina haja ya kueleza mengi hapa.

Kama wameshindwa ku purify HIV,sasa ile picha ya HIV kwenye vitabu vyenu wameipata wapi?Evidence nzuri hapa ni ile ya matukio tunayoyaona mtaani.Maana hata niki disqualify hizo paper zako bado watu hawataelewa nini kinaendelea.

Robert Gallo na Luc Montaigner hawajawahi ku purify HIV.Hawawezi pia kuthibitisha kwamba HIV anasababisha AIDS.Usifikiri Kary Mullis ameingia uchizi kukataa kwamba HIV hasababishi AIDS wakati kipimo alichogundua cha PCR ndio kinategemewa kwenye haya mambo yenu.

Usifikiri Prof.Peter Duesberg ameingia uchizi kusema kwamba HIV hasababishi AIDS.Robert Gallo na Luc Montaigner wameshindwa kujibu hoja za hawa wachache tu niliowataja hapa,wewe ukiweza kujibu nitakushangaa sana umepata wapi maelezo hayo.Cha msingi ni kujibu hoja za hawa jamaa.Fahamu kwamba na hawa ni madaktari pia tena wenye hadhi ya juu duniani.

Pia fahamu kwamba Peter Duesberg anaijua virology vizuri zaidi ya hao wanaojiita wagunduzi wa HIV kwa maana ndio field yake hasa na ndio maana wanamkimbia hata kwenye open debate,ninyi hamlijui hili na hamuwezi kuambiwa.

Robert Gallo na Luc Montaigner(wagunduzi wa 'HIV') wameshindwa kujibu (kwa usahihi) hoja zifuatazo za Peter Duesberg.Naomba wewe uzijibu kama hutajali.

Nimeongeza neno kwa usahihi kwa kuwa mtu yeyote anaweza kutunga kitu chochote ili watu wamwamini hata kama hakina ukweli wa kisayansi.Hawa kina R.Gallo na L.Montaigner ndio ma father wa kutunga,wanachokisema ukilinganisha na lab experiment viko tofauti kabisa.Sasa jibu hoja hizo hapo chini.

ili twende sawa nijibu maswali yafuatayo...moja) Unigold huwa inapima specific antibody ipi mwilini ? na kwann unigold haijawah kusoma positive kwa mtu mwenye TB,skini diseasws,syphilis,gonnorrhea n.k apart from HIV virus infection...?? what does real unigold detect...?? (mbili) kama HIV hayupo accoeding to you sasa kwann wanapimwa wanakuta HIV specific antibodies zimeraise...?? if you 're real a molecular biotechnologist could you clarify more on that...??
 
Kwa maelezo yake wala siwezi kumuelewa na wala sitaruhusu akili yangu kuelewa ujinga anaoandika hapa kuhusu UKIMWI na HIV......Nimesoma sayansi tena biology O na A level na pia nimesoma chuo sayansi hicho anachokieleza ni kitu ambacho nadhani anachanganya na imani zingine zinazopingana na masuala mazima ya maendelo ya sayansi na teknolojia ya nchi za magharibi

Bado mimi nitaendelea kukuheshimu kwa kuwa wewe ni daktari na una uelewa mkubwa kuhusu mambo ya madawa.Hivyo wakati unaongea na mimi inabidi ujue kwamba unaongea na mtu anayekukubali kwenye field yako.Lakini pale ambapo huna uelewa nako sina budi kukujulisha, kwa maana hakuna anayejua vyote.



Hebu tuchukue mfano wa ARVs mojawapo inayoitwa Tenofovir Disoproxil Fumarate(TDF) ambayo inatumika na wagonjwa wengi wa AIDS,najua hapa nimekufikisha nyumbani kwako.
Dawa hii kwenye warning zake inasema "It can cause serious,life-threatening side effects.These include lactic acidosis and severe liver problems."
Najua unajua kwamba kiwango salama cha acid/alkali kwenye damu(yaani pH) ni 7.365,maana yake damu inatakiwa iwe slightly alkaline ili kinga ya mwili iweze kufanya kazi yake vizuri.Chini ya kiwango hicho ni majanga matupu,utakuwa na magonjwa yasiyohesabika na yasiyoisha mpaka unakufa.Najua mpaka hapa huna cha kupinga,labda urekebishe kidogo sana.
Sasa kama acid itajijenga kwenye damu yako,maana yake pH ya damu yako ita drop na kuwa chini ya 7.365.ARVs na specifically hii TDF ndivyo inavyofanya kwenye damu za wale wanaoitumia.TDF inaongeza kiwango cha acid kwenye damu.Acid ni sumu kwenye damu,acid inapokuwa nyingi INI haliwezi kufanya kazi yake inavyotakiwa na ndio maana kwenye dawa hizo severe liver problems imetajwa kama mojawapo ya effects.
Pia najua unajua ya kwamba kama damu ina acid nyingi,hewa ya oxygen inapungua sana hivyo seli za damu zinakosa oxygen ya kutosha kufanya kazi yake,najua unajua nini kinatokea kama seli za damu zitakosa oxygen.Hata wewe mwenye ukikosa oxygen unajua kitakutokea nini.Hapa najua huna hoja ya kupinga pia.

Sasa kutokana na ukweli huo,Je,ARVs hazisababishi mapungufu kwenye kinga?Na kutokana na effects hizo ndio maana magonjwa mengi sana huzaliwa kwa wale ambao wametumia ARVs muda mrefu.Baadhi ya magonjwa hayo ni kama vile;
-Cancer:Ukimpima mgonjwa yeyote wa cancer lazima utakuta damu yake ni acidic(yaani pH yake ni chini ya 7.365)
-Ini
-Figo
-Anaemia
-Heart disease
nk.

Fanya uchunguzi kwa wagonjwa wote waliolazwa mahospitalini,lazima utawakuta na moja/mawili/matatu.... kati ya magonjwa niliyotaja hapo juu.
Kuhusu cancer,usifikiri kama zile NGO za mambo ya HIV/AIDS zilivyoanzisha kitengo maalumu kwa ajili ya cervical cancer kwa wanawake ilikuwa ni coincidence.Hiyo cancer inasababishwa na ARVs,fanya uchunguzi wewe mwenyewe kama una muda.
Hivyo basi,nataka nikwambie kwamba ARVs zinasababisha AIDS,hii sio speculation ndugu yangu,its real.Kama unataka evidence tena kuhusu hizo side effects niambie nitakupa.
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom