Abdulwahid
JF-Expert Member
- Apr 3, 2014
- 2,766
- 1,565
unaelewa maana ya everage?Wewe unaijua barabara ya Dar to Mby? Maeneo mengi huwezi kutembea na 120.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
unaelewa maana ya everage?Wewe unaijua barabara ya Dar to Mby? Maeneo mengi huwezi kutembea na 120.
Hao ni watoto hawajui kitu ,wasamehe bure , ati siku hizi na pesa ya kubet wanaweka .Alafu watu wanasema sauli zinakimbia nachekaga tu
Ukiniambia matuta na safety measures naweza kukuelewa , lakini swala la u bize ,barabara ya mbeya toka miaka hiyo ni barabara bizeMmesahau kuwa barabara pia siku hizi magari yamekuwa ni mengi kuliko hiyo zamani. Pia safety measures ni nyingi kama kuwepo na police wengi, speed bumps n.k
Sasa kama zama hizo anatoka Dar mpaka Mbeya na njiani hapishani na gari hazifiki hata 100 si anatembea atakavyo.
Na siku mkipata ajali ucheke hivyo hivyo
Kiswele ilikuwa ni basi ya songea dar , haikuwahi kwenda mbeyaKulikuwa na Kiswele...12 asbh Mbeya, 7.30 Dar
Huyo hakuwa giriki , ila lawama alipata yeye, , Giriki kwanza njia yake kubwa ilikuwa ni Dar Mbeya , Songea alikuwa anaenda mara chache chacheHuyo Giriki si aliwahi kusababishwa ajali iliyoua sana mpakani mwa Ruvuma na Njombe?
Ajali ya Shabibu kama sikosei.Mpaka Leo eneo lile wameweka kumbukumbu ya ajali.
Chai kama chaiKuna dereva wa basi la abood alitoka mwanza saa 1 asubuhi akafika morogoro saa 4 asubuh yaani alitumia masaa 4 tu. Ila alikamatwa chalinze
Unaelewa maana ya 'average'?Wewe unaijua barabara ya Dar to Mby? Maeneo mengi huwezi kutembea na 120.
Una uhakika na unachokiongea? Ulishawahi kuona msafara wa viongozi V8 zimeachiana nafasi zinavyopita kama upepo? Ile mara nyingi sana huwa ni 150. Imagine.
Hivi basi inaweza kukimbia zaidi ya magari ya msafara?, ulishawahi kupanda basi safari ndefu? Ikifikaga 120 tu, abiria wanazikimbia siti za nyuma! Basi la abiria likifika 140, abiria wote ndani wanakuwa majeruhi, maana mtagonga sana vichwa hadi mtaumia.
Mabasi ya zamani yalikuwa mechanical injector pump, , ungoverned , zinaweza fungua kupitiliza , Safina bus iliwahi pigwa tochi ikakutwa na speed 168, yan mshale wa speed unapita 120 unarudi hadi kwenye mark ya 10km/h, its called round the clock 10 star.Inawezekana basi mimi naanza kuzeeka, labda nitulie nielekezwe vizuri.. Wewe ni mtu wa pili sasa,
Hivi basi la abiria linaweza kukimbia 160km/hr?
Inawezekana. Kama imesafishiwa njia kama ulivyosemaHata V8 ikisafishiwa njia haiwezi kufika Mwanza Dodoma ndani ya masaa5
Chaisisi mwaka 2001 tulitoka dar na zainabu saa 12 asubuhi tukafika Songea saa 6:13 mchana,nilishangaa sana... madereva wa zamani achana nao.
Kanaflow...??
Kiswele ilikuwa ni basi ya songea dar , haikuwahi kwenda mbeya
Haha inaezekana nimesahau ,ila nature ya matajiri wa mabasi ya Ruvuma , huwa hawatoki nje ya base yao, ukiona basi inakwenda Dar songea , na Dar mbeya , jua tajiri huyo sio wa songea na usually badi hizo hazitadumu songea .Mkuu utakuwa una information nusu...
Kiswele, Kwacha, Zainabu, Fresh ya Shamba, Scandinavia...zote hizo zilipiga route ya Dar-Mbeya
Haiwezekani, haiwezekani,yani upite shinyanga,tabora,singida,dodoma,,moro kwa saa 4?Kuna dereva wa basi la abood alitoka mwanza saa 1 asubuhi akafika morogoro saa 4 asubuh yaani alitumia masaa 4 tu. Ila alikamatwa chalinze
Scania kuanzia 81,111....zote kisahani ni 120 au 125km/h lakini huo mshale ukifika mwisho utagundua mwendo unaongezeka sisi tumewahi kuongozana na lucky star mikumi mshale wetu ukiwa 160 bado tulienda sawa.Ila naamini mshale kabla haujafika mwisho speedometer huwa ni accurate.Inawezekana basi mimi naanza kuzeeka, labda nitulie nielekezwe vizuri.. Wewe ni mtu wa pili sasa,
Hivi basi la abiria linaweza kukimbia 160km/hr?
Kuna chuma kiliitwa turbo express songea-mbeya ndio lilikuwa basi la kwanza(sina uhakika)ila lilikuwa na carrier juu haya ma tawaqal aliendesha baadaye.Huyo hakuwa giriki , ila lawama alipata yeye, , Giriki kwanza njia yake kubwa ilikuwa ni Dar Mbeya , Songea alikuwa anaenda mara chache chache