Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
unaelewa maana ya everage?
Sielewi😳😳Unaelewa maana ya 'average'?
Ok, nimekubali......Safari njema View attachment 2062675
Waarabu na vyuma kuanzia magari na pkpk ni habari nyingineView attachment 2061851View attachment 2061854
Pichani ni GIRIKI mtu mwenye historia ya pekee kwenye tasnia ya udereva nchini.
Licha ya kukimbiza sana gari kwa miaka mingi, hakuwahi kupata ajali
Acha kutufunga kamba mkuu.Kuna dereva wa basi la abood alitoka mwanza saa 1 asubuhi akafika morogoro saa 4 asubuh yaani alitumia masaa 4 tu. Ila alikamatwa chalinze
Chai andaziKuna dereva wa basi la abood alitoka mwanza saa 1 asubuhi akafika morogoro saa 4 asubuh yaani alitumia masaa 4 tu. Ila alikamatwa chalinze
Nzega au Dodoma?Hii kamba, ila kuna dereva mmoja wa Basi la ALLYS alitoka Dar 12 akafika Mwanza 12:45 alivyofika fika tu OCs wa nyegezi stand wa wakati huo mama mmoja bonge kupindukia (afande Groly) na trafiki mmoja Yinga wakampokea na kumsweka sero.Unaambiwa watu walishuka hawaamini wapo Mwanza au Nzega
Huko barabarani mabasi huwa ya mwendo usiodhaniwa mkuuOk, nimekubali..
Angalia racing teamsWaarabu na vyuma kuanzia magari na pkpk ni habari nyingine
Sio hivyo Mkuu, huyo Mwamba (Giriki) alikuwa ni balaa ana overtake upande wa kushoto ukimbania kulia halafu alikuwa anendesha kwa spidi kubwa kiasi kwamba abiria wenye mioyo miepesi waliomba kushuka njiani wapande basi lingine. Mimi binafsi nimepanda sana gari (Tawaqal) alilokuwa anaendesha, kwa nyuma lilikuwa na maandishi yaliyosomeka "Horse Power is the Best Time Will Tell". Vilevile, kulikuwa na mwenzake mmoja anaitwa Lwambo naye alikuwa anamfuatia Giriki kwa vituko. Fundi wao aliitwa Bakari naye alipinda vilevile kama madereva wake.Mmesahau kuwa barabara pia siku hizi magari yamekuwa ni mengi kuliko hiyo zamani. Pia safety measures ni nyingi kama kuwepo na police wengi, speed bumps n.k
Sasa kama zama hizo anatoka Dar mpaka Mbeya na njiani hapishani na gari hazifiki hata 100 si anatembea atakavyo.
Mimi nilikuwa mmoja wao enzi hizo nasoma form v na vi.Nimebaki nawaza aina ya abiria aliokuwa nao humo ndani.
Hatari sanaKuna dereva wa basi la abood alitoka mwanza saa 1 asubuhi akafika morogoro saa 4 asubuh yaani alitumia masaa 4 tu. Ila alikamatwa chalinze
Huyo Giriki alikuwa haogopi Traffic hata kidogo. Kwake pingu ilikuwa kawaida sana. Kuna siku alikamatwa Mbeya Stand baada ya kuliondoa bus kwa mbwembwe na kutaka kusababisha ajali. Tulienda na bus Police Central pale Mbeya halafu akawekwa ndani, baada ya nusu saa tukakuta mwamba ameachiwa akashika usukani. Tuliondoka Mbeya saa 3.00 asubuhi, saa 11.00 jioni tupo Dar.Ndio maana alipofika Mbeya akapigwa pingu na kufunguliwa kesi
Aaah mkuu hii haiwezekani yaani kaipangua shinyanga,tabora ,singida,Dodoma ndani ya masaa matatu hii chai mkuu😄😄😄Kuna dereva wa basi la abood alitoka mwanza saa 1 asubuhi akafika morogoro saa 4 asubuh yaani alitumia masaa 4 tu. Ila alikamatwa chalinze
siku hizi mkuu umekua adimu kinomaHatari sana
Yaani ilikuwa burudani tosha namna alivyokuwa anaondoka pale stand, kuikata kona ya kuelekea Mabatini. Gia zilikuwa zinapigwa na kuhesabika , hadi raha ya SCANIA unaionaHuyo Giriki alikuwa haogopi Traffic hata kidogo. Kwake pingu ilikuwa kawaida sana. Kuna siku alikamatwa Mbeya Stand baada ya kuliondoa bus kwa mbwembwe na kutaka kusababisha ajali. Tulienda na bus Police Central pale Mbeya halafu akawekwa ndani, baada ya nusu saa tukakuta mwamba ameachiwa akashika usukani. Tuliondoka Mbeya saa 3.00 asubuhi, saa 11.00 jioni tupo Dar.