farharu
JF-Expert Member
- May 29, 2016
- 527
- 583
Hii chaiKuna dereva wa basi la abood alitoka mwanza saa 1 asubuhi akafika morogoro saa 4 asubuh yaani alitumia masaa 4 tu. Ila alikamatwa chalinze
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hii chaiKuna dereva wa basi la abood alitoka mwanza saa 1 asubuhi akafika morogoro saa 4 asubuh yaani alitumia masaa 4 tu. Ila alikamatwa chalinze
Trafik walikuwa wapi Hadi akafika muda huo?View attachment 2061851View attachment 2061854
Pichani ni GIRIKI mtu mwenye historia ya pekee kwenye tasnia ya udereva nchini.
Licha ya kukimbiza sana gari kwa miaka mingi, hakuwahi kupata ajali
Ila jamaa hazeeki, maana Turbo Express, Movement Star, Amina Express (Aluta Continua), Kwacha, Kamata, Nyota ni basi za miaka mingi sana, Giriki alikuwepoKuna chuma kiliitwa turbo express songea-mbeya ndio lilikuwa basi la kwanza(sina uhakika)ila lilikuwa na carrier juu haya ma tawaqal aliendesha baadaye.
Ndio maana alipofika Mbeya akapigwa pingu na kufunguliwa kesiTrafik walikuwa wapi Hadi akafika muda huo?
Nazungumzia miaka hiyo mkuu sio siku hizi.Ukiniambia matuta na safety measures naweza kukuelewa , lakini swala la u bize ,barabara ya mbeya toka miaka hiyo ni barabara bize
Kumbuka barabara hii inalisha boarders mbili busy , kasumulu na Tunduma , na soon itaanza kulisha. Ile ya Sumbawanga..
Hakuna kitu kwa sauli.madereva walikuwa ni wale wa 90's.Tena barabara hazikuwa Bora Kama Sasa.Alafu watu wanasema sauli zinakimbia nachekaga tu
😁😁😁😁Huu umeanza uongo
MKUU samahani mimi nimeendesha basi pamoja na giriki huo muda hapana alifika mbeya mapema sana lakini muda napingana nao, huyo bwana namjua vyema yeye na Alyy Kilaweni marehemu tulikuwa tunajiuliza miyo yao niya model gani maana walikuwa na maajabu sana njiani. Nakuna mwingine Marehemu Selepion nae alikuwa moto sana hao 3 nilikiuwa nawaogopa kwakweli.
Hii kamba, ila kuna dereva mmoja wa Basi la ALLYS alitoka Dar 12 akafika Mwanza 12:45 alivyofika fika tu OCs wa nyegezi stand wa wakati huo mama mmoja bonge kupindukia (afande Groly) na trafiki mmoja Yinga wakampokea na kumsweka sero.Unaambiwa watu walishuka hawaamini wapo Mwanza au Nzega
Alikuwa jamaa fulani mweupe hivi, kipindi kile 2010-2012 kufika Mwanza saa 1 kamili jioni ilikuwa kawaida sana au kufika Dar saa 1;30 jioni jamaa alikuwa anaendesha hadi anazipita baadhi ya mabasi yanayotoka Kahama, kuna siku nilipanda siti ya mbele nilijuta kwa ule Mwendo
Balaa,🤣🤣🤣12:23[emoji23][emoji23]
siyo kweliKuna dereva wa basi la abood alitoka mwanza saa 1 asubuhi akafika morogoro saa 4 asubuh yaani alitumia masaa 4 tu. Ila alikamatwa chalinze
Safari njemaInawezekana basi mimi naanza kuzeeka, labda nitulie nielekezwe vizuri.. Wewe ni mtu wa pili sasa,
Hivi basi la abiria linaweza kukimbia 160km/hr?
Ila kipindi kile mizani, magari, na hata matrafic walikuwa wachache sana barabarani na mabasi hayakuwa na vidhibiti mwendoSaa moja sawa , mdau alivyoweka 12:45 imekaa kama alifika saa 6 kujiuliza singida alipita saa ngapi. Ally’s sport saa 2 kuingia dar ilikua kawaida
ndiyoo mzeeKuna dereva wa basi la abood alitoka mwanza saa 1 asubuhi akafika morogoro saa 4 asubuh yaani alitumia masaa 4 tu. Ila alikamatwa chalinze
Hata Lamborghini haiwezi kufika MDA huo[emoji2]Mwanza to Morogoro ni Kilomita 948 ukiwanya kwa 4 ina maana jamaa alitembea km 237 kwa lisaa huu uongo ni hatari sana