Mawembasa1979
JF-Expert Member
- Feb 26, 2015
- 2,540
- 3,333
Yaani wewe acha tu Mkuu. Mwanjelwa ya zamani ilifurahisha sana.Aisee long time mambo yalikuwa mazuri sana
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Yaani wewe acha tu Mkuu. Mwanjelwa ya zamani ilifurahisha sana.Aisee long time mambo yalikuwa mazuri sana
Docs, NjeliiYaani wewe acha tu Mkuu. Mwanjelwa ya zamani ilifurahisha sana.
Hiyo kitu ya Ally's ni ukweli mtupu, baada ya hapo hiyo gari ilianza kuitwa Ally's NDEGE[emoji23].Huu ni uongo mwingne aisee basi 150 haipo zamani mengi ilikuwa ni 140 jamaa katembea 140 kutoka dar mpaka mwanza bila ya kusimama haiwezekani
Yaani uko shule (Sekondari) unawaza kurudi Njelii kucheck vituko vya wahuni wa kipindi hicho!Docs, Njelii
Kulikuwa na shetani na Yesu. Nonde kulikuwa na Mwasimba, Chiba, Mswanga, Kajole, Santaiga..Yaani uko shule (Sekondari) unawaza kurudi Njelii kucheck vituko vya wahuni wa kipindi hicho!
Mkuu championi ya dar Dom ilkua inatembea hadi 150km/h,, hata sasa bus nyingi tuu zinatembea hadi 140 ila tatzo timetable na ukaguzi kibao ndo maana mara nyingi hua zikikaribia stand zinasimama kuchimbisha dawa kusubiri muda.140 inafika vizuuri kabisa
Michina mingi ni 140.
Kipindi nipo group la whatsapp la RSA kuna basi ya Tawakal ilipigwa tochi 142kph
160[emoji15][emoji15]
Njelii kwenye Duka la Mfikemo ha ha ha!Docs, Njelii
Jamaa alikuwa kigagula. Kisha akawepo mchawi mwingine anaitwa Agano JipyaNjelii kwenye Duka la Mfikemo ha ha ha!
Isanga kulikuwa na Brigedia Mwakayugu!Kulikuwa na shetani na Yesu. Nonde kulikuwa na Mwasimba, Chiba, Mswanga, Kajole, Santaiga..
Aiseee. Soko Matola kulikuwa na Francis Kachinga Mpakasi, Henry Mwambopo Henule Rasta, Mike Mapugilo na wadogo zake.
Jacaranda kina Butwa, Makorija
Agano Jipya (Mkinga huyoo)Jamaa alikuwa kigagula. Kisha akawepo mchawi mwingine anaitwa Agano Jipya
Brigadier duh long time sanaIsanga kulikuwa na Brigedia Mwakayugu!
Tatizo wewe huelewi, watu wanazungumza kimahesabu na kifizikia wewe umeng'ang'ana na uswahili.Inawezekana basi mimi naanza kuzeeka, labda nitulie nielekezwe vizuri.. Wewe ni mtu wa pili sasa,
Hivi basi la abiria linaweza kukimbia 160km/hr?
Umwvunja rekodi ya kuwa mwongo wa kwanza Jf ktk mwaka 2022Kuna dereva wa basi la abood alitoka mwanza saa 1 asubuhi akafika morogoro saa 4 asubuh yaani alitumia masaa 4 tu. Ila alikamatwa chalinze
Anamanisha saa moja kasoro jioni na hiyo story sio uongo mkuu, hiyo Ally's nakumbuka ilikuwa maarufu sana pale stand ya NYEGEZI iliitwa ALLY'S NDEGE[emoji3].Mwaka gani maana hii story ni kama ya kijiweni? Kama 12 jioni ni sawa ila sio ya sa sita
Amefariki kitambo mmoja Kati ya madereva aliekuwa anapenda kukimbia lakini muoga alikuwa akawii kuwapelekeni porini(kuchochora)Kaberege alifariki [emoji26][emoji24] sikuwa na habari.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] kambaKuna dereva wa basi la abood alitoka mwanza saa 1 asubuhi akafika morogoro saa 4 asubuh yaani alitumia masaa 4 tu. Ila alikamatwa chalinze
Tena nakazia hapo kwenye uongo( uongo wa karne)Huu umeanza uongo
ImposibleHili basi lililobandikwa hapa la Tawaqali nalifahamu sana though sijawahi kupanda, kulikua na KISWELE pia those years, yote haya yalikua moto chini barabarani; huyu dereva simfahamu but historia za hizi kampuni najua, nina mashaka na ukweli wa hi taarifa, kwamba saa 7 mchana alikua Mbeya sidhani kama kuna UKWELI, hi ni chai kama zilivyo zingine tu. Saa 10 naweza kukubali but not saba mchana, that's a big lie