Huyu ndiye kijana wangu Said Salim Bakhresa, Mtu tajiri sana hapo Tanzania ambaye leo anasherehekea miaka 75 ya kuzaliwa

Kuna watu wanatamani angekua dingi yao ila msiwaze inasadikika ukifa unaenda kuzaliwa bara lingine na familia nyingine ila ukiwa na bahati mbaya utaungana na sisi kila siku unazaliwa kwenye familia ya usicheze mbali na unga robo.
 
Hana Mengi wala hana makuu

Sasa ukutane na mdude nyagaliโ€ฆ. Lazima ukimbie
 
Mbona dogo kabisa,Nirushe ya kwangu uone kama bado huyo kijaana kabisa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn moreโ€ฆ