Moisemusajiografii
JF-Expert Member
- Nov 3, 2013
- 43,960
- 77,533
Mambo mengi haudhanii lakini ni kijana wako.What a hoax?Huyu ndiye kijana wangu Said Salim Bakhresa, Mtu tajiri sana hapo Tanzania ambaye leo anasherehekea miaka 75 ya kuzaliwa.
Mpaka sasa, Bakhresa sidhani kama amewahi kunywa:
👉🏾 Azam Energy
👉🏾 Azam cola
👉🏾 Azam Embe
👉🏾Azam Malta
Bakhressa hajawahi ku motivate vijana wa Kitanzania kupitia media zake.
Pia sidhani kama anatumia
👉🏾 nazi za Azam
👉🏾 Azam sugar
👉🏾 Hata kuonja ukwaju wa Azam
Soma pia: Bakhresa
Soma pia: Ifahamu Familia ya Said Salim Bakhresa
View attachment 3060514Happy birthday