omushaijamkulu
Member
- May 10, 2021
- 75
- 140
Roman catholic siyo kanisa ni falme kama ilivyokuwa babeli na uajemi, ni kwa kuwa kumeshakuweko civilization kubwa falme hii ikaona upinzani utakuwa mkubwa ikabidi itumie dini kama kivuli! Huwezi nambia kuwa kwenye biblia yao pombe na kitimoto ni ruhsa! Hapa jirani kuna parokia sijui nini hiki wanafuga na kuuza kitimoto na virikuu vilivyosheheni bia na pombe zinginezo zinapishana getini kila siku.
Roman ni dola kubwa sana Tanzania inamiliki ardhi kubwa sana kuliko hata TANROADS. Kwahiyo hako kakipengele kwa kugegedana wakatoe maana baadhi ya mapdri wanateseka huku mtaani mpaka wanafakamia wake za watu
Roman ni dola kubwa sana Tanzania inamiliki ardhi kubwa sana kuliko hata TANROADS. Kwahiyo hako kakipengele kwa kugegedana wakatoe maana baadhi ya mapdri wanateseka huku mtaani mpaka wanafakamia wake za watu