Huyu ndiye Padri Privatus Mutekanga Karugendo (1956-2021)

Huyu ndiye Padri Privatus Mutekanga Karugendo (1956-2021)

Tunafuata lkn Bible imeweka wazi kuwa Agano la Kale lishakuwa kuukuu na lishachakaa likaribu na kutoweka kwenye matumizi
Tusilifuate kabisa, kama tunabagua vitu vya kufuata.
Ni Mungu ndiye aliwaambia wanawe waungame dhambi kwa kuhani ( kwa mujibu wa bible).
Kama umechagua vitu kwenye bible vya kufuata na mwingine akichagua vyake usimuone wa ajabu.
 
Mbona kule Vatican wanakashifa ya kulawiti watoto wanaotumikia kanisani?? Isitoshe mapadri wanalawitiana wao kwa wao lkn life goes on inakuwaje Karugendo alikomaliwa kiasi hicho??
Una ushahidi?
Au unaskia na wewe, thibitisha madai yako.
 
Yaani kuna mroma yeyote duniani including Pope anaweza kuzungumzia maandiko kweli?![emoji28][emoji28][emoji28]hiki ni kichekesho aisee tangu lini muumini wa Roman akaijua Bible kiundani?? [emoji3][emoji3]Hebu kumbukeni issue ya covid ilivyowaumbua mpaka ikafikia papa wenu aka surrender na kuwaambia waumini wake dunia nzima waache kuomba toba kupitia yeye Bali waekekeze toba na maombi yao kwa Mungu moja kwa moja
Wewe unaijua Bible?
Au umemezeshwa baadhi ya vipande vya Bible?
 
Kwa mujibu wa maandiko yake mwenyewe, Privatus ni mmoja wa watoto wa kiume sita katika familia ya Karugendo. Wengine ni Primus, Pacificus, Pascrates, Princhipius, na Prudence. Tayari Princhipius na Prudence wametangulia katika haki.
WAHAYA mna sifa saana



Imagine hayo majina hata wazungu hawana

Hata kuyatamka tu shida
🙂 🙂 🙂 🙂
 
Yaani kuna mroma yeyote duniani including Pope anaweza kuzungumzia maandiko kweli?![emoji28][emoji28][emoji28]hiki ni kichekesho aisee tangu lini muumini wa Roman akaijua Bible kiundani?? [emoji3][emoji3]Hebu kumbukeni issue ya covid ilivyowaumbua mpaka ikafikia papa wenu aka surrender na kuwaambia waumini wake dunia nzima waache kuomba toba kupitia yeye Bali waekekeze toba na maombi yao kwa Mungu moja kwa moja
Hakuna anayeweza kujiita mkristo au anaujua ukristo kuwazidi warumi wa vatican
 
Nimejifunza mengi kuhusu maisha ya Padri Privatus Karugendo kuwa:
  • kuna mifumo ndani ya jamii haina huruma hata kidogo ukiwa nje. Hakuna akiba ya uzeeni au fao la kujitoa
  • Amini nafsi yako tu. Usimwamini mtu.
  • ubinadamu huko palepale. Haijalishi huko nafasi gani katika jamii.

Nilikuwa najiuliza kwanini Mapadre na Masista wengi sana, wakipata nafasi wanapiga hela za kanisa na kutumia majina ya ndugu, hawara au wazazi wao kuwekeza nimelipata.
 
Mbona kule Vatican wanakashifa ya kulawiti watoto wanaotumikia kanisani?? Isitoshe mapadri wanalawitiana wao kwa wao lkn life goes on inakuwaje Karugendo alikomaliwa kiasi hicho??
Two wrongs don't make a right.
 
Bandiko lina mengi ya kujifunza
Mimi nimeondoka na hili:

Lakini, “Askofu Niwemugizi alitumia siri zangu alizizipata kupitia zoezi la kuendesha sakramenti ya kitubio kunitia hatiani, jambo ambalo ni kinyume na sheria za kanisa,” alilalamika Privatus kupitia maandiko yake kadhaa. Fungu la 983(1) la sheria za kanisa Katoliki (1983) lahusika.

Kitubio, kitubio, kitubio, mh! ngoja niishie hapa!
 
Mimi nimeondoka na hili:

Lakini, “Askofu Niwemugizi alitumia siri zangu alizizipata kupitia zoezi la kuendesha sakramenti ya kitubio kunitia hatiani, jambo ambalo ni kinyume na sheria za kanisa,” alilalamika Privatus kupitia maandiko yake kadhaa. Fungu la 983(1) la sheria za kanisa Katoliki (1983) lahusika.

Kitubio, kitubio, kitubio, mh! ngoja niishie hapa!
Ukienda kwenye kitubio sio unafunguka kizembe zembe, sometime funguka kwa tafsida libaki kama fumbo la imani 😀😀😀. Kwenye kuzini,unamuambia nilikula cha kula cha mtu isivyo kihalali 😀😀😀
 
Karugendo alikiuka kiapo cha useja kwa kuwa na mahusiano na mwanamke nje akijua fika kufanya hivyo lilikuwa ni kosa, usifanye Askofu Niwemugizi aonekane mbaya kwa kumchukulia hatua mtu ambaye alikiuka kiapo hiki muhimu.

Mtu akikosea lazima aadhibiwe kwa kosa lake, ni adhabu ya aina gani atakayopewa huo ni uamuzi wa kiongozi wake, na zaidi kwa nafasi aliyokuwa nayo alionesha udhaifu dhidi ya imani yake, na pia, kwa wale waliokuwa waumini wake, huyu kama angesamehewa angeweza kuweka precedence mbaya kwa Kanisa Katoliki.

Kwangu nasimama na uamuzi wa Askofu Niwemugizi kumvua cheo cha upadri, lakini pia, nilikuwa napenda nipate wasaa wa kukutana nae nimuulize kwanini alikuwa bado anatumia jina la "Padri" kama nilivyokuwa nikisoma makala zake kwenye magazeti mbalimbali licha ya kuwa alishavuliwa hicho cheo na kanisa?
Wewe unajua niwemugizi amezini na wake za watu wangapi?,unajua kuwa niwemugizi ana watoto?sasa nani kavunja hiyo amri ya useja?
 
Ukienda kwenye kitubio sio unafunguka kizembe zembe, sometime funguka kwa tafsida libaki kama fumbo la imani 😀😀😀. Kwenye kuzini,unamuambia nilikula cha kula cha mtu isivyo kihalali 😀😀😀
Katekista alinifundisha nisifiche dhambi hata moja maana ungamo langu halitakubalika, pia aliniambia nitaje dhambi kwa majina yake...kuiba, kuzini, nk na nitaje mara ngapi, lini na wapi nilitenda dhambi hizo, ....pia mkuu huwa tunaungama na dhambi zote TULIZOZISAHAU, sio kujisahaulisha!
"...na wote mtakaowafungulia (wasamehe) duniani pia watakuwa wamefinguliwa mbinguni...."
Imani hizi jamani!
 
Back
Top Bottom