omushaijamkulu
Member
- May 10, 2021
- 75
- 140
Inaomesha Alikua anamtafuta sasa akaingia kwenye 18 zakekwahiyo padri alitafuna mtu akaenda kutubu kwa baba askofu, baba askofu akaamua kumuangamiza kwa kitubio[emoji1787][emoji1787]
Zaidi mimi sijawahi kuelewa kwa nini hata ndani ya kumbi zao ambazo zipo ndani ya eneo la kanisa hua wanapiga mziki yani.unashindwa kuelewa magundisho yao yanabase ktk niniRoman catholic siyo kanisa ni falme kama ilivyokuwa babeli na uajemi, ni kwa kuwa kumeshakuweko civilization kubwa falme hii ikaona upinzani utakuwa mkubwa ikabidi itumie dini kama kivuli! Huwezi nambia kuwa kwenye biblia yao pombe na kitimoto ni ruhsa! Hapa jirani kuna parokia sijui nini hiki wanafuga na kuuza kitimoto na virikuu vilivyosheheni bia na pombe zinginezo zinapishana getini kila siku.
Roman ni dola kubwa sana Tanzania inamiliki ardhi kubwa sana kuliko hata TANROADS. Kwahiyo hako kakipengele kwa kugegedana wakatoe maana baadhi ya mapdri wanateseka huku mtaani mpaka wanafakamia wake za watu
Tumempumzisha leo majira ya saa kumi pale makaburi ya kinondoni..watu wengi walivaa barakoa ila mie na wenzangu wachache hatukuvaa na nilikua nikijitenga kuogopa maambukizKIGOGO AELEZA JINSI PADRE KARUGENDO ALIVYOMTIA MOYO WAKATI AKIWA RUMANDE MIEZI 11
Lauren Bwanakunu, aliyekuwa Mkurugenzi Mkuu wa Bohari ya Dawa nchini (MSD), amesema Hayati Padri Privatus Karugendo ni miongoni mwa watu waliomtia moyo wakati akiwa rumande katika Gereza la Segerea, jijini Dar es Salaam. Bwanakunu ametoa kauli hiyo leo Jumatatu, tarehe 28 Juni 2021, katika ibada ya kuuaga mwili wa Padri Privatus, iliyofanyika katika Kanisa Katoliki la Roho Mtakatifu Segerea, jijini Dar es Salaam. Padri Privatus alifariki dunia usiku wa kuamkia tarehe 24 Juni 2021, katika Hospitali ya Taifa Muhimbili (MNH) na mwili wake umezikwa leo katika makaburi ya Kinondoni mkoani Dar es Salaam. Akizungumza katika ibada hiyo, Bwanakunu amesema alipokuwa mahabusu katika gereza hilo katika kipindi cha miezi 11 (Juni 2020-Mei 2021), Padri Privatus alikuwa anampelekea vitabu vilivyobeba ujumbe wa kumtia moyo na kumpa matumaini.
Source : MwanaHALISI TV
Tunafuata lkn Bible imeweka wazi kuwa Agano la Kale lishakuwa kuukuu na lishachakaa likaribu na kutoweka kwenye matumiziSo hatutakiwi kabisa kufuata Agano la kale?
Mbona hujamtaja BIKIRA Maria?? Utakuwa sio mkatoliki weweNi busara kuhukumu baada ya kusikiliza hoja za pande zote mbili. Tofauti na hapo unadhihirisha jinsi unavyoongozwa na hisia zaidi ya akili.
Wakatoliki tunamuamini na kumtumikia Mungu mmoja aliyejidhihirisha kwetu kupitia nafsi tatu:
• Mungu Baba
• Mungu Mwana
• Mungu Roho Mtakatifu
Kanisa Katoliki lina asili kutokea kwa mitume ambao waliongozwa na Petro baada ya kuchaguliwa na Yesu Kristu mwenyewe (Mathayo 16:18). Mtume Petro ndiyo Papa wa kwanza na huyu wa sasa, Francis, ni wa 265.
Papa ni kiongozi wa dunia wa Kanisa lililoanzishwa na Yesu Kristu mwenyewe. Kanisa Katoliki linamtumainia kiongozi wake, lakini hatujawahi kumuabudu wala imani yetu haipo kwa Papa bali Mungu.
Kanisa Katoliki linaamini katika Theocracy (uongozi wa Kimungu), Mungu ndiyo kiongozi wetu na kila kitu. Tunaamini kiasi fulani katika Demokrasia (uongozi wa mwanadamu) lakini ni ile isiyopingana na mafundisho ya Kimungu.
Kanisa halijawahi kuwa na misimamo ya kipagani. Unless uthibitishe hizi tuhuma zako.
You know nothing about Roman Catholic kaa kimyaNi busara kuhukumu baada ya kusikiliza hoja za pande zote mbili. Tofauti na hapo unadhihirisha jinsi unavyoongozwa na hisia zaidi ya akili.
Wakatoliki tunamuamini na kumtumikia Mungu mmoja aliyejidhihirisha kwetu kupitia nafsi tatu:
• Mungu Baba
• Mungu Mwana
• Mungu Roho Mtakatifu
Kanisa Katoliki lina asili kutokea kwa mitume ambao waliongozwa na Petro baada ya kuchaguliwa na Yesu Kristu mwenyewe (Mathayo 16:18). Mtume Petro ndiyo Papa wa kwanza na huyu wa sasa, Francis, ni wa 265.
Papa ni kiongozi wa dunia wa Kanisa lililoanzishwa na Yesu Kristu mwenyewe. Kanisa Katoliki linamtumainia kiongozi wake, lakini hatujawahi kumuabudu wala imani yetu haipo kwa Papa bali Mungu.
Kanisa Katoliki linaamini katika Theocracy (uongozi wa Kimungu), Mungu ndiyo kiongozi wetu na kila kitu. Tunaamini kiasi fulani katika Demokrasia (uongozi wa mwanadamu) lakini ni ile isiyopingana na mafundisho ya Kimungu.
Kanisa halijawahi kuwa na misimamo ya kipagani. Unless uthibitishe hizi tuhuma zako.
Huyu jamaa natamani apatwe na Jambo litalomfanya atambue uwepo wa MUNGU wa kweli na aje humu kutoa ushuhuda ili iwe fundisho kwa wengine wenye tabia kama zake[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]We mzee wewe unapambana na hoja ya Mungu hayupo mpaka lini? [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Barikiwa sana mtumishi wa Mungu aliyehai[emoji120][emoji120]Wakati mnawaua wanasayansi kama Galileo Galilei na baadaye John Paulo ll kuja kuomba radhi bado tu haujatikisha dish kujua Kanisa lenu lina mambo ya Hovyo?
Hayo mashirika ya siri yaliyojazana humo kwenu mfano wa Jesuits mnadhani ni jambo la Kimungu?
Mauzo ya Hati ya Msamaha iliyotajirisha Kanisa lenu bado tu unataka kusikiliza upande wa pili?
Tubuni mkasafishwe na Damu ya Yesu ili muokolewe
Tatizo la ndg zetu wamejawa na Mawazo mfu sana kuwa Roman Catholic ndy mama wa Imani ya kikristo dunia which is wrong,wao ndy kiini cha uovu mkubwa unaoendelea hapa dunianiWakati mnawaua wanasayansi kama Galileo Galilei na baadaye John Paulo ll kuja kuomba radhi bado tu haujatikisha dish kujua Kanisa lenu lina mambo ya Hovyo?
Hayo mashirika ya siri yaliyojazana humo kwenu mfano wa Jesuits mnadhani ni jambo la Kimungu?
Mauzo ya Hati ya Msamaha iliyotajirisha Kanisa lenu bado tu unataka kusikiliza upande wa pili?
Tubuni mkasafishwe na Damu ya Yesu ili muokolewe
Argument ya hovyo kabisa hiiHalafu usikute unasali kwa Gwajima! Halafu unahubiri kuokolewa! Hapo ulipo unajifanya huna dhambi! Kwenu nyinyi dhambi ni pombe tu! Na kwa sababu mnatambua fika Wakatoliki wengi wanakunywa! Tena wakati fulani bila hata kificho.
Kugongana nyinyi kwa nyinyi, wala siyo dhambi, tena kwa kisingizio cha kufanya maombi ya usiku! Mkigongwa na Mkatoliki, ndiyo dhambi!!
Mbona hujamtaja BIKIRA Maria?? Utakuwa sio mkatoliki wewe
Mbona kule Vatican wanakashifa ya kulawiti watoto wanaotumikia kanisani?? Isitoshe mapadri wanalawitiana wao kwa wao lkn life goes on inakuwaje Karugendo alikomaliwa kiasi hicho??Sawa.
Unamaanisha uongozi wa juu wa Kanisa Katoliki hupokea tu report na kunifanyia kazi bila verification yoyote!!?
Kwa mujibu wa andiko, adultery ni moja kati ya makosa sita aliyoshitakiwa nayo. Ukiwa mtu uliyefuatilia hii case kwa ukaribu kama ulivyosema, je, makosa yote sita alisingiziwa?
Yaani kuna mroma yeyote duniani including Pope anaweza kuzungumzia maandiko kweli?![emoji28][emoji28][emoji28]hiki ni kichekesho aisee tangu lini muumini wa Roman akaijua Bible kiundani?? [emoji3][emoji3]Hebu kumbukeni issue ya covid ilivyowaumbua mpaka ikafikia papa wenu aka surrender na kuwaambia waumini wake dunia nzima waache kuomba toba kupitia yeye Bali waekekeze toba na maombi yao kwa Mungu moja kwa mojaWewe ni kasuku hujui maandiko matakatifu
Wasabato bhana ushaona kula kitimoto na kusali Jumapili ndy dhanbi kubwa?[emoji23][emoji23][emoji23]Roman catholic siyo kanisa ni falme kama ilivyokuwa babeli na uajemi, ni kwa kuwa kumeshakuweko civilization kubwa falme hii ikaona upinzani utakuwa mkubwa ikabidi itumie dini kama kivuli! Huwezi nambia kuwa kwenye biblia yao pombe na kitimoto ni ruhsa! Hapa jirani kuna parokia sijui nini hiki wanafuga na kuuza kitimoto na virikuu vilivyosheheni bia na pombe zinginezo zinapishana getini kila siku.
Roman ni dola kubwa sana Tanzania inamiliki ardhi kubwa sana kuliko hata TANROADS. Kwahiyo hako kakipengele kwa kugegedana wakatoe maana baadhi ya mapdri wanateseka huku mtaani mpaka wanafakamia wake za watu