Alexander Lukashenko
JF-Expert Member
- Sep 9, 2017
- 4,140
- 9,667
Tusilifuate kabisa, kama tunabagua vitu vya kufuata.Tunafuata lkn Bible imeweka wazi kuwa Agano la Kale lishakuwa kuukuu na lishachakaa likaribu na kutoweka kwenye matumizi
Una ushahidi?Mbona kule Vatican wanakashifa ya kulawiti watoto wanaotumikia kanisani?? Isitoshe mapadri wanalawitiana wao kwa wao lkn life goes on inakuwaje Karugendo alikomaliwa kiasi hicho??
Ushahidi upi tena unahitaji mkuu wangu??Una ushahidi?
Au unaskia na wewe, thibitisha madai yako.
Wewe unaijua Bible?Yaani kuna mroma yeyote duniani including Pope anaweza kuzungumzia maandiko kweli?![emoji28][emoji28][emoji28]hiki ni kichekesho aisee tangu lini muumini wa Roman akaijua Bible kiundani?? [emoji3][emoji3]Hebu kumbukeni issue ya covid ilivyowaumbua mpaka ikafikia papa wenu aka surrender na kuwaambia waumini wake dunia nzima waache kuomba toba kupitia yeye Bali waekekeze toba na maombi yao kwa Mungu moja kwa moja
Kwamba Mapadri hulawitiana wao kwa waoUshahidi upi tena unahitaji mkuu wangu??
Mkuu Vatican si ndy huitwa heaven of gays?? Au nakosea??Kwamba Mapadri hulawitiana wao kwa wao
Nani huiita hivyo?Mkuu Vatican si ndy huitwa heaven of gays?? Au nakosea??
WAHAYA mna sifa saanaKwa mujibu wa maandiko yake mwenyewe, Privatus ni mmoja wa watoto wa kiume sita katika familia ya Karugendo. Wengine ni Primus, Pacificus, Pascrates, Princhipius, na Prudence. Tayari Princhipius na Prudence wametangulia katika haki.
[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]WAHAYA MNA SIFA SAANA
IMAGINE HAYO MAJINA HATA WAZUNGU HAWANA 🙂 🙂 🙂 🙂
Hakuna anayeweza kujiita mkristo au anaujua ukristo kuwazidi warumi wa vaticanYaani kuna mroma yeyote duniani including Pope anaweza kuzungumzia maandiko kweli?![emoji28][emoji28][emoji28]hiki ni kichekesho aisee tangu lini muumini wa Roman akaijua Bible kiundani?? [emoji3][emoji3]Hebu kumbukeni issue ya covid ilivyowaumbua mpaka ikafikia papa wenu aka surrender na kuwaambia waumini wake dunia nzima waache kuomba toba kupitia yeye Bali waekekeze toba na maombi yao kwa Mungu moja kwa moja
Nimejifunza mengi kuhusu maisha ya Padri Privatus Karugendo kuwa:
- kuna mifumo ndani ya jamii haina huruma hata kidogo ukiwa nje. Hakuna akiba ya uzeeni au fao la kujitoa
- Amini nafsi yako tu. Usimwamini mtu.
- ubinadamu huko palepale. Haijalishi huko nafasi gani katika jamii.
Kwa taarifa yako waroma ni ant Christ utakuja kunishukuru baadaeHakuna anayeweza kujiita mkristo au anaujua ukristo kuwazidi warumi wa vatican
Bikra Maria, Mama wa Mungu.Mbona hujamtaja BIKIRA Maria?? Utakuwa sio mkatoliki wewe
Wewe unayejua piga kelele.You know nothing about Roman Catholic kaa kimya
Two wrongs don't make a right.Mbona kule Vatican wanakashifa ya kulawiti watoto wanaotumikia kanisani?? Isitoshe mapadri wanalawitiana wao kwa wao lkn life goes on inakuwaje Karugendo alikomaliwa kiasi hicho??
Mimi nimeondoka na hili:Bandiko lina mengi ya kujifunza
Ukienda kwenye kitubio sio unafunguka kizembe zembe, sometime funguka kwa tafsida libaki kama fumbo la imani 😀😀😀. Kwenye kuzini,unamuambia nilikula cha kula cha mtu isivyo kihalali 😀😀😀Mimi nimeondoka na hili:
Lakini, “Askofu Niwemugizi alitumia siri zangu alizizipata kupitia zoezi la kuendesha sakramenti ya kitubio kunitia hatiani, jambo ambalo ni kinyume na sheria za kanisa,” alilalamika Privatus kupitia maandiko yake kadhaa. Fungu la 983(1) la sheria za kanisa Katoliki (1983) lahusika.
Kitubio, kitubio, kitubio, mh! ngoja niishie hapa!
Wewe unajua niwemugizi amezini na wake za watu wangapi?,unajua kuwa niwemugizi ana watoto?sasa nani kavunja hiyo amri ya useja?Karugendo alikiuka kiapo cha useja kwa kuwa na mahusiano na mwanamke nje akijua fika kufanya hivyo lilikuwa ni kosa, usifanye Askofu Niwemugizi aonekane mbaya kwa kumchukulia hatua mtu ambaye alikiuka kiapo hiki muhimu.
Mtu akikosea lazima aadhibiwe kwa kosa lake, ni adhabu ya aina gani atakayopewa huo ni uamuzi wa kiongozi wake, na zaidi kwa nafasi aliyokuwa nayo alionesha udhaifu dhidi ya imani yake, na pia, kwa wale waliokuwa waumini wake, huyu kama angesamehewa angeweza kuweka precedence mbaya kwa Kanisa Katoliki.
Kwangu nasimama na uamuzi wa Askofu Niwemugizi kumvua cheo cha upadri, lakini pia, nilikuwa napenda nipate wasaa wa kukutana nae nimuulize kwanini alikuwa bado anatumia jina la "Padri" kama nilivyokuwa nikisoma makala zake kwenye magazeti mbalimbali licha ya kuwa alishavuliwa hicho cheo na kanisa?
Katekista alinifundisha nisifiche dhambi hata moja maana ungamo langu halitakubalika, pia aliniambia nitaje dhambi kwa majina yake...kuiba, kuzini, nk na nitaje mara ngapi, lini na wapi nilitenda dhambi hizo, ....pia mkuu huwa tunaungama na dhambi zote TULIZOZISAHAU, sio kujisahaulisha!Ukienda kwenye kitubio sio unafunguka kizembe zembe, sometime funguka kwa tafsida libaki kama fumbo la imani 😀😀😀. Kwenye kuzini,unamuambia nilikula cha kula cha mtu isivyo kihalali 😀😀😀
Huko sahib kabisaTanzania imempoza nguli. Hawa sasa ndio mashujaa wa Afrika. Aliwapigania wanyonge wa kweli.