Wewe kidogo umeongea vitu vya msingi sio hao vilaza.
Jeshi la polisi lifanye kazi yake bila kuingiliwa na watu wa siasa!!!
Wananchi watii sheria za nchi
Wana siasa wafanye siasa zao!!
Tanzania hakutakuwa na vita
Jamaa ameshasema tatizo ni verse,na nyuma ya hizo verse kuna roho inayohakikisha kila anaeambatana na hizo verse anatimiza kusudi la hizo hizo verse..
Na kazi ngumu hawapendi,kazi yao kukamata bodaboda na machinga, mie nikisikia wameumizwa ,nafurahi.Polisi hawa hawa wanaotupiga ndo tushirikiane nao?Wacha wafanye kazi yao wenyewe!
Nilijua wewe ni mbarikiwa muuza shamba, kumbe mbulula?We nawe ni msengerema nini? we mtu anatoa vitisho we unaleta mambo ya kingese hapa, ccm inahusika na nini kwenye ishu kama hii..!? jadili hili suala kwa mapana sio umeshajitundikia drip ya kiroba ndio unakuNrupuka kuciomment..!!
Nini kifanyike...??
Na kwanini watu wa dini ile wawe wanafanya vile.......??........
mkuu ni vema ukafanya research na kujua root cause ya ugaidi duniani kabla ya kugeneralise kuwa waislam na uislam ndio tatizo.Ni kweli uislam unatumika sana na magaidi lakini ni hekima kujiuliza kama uislam kama dini unahusika kuwatuma hao magaidi.Labda kosa kubwa tunalofanya sisi raia wema ni kukubali kugawanyika katika makundi ya udini,utaifa,ukabila,badala ya kusimama pamoja na kupambana na hawa wahuni.Uovu hauna dini.Ugaidi ndani ya uislamu umepandikizwa,for a purpose very destructive kwa uislam wenyewe,dini zote za Ibrahim na ustawi wa binadamu kwa ujumla.Huu ni mkakati na ndio maana unalipuka kwa wakati mmoja worldwide.
source ijumaaa
someni wenyewe
.....wenzetu upande wa pili = Answar sunnaHii kauli ya Sheikh mkuu inaacha maswali mengi sana..."Kwanza hizo taarifa hizo ndiyo nazisikia kutoka kwako. Hilo jina ulilonitajia (Bin Abdullah) sijawahi kulisikia labda muangalie kwa wenzetu upande wa pili.