Huyu ndo kiongozi wa kikundi cha kigaidi kinachoua polisi na kuiba silaha kwenye vituo nchini

jaman hii kitu iko siriaz o jaman yasije yakawa ya kama wenzetu
 
Duh, hivi Tanzania tunaelekea wapi? pili Tanzania ni ya nani? tatu jeshi la polisi musikalie kuzuia maandamano ya upinzani wakati amani ya Nchi hii iko Rehani, pili hebu tutafute source ya kuibuka kwa haya makundi walianza Panya road hapa juzi mpaka wakaleta madhara ya kutosha ndipo jeshi letu lilipochukua hatua, hivi jeshi la polisi Tanzania hamna intelijensia au intelijensia yenu inafnaya kazi kuzuia maandamano ya amani?

Jambo lingine la msingi TZ ni mali yetu sote amani ya nchi hii ikitoweka haijalishi wewe ni nani, una nafasi gani, au una amini imani gani? boko haramu walianza kama hivyo leo hii hawabagui kuwa wewe ni muislamu au mkristo ukiingia site yao huna roho, Al-shabab walianza taratibu kama abdullah lakini leo hii mauaji yao hayajali uislamu wala ukristo MTANZANIA AMKA CHUKUA HATUA YA KUJILINDA NA KUILINDA NCHI YAKO, maana ya AMANI YAKO NI AMANI YA NCHI YAKO.

MUNGU IBARIKI TANZANIA MUNGU WABALIKI WATANZANIA.
 
danganya Toto Hii, sijui wamemlipa vipande vingapi vya pesa kuwatia hofu watanzania? but lazima kieleweke mwaka huu serikali mboovuu
 
nngu007

Nakataa kabisa,sijaona autheticity ya hii clip.hii ni propaganda tu,hii ni kutishana tu.sioni mantik ya huu ujumbe,tunaelekea uchaguzi tutaona mengi sana mwaka huu.


i'm just a Messenger loving my country 2 death; That's is all what i have got...

Please don't deny what's happening in our beautiful peaceful land... is no 'GOOD'
 
mtwara ni eneo la kumulikwa sana na vyombo vya usalama, ni eneo la kumulikwa sana!!!!
Kwa nini? Kuanze kumulikwa kwenu kwanza ndio wamalizie Mtwara. Machafuko ya gesi hatujayasahau bado halafu unataka watuletee mengine. Pimbi wewe jamii ya wafugaji...
 
Fake. Sisi nguli wa hisabati hatuwezi kuikubali hii taarifa hasa hio video. pumbaf..GPL. Hii video imekaa kingese ngese sana kuliko mnavyoifikiria GTs...
 
Last edited by a moderator:
Mmmmhhhhh!!!

Haiingii akilini! Aliyewapa mkanda amekataa kujitambulisha, wala kusema anatokea wapi hapa nchini, lakini GPL wakachukua mkanda tu kutoka kwake, na yeye wakamwacha aende zake kwa amani. Kwa nini wasimfiche mahali? Kwa nini mkanda huu unaletwa wakati wa kusikiliza kesi ya Ponda, na vuguvugu zito la Zanzibar linalohoji kwa nini Mashehe wa Uamsho washitakiwe Bara? I'm smelling a rat! Ni yaleyale ya "Mkenya" wa Kova "aliyekwenda kutubu kwa Gwajima"
 
Kituko cha Karne: Eti gaidi linasema "Mheshimiwa Rais"! Hii ni sawa na Kiongozi wa Boko Haram kusema "Mheshimiwa Rais wa Nigeria" au Osama bin Laden wa enzi hizo, kusema "Mheshimiwa Rais Obama" Hata kuigiza basi, muwe mnatumia akili! This is too low!
 
Hanajidai kuvamia vituo vyetu vya polisi bila silaha na kuondoka na silaha za kutosha!!
suluhisho jeshi la polisi linyimwe silaha na zipelekwe JWTZ, wao wapewe virungu nondo mishale na sime.

Halafu iangaliwe upya huenda wanatuzuga pengine watakuwa wameshapata kontena la silaha toka nje sasa wanatupoteza. iweje uvamizi ulioelezwa utoe tambo kubwa kama ilivyoelezwa, polisi pia jamani wanatoza pesa kwa raia na kula kuku vitambi duh!
 
CCM NOMA SANA, YAANI KWA PROPAGANDA HAWAFAI.. hadithi hii ni ya kitoto,,, na hakuna ugaidi wa kitoto kama huu duniani,eti uanzishe ugaidi kwa kuiba bunduki kwenye vituo vya polisi si utoto huu,, CCM acheni kumwaga damu za watu eti kuwatia woga wananchi!!!
 
Watanzania msidanganyike. Hii video imeandaliwa na CCM kwa makusudi maalum. Kumbukeni huu ni mwaka wa uchaguzi na CCM maji yako shingoni. Lazima Waanze kutafuta mbinu chafu na hata ikiwezekana kuwaua viongozi wakuu wa upinzani kwa kisingizio cha ugaidi.
 
Nyumba za ibada mara nyingi ushambuliwa kwa msukumo wa chuki tu ,ndugu zangu mnaelewa nyumba gani zinazolengwa,mtetezi wa hizo nyumba yu hai atazifunika kwa mbawa zake.Ole wenu mnaoshiriki kuukaribisha ugaidi hapa tanganyika kumbukeni hata family zenu hazitabak salama,labda kama mtazipeleka kuishi falme za kiarabu na kwenye mataifa yanaongozwa kwa imani zenu
 
Alivyo sikia Ushirombo akaona inafanana na Rombo akajua lazima itakuwa Kilimanjaro. Kazi ipo kwa waandishi wetu!
 
Vyombo husika vichukue taarifa hizi kama changamoto na kuzifanyia kazi, mbuyu ulianza kama mchicha na akumulikae mchana usiku atakuunguza
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…