daz nundaz wametoka ferouz yuko o level either nilikua form one , mimi mwenyewe sahi sipigi tena self zinanikumbusha kwamba sasa mimi ni mtu wa makamo mno sembuse ferouz aliekua na sura ya kidingi tangu hajabalehe.Inawezekana lakini huwezi jua umri wake halisi wakati anatoa ile nyimbo ya Starehe.
Maana Kibongo Bongo hadi utoboe unaweza kukuta umefikia 30+
Kwahiyo mantiki yangu ni kwamba huenda amevuka 50yrs
Ama kama ulivyosema sura imemgomea.
Kuna baadhi ya Wanaume tuna sura za ngumu zaidi ujue 😜🙌
Kuna kitu unampendea, sio bure.Sijaona huo uzee hapo
Hahaha............tumeshakuwa Wadingi sasa 😅🤗daz nundaz wametoka ferouz yuko o level either nilikua form one , mimi mwenyewe sahi sipigi tena self zinanikumbusha kwamba sasa mimi ni mtu wa makamo mno sembuse ferouz aliekua na sura ya kidingi tangu hajabalehe.
Fally ipupa ana miaka 46, na muonekano wake ni kijana kabsa. Mi nadhani jamaa ni namna alivyo tu na ukame wa pesa pia umechangia kuzeeka mapema.Imepita miaka 23 sasa tangu wimbo wake wa Starehe utoke.
Kama alikuwa na miaka 24 Mwaka huo, ina maana kwasasa yupo kwenye 47 🙌
Unadhani ataendelea kuwa na Sura ile ile
Kumbe starehe inatoka nilikua kinda sana aseee....Imepita miaka 23 sasa tangu wimbo wake wa Starehe utoke.
Kama alikuwa na miaka 24 Mwaka huo, ina maana kwasasa yupo kwenye 47 🙌
Unadhani ataendelea kuwa na Sura ile ile
Kwamba kamera ndo imezeekaa..!!?? We Mamndenyi weweeee..!!!Amezeeka au ni kamera?
Halafu hutaki kunipa shikamoo yangu Mjukuu 🤗😜Kumbe starehe inatoka nilikua kinda sana aseee....
Naingana nawe Mkuu, hivyo viwili vimechangia jamaa kuwa hivyoFally ipupa ana miaka 46, na muonekano wake ni kijana kabsa. Mi nadhani jamaa ni namna alivyo tu na ukame wa pesa pia umechangia kuzeeka mapema.
umri sawa na chamaImepita miaka 23 sasa tangu wimbo wake wa Starehe utoke.
Kama alikuwa na miaka 24 Mwaka huo, ina maana kwasasa yupo kwenye 47 🙌
Unadhani ataendelea kuwa na Sura ile ile
Hapo si nko teenager hivi..😃😃Halafu hutaki kunipa shikamoo yangu Mjukuu 🤗😜
😂Nchi hii wanafik wengi ,, anaacha kushangaq Babu zake kijijin anamshqngaa Feruz ambaye kimaumbile yupo hivyo tangu zaman
uyo lody music sikua namfahamu ndio nmeenda kumuangalia😲Kwa sababu alikuwa staa.
Muangalie hata Lodymusic sura yake na aina ya muziki anaoimba ni tofauti. 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
😂😂ila jamii forum 🤣So wataka kusema Feruzi ni Babu wa mtu!!!
W+
Ni uzee sote tutazeekaWadau kumbe kuna kuzeeka aisee, huyu ferouz hatumii vitu kweli mbona kama age imeenda sana aise.
Unaweza kusema kikongwe, maisha kweli yanabadilika.
View attachment 3047769
Sura nzuri mwanaume ya nnHiyo sura ni kama ana 57 sasa. Huyo sura tuu imemsaliti vinginevyo ni kama Jmo tuu au mwanaFA kwa age yake
Huwa nakuelewa sana katika swala la mloWatanzania wengi wanazeeka haraka sura na miili kwa kukosa milo stahiki.
Abadili namna ya kula tu, asile kimazowea.
Nyama, samaki, mayai, maziwa mboga, matunda ndivyo vya kula. Ugali, wali, na chipsi ni vya kutowelea tu. Watanzania tunafanya kinyume cheke, tunakula ugali na wali, paka haruki. Nyama na Samaki harufu tu.
umeonaje sura yake ?🤣🤣🤣🤣🤣🤣uyo lody music sikua namfahamu ndio nmeenda kumuangalia😲
BiHuwa nakuelewa sana katika swala la mlo