Uchaguzi 2020 Huyu ni msafisha viatu kweli au ana kazi nyingine maalum? Amenichambulia siasa za Tanzania na kuahidi Tundu Lissu kushindwa vibaya

Uchaguzi 2020 Huyu ni msafisha viatu kweli au ana kazi nyingine maalum? Amenichambulia siasa za Tanzania na kuahidi Tundu Lissu kushindwa vibaya

Moja kwa moja kwenye mada maana naona Tundu Lissu anajimwambafwai na hata sasa anaanza kuwachokoza watu wa kawaida kabisa hadi wasafisha viatu wa mjini Dar-es-Salaam.

Niliamua kujivinjari maeneo ya mjini Dar na nikapata nafasi ya kusafisha viatu vyangu kwa kuweka Kiwi.

Kwa kawaida mimi ni mchokoz mada sana na nilianza na suala la siasa za sasa zinezoendelea naujio wa Tundu Lissu.

Msafisha viatu akajibu harakaharaka kwamba hiyo ni ni geresha tu Tundu Lissu hawezi kumshinda ngosha au Uncle Magu.

Jamaa akaendela "ngoja nikwambie kitu kimoja, System ndio wamemruhusu kurudi hapa nchini". Akaendelea, ila wamemuachia tu ajimwambafwai kabla ya CCM mashine haijashuka ianze kazi".

MImi nikakaa uzuri na kuagiza maji ya muwa na barafu kwa kipande cha na nikaedelea kumsikiliza msafisha viatu akishusha madini.

CCM si mashine ya unga wala karakana ndogo wala kubwa, bali CCM ni kiwanda kilichotapakaa nchi nzima.

Hata mjumbe wa nyumba 10 wa CCM au mwenyekiti wa serikali ya mtaa wote ni sehemu ya kiwanda hiki cha CCM.

Sasa CCM walianza na Augustino Mrema mwaka 1995 wakampa kazi ya kuwa mgombea wa upinzani na aliifanya kazi hiyo kwa moyo wote wa kujituma.

Mrema alikuwa ni mmoja wa walimu wazuri tu pale Kivukoni na hata kule Mbweni, hadi leo hii, Mrema atakuwa anajivunia kuwa ameacha kundi kubwa na wanafunzi wake wakiwa kazini.

Mwaka 2000 Mkapa hakuwa na kazi kubwa kama ya 1995 akapita maana upinzani tayari ulikwishaanza kulegezwa.

Hata alipokuja Kikwete mwaka 2005 kazi pia haikuwa kubwa na mtoto wa mjini akapita na msemo wake wa Hali Mpya, Kasi Mpya na Nguvu Mpya ulivuruga kabisa maipango ya upinzani na Mbowe akapigwa chini na wapiga kura wa kitanzania.

CCM imetawala nchi hii tangu uhuru na ndio chama dola ambacho kimeshika jeshi, vyombo vyote vya usalama na polisi, sasa iweje kisiwe na nguvu?

Kitengo ni moja ya nguzo za nyuma ya CCM na pamoja na kumpitisha raisi wa sasa John Magufuli (ambae anatarajiwa kupita tena uchaguzi wa mwaka huu) lakini alikuwa ni wa tatu kwenye tatu bora baada ya Amina Salum Ali na Asha Migiro.

Lakini kwa kuwa Amina alifanya mazunguzo na Edo kwamba yeye (Amina) akipitishwa basi Edo awe mgombea mwenza, Kitengo kikasema hio haiwezekani na kura zote za Amina zikaenda kwa Magufuli.

Hii nchi ni lazima iendeshwe kwa misingi ya usawa na kila mwananchi wa nchi hii ni lazima afaidi matunda ya uhuru.

Kulijitokeza makundi ambapo kundi moja lilijiona kuwa lenyewe tu ndilo lenye haki ya kupata kila rasilimali za nchi hii na kuzitapanya huku na huko.

Wananchi wa kawaida kabisa wakasahauliwa na kuishi maisha ya kishenzi sana.

Sasa John akapewa maono yaani Dira ya Maendeleo ya Taifa 2025 na aitekeleze kwa kasi na umakini mkubwa.

Na hata alipoingia madarakani John Magufuli aliwaambia viongozi wote kwamba "jamani eeh kila mwenye mali ajitokeze aziorodheshe kabisa maana mimi nikianza kazi sitakuwa na simile"

Wengi walisikia yalomtokea mama Salma na wengine ambao biashara zao zilikuwa zinatumika kuficha jina halisi.

Ndo maana mzee wa kutabasamu yupo yupo tu maana huwa akumbuka ya Chamwino kwamba aliambiwa na Kitengo kwamba , "jina hapo ni JPM ndo final"

Watu wanalaumu tu jina limetokea mfukoni lakini hawafahamu chanzo halisi ingawa nimekieleza hapo juu.

Sasa Tundu Lissu ameanza kuropoka na kuwataja hadharani wakuu wa vyombo vya ulinzi na usalama.

Anasema ana taarifa za vitisho na kwamba IGP Sirro na DG wa TISS lazima wawafuatilie watu wao, Yaani anamaanisha kwamba ana uhakika vitishio hivyo vinatoka kwa watu wa vyombo vya Usalama?

Huku si ni kujitafutia sababu ili kutengeneza sinema ya bure?

Vyombo vingi vya habari vya nje ambayo Tundu Lissu alijitahidi kuviaminisha na hata Steven Sakari wa BBC kumuuliza kwamba ana ushahidi wa tuhuma anazozitoa, navyo vimepigwa na butwaa na ukimya wa serikali ya Tanzania.

Vyombo hivyo pamoja na nchi za kibeberu na mashirika na makampuni ambayo yalifukuzwa nchini kwa kosa la kukwepa kulipa kodi na kuiba rasilimali za watanzania vilitarajia kuona Tundu Lissu anakamatwa pindi atakapofika Tanzania.

Ukimya huu umewashangaza hata wapinzani wenyewe ambao wengi walitegenea wafanye vurugu na sasa wamechiwa wafanye kampeni wakizunguka kwa kudai wanatafuta wadhamini wa Tundu Lissu.

Upinzani kwa sasa utapoteza kura nyingi sana kutokana na kwamba ACT ambayo nayo ilianzishwa kwa makubaliano kati ya Membe na Zitto ili kugawa kura za wakti ule.

Ndo maana Zitto hadi leo hajaweza kujibu sawasawa zile tuhuma za Chadema.

Sasa huko kuna Membe, kuna Nyalandu na wengine yaani Upinzani unaangaliwa tu sasa hivi.

Hebu fikiria, mtu ambae alikuwa waziri mkuu, au waziri wa wizara fulani leo hii aachie kiti hicho cha CCM na aende Upinzani?

Hivi Upinzani umweahi kukaa chini na kutafakari kuhusu ujio wa Lowasa au ujio wa Sumaye ambao ni mawaziri wakuu wa zamani wa nchi hii?

Yupo Maalim Seifu ambae aliitwa mjengoni kupewa mawili matatu kwamba Zanzibar ni kama kawaida na hakutakuwa na shida na watu wote muhimu kwa sasa wapo huko tangu January 2020.

Halafu kuhusu Makonda, wanadhani wamemkomoa kumbe wamejikomoa wenyewe.

Wajumbe wengi wa walopiga kura kwa Ndugulile wameishafanyiwa mahojiano na Kitengo na yalotoka hapo ni majibu yanayoshangaza sana kwamba nchi hii pamoja na uwepo wa serikali hii ya awamu ya tano bado kuna watu wana mioyo ya kuweza kuhonga kwenye uchaguzi wa kura za maoni ili tu Makonda asipite?

Wapo wafanya biashara, wauza unga na watu wengine ambao kwa kweli Makonda hakuwapa nafasi ya kupumua upepo mwananawa bahari ya Hindi.

Msafisha viatu huyu akaanza kunishushia mafanikio ya JPM na matarajio yake pindi atakapotangazwa rasi wa Awamu ya sita ifikapo mwezi October 2020.

Pia akamtaja Paul makonda kwamba anayo nafasi kabisa ya kuwa waziri katika serikali hiyo na huenda akapewa nafasi nyeti sana katika baraza la mawaziri.

Akamalizia kwa kusema raisi wa awamu ya sita Dr JPM atawashangaza sana watanzania kwa aina ya serikali atakayoiunda ya 2020-2025.

Kuja kuangalia muda nikajikuta nimekaa pale masaa mawili na nikamuomba msafisha viatu nimuache ili niwahi boat ya kurudi Zanzibar niwahi ugeni wa ACT Kisiwani humo.

Maana Membe na mshirika wake Zitto Kabwe kwa kiingereza twasema smooth operators na maalim Seif wapo safarini visiwani.

Unaweza kufikiri watanzania wa maisha ya kawaida kabisa hawaelewi kinachoendelea lakini kumbe watanzani walo wengi wana uelewa kabisa wa siasa za Tanzania na wanazifahamu kwa kiwango kilichopitiliza.

NB: Habari imekatikakatika maana lakini wenye uelewa hawatopata shida
Ni vyema kuendelea kuwatisha hao 60's. Vijana wanahitaji ajira au dira ya kuwaongoza baada ya masomo yao.

Wastaafu wako hoi na bado chama cha mapinduzi kilikuwa kina engeer mpango wa kuwapunja wastaafu na kuwawekea ngumu wafanyakazi wa nchi hii.

Wakulima bado wana hali mbaya, kila kitu kina mwanzo kati na mwisho mwisho wa hayo unayoyaandika yako ukingoni yatabaki historia ikiwa mashingo yao yataendelea kuyafumbia macho haya
 
Amekuzidi akili wewe
Utakuwa ni empty sana kama umeona ni nondo hizo
 
ewe kichwa maji mwenye upeo finyu nakuamulu TOKA kunisumbua

kwaiyo unabisha kuwa jiwe ajapigia goti mabeberu au ?

hizo trillion 40 wap uliziona una ushahidi ?
Umekalia kitu chenye ncha kali,chomoa haraka kabla hujarukwa na akili.
 
Moja kwa moja kwenye mada maana naona Tundu Lissu anajimwambafwai na hata sasa anaanza kuwachokoza watu wa kawaida kabisa hadi wasafisha viatu wa mjini Dar-es-Salaam.

Niliamua kujivinjari maeneo ya mjini Dar na nikapata nafasi ya kusafisha viatu vyangu kwa kuweka Kiwi.

Kwa kawaida mimi ni mchokoz mada sana na nilianza na suala la siasa za sasa zinezoendelea naujio wa Tundu Lissu.

Msafisha viatu akajibu harakaharaka kwamba hiyo ni ni geresha tu Tundu Lissu hawezi kumshinda ngosha au Uncle Magu.

Jamaa akaendela "ngoja nikwambie kitu kimoja, System ndio wamemruhusu kurudi hapa nchini". Akaendelea, ila wamemuachia tu ajimwambafwai kabla ya CCM mashine haijashuka ianze kazi".

MImi nikakaa uzuri na kuagiza maji ya muwa na barafu kwa kipande cha na nikaedelea kumsikiliza msafisha viatu akishusha madini.

CCM si mashine ya unga wala karakana ndogo wala kubwa, bali CCM ni kiwanda kilichotapakaa nchi nzima.

Hata mjumbe wa nyumba 10 wa CCM au mwenyekiti wa serikali ya mtaa wote ni sehemu ya kiwanda hiki cha CCM.

Sasa CCM walianza na Augustino Mrema mwaka 1995 wakampa kazi ya kuwa mgombea wa upinzani na aliifanya kazi hiyo kwa moyo wote wa kujituma.

Mrema alikuwa ni mmoja wa walimu wazuri tu pale Kivukoni na hata kule Mbweni, hadi leo hii, Mrema atakuwa anajivunia kuwa ameacha kundi kubwa na wanafunzi wake wakiwa kazini.

Mwaka 2000 Mkapa hakuwa na kazi kubwa kama ya 1995 akapita maana upinzani tayari ulikwishaanza kulegezwa.

Hata alipokuja Kikwete mwaka 2005 kazi pia haikuwa kubwa na mtoto wa mjini akapita na msemo wake wa Hali Mpya, Kasi Mpya na Nguvu Mpya ulivuruga kabisa maipango ya upinzani na Mbowe akapigwa chini na wapiga kura wa kitanzania.

CCM imetawala nchi hii tangu uhuru na ndio chama dola ambacho kimeshika jeshi, vyombo vyote vya usalama na polisi, sasa iweje kisiwe na nguvu?

Kitengo ni moja ya nguzo za nyuma ya CCM na pamoja na kumpitisha raisi wa sasa John Magufuli (ambae anatarajiwa kupita tena uchaguzi wa mwaka huu) lakini alikuwa ni wa tatu kwenye tatu bora baada ya Amina Salum Ali na Asha Migiro.

Lakini kwa kuwa Amina alifanya mazunguzo na Edo kwamba yeye (Amina) akipitishwa basi Edo awe mgombea mwenza, Kitengo kikasema hio haiwezekani na kura zote za Amina zikaenda kwa Magufuli.

Hii nchi ni lazima iendeshwe kwa misingi ya usawa na kila mwananchi wa nchi hii ni lazima afaidi matunda ya uhuru.

Kulijitokeza makundi ambapo kundi moja lilijiona kuwa lenyewe tu ndilo lenye haki ya kupata kila rasilimali za nchi hii na kuzitapanya huku na huko.

Wananchi wa kawaida kabisa wakasahauliwa na kuishi maisha ya kishenzi sana.

Sasa John akapewa maono yaani Dira ya Maendeleo ya Taifa 2025 na aitekeleze kwa kasi na umakini mkubwa.

Na hata alipoingia madarakani John Magufuli aliwaambia viongozi wote kwamba "jamani eeh kila mwenye mali ajitokeze aziorodheshe kabisa maana mimi nikianza kazi sitakuwa na simile"

Wengi walisikia yalomtokea mama Salma na wengine ambao biashara zao zilikuwa zinatumika kuficha jina halisi.

Ndo maana mzee wa kutabasamu yupo yupo tu maana huwa akumbuka ya Chamwino kwamba aliambiwa na Kitengo kwamba , "jina hapo ni JPM ndo final"

Watu wanalaumu tu jina limetokea mfukoni lakini hawafahamu chanzo halisi ingawa nimekieleza hapo juu.

Sasa Tundu Lissu ameanza kuropoka na kuwataja hadharani wakuu wa vyombo vya ulinzi na usalama.

Anasema ana taarifa za vitisho na kwamba IGP Sirro na DG wa TISS lazima wawafuatilie watu wao, Yaani anamaanisha kwamba ana uhakika vitishio hivyo vinatoka kwa watu wa vyombo vya Usalama?

Huku si ni kujitafutia sababu ili kutengeneza sinema ya bure?

Vyombo vingi vya habari vya nje ambayo Tundu Lissu alijitahidi kuviaminisha na hata Steven Sakari wa BBC kumuuliza kwamba ana ushahidi wa tuhuma anazozitoa, navyo vimepigwa na butwaa na ukimya wa serikali ya Tanzania.

Vyombo hivyo pamoja na nchi za kibeberu na mashirika na makampuni ambayo yalifukuzwa nchini kwa kosa la kukwepa kulipa kodi na kuiba rasilimali za watanzania vilitarajia kuona Tundu Lissu anakamatwa pindi atakapofika Tanzania.

Ukimya huu umewashangaza hata wapinzani wenyewe ambao wengi walitegenea wafanye vurugu na sasa wamechiwa wafanye kampeni wakizunguka kwa kudai wanatafuta wadhamini wa Tundu Lissu.

Upinzani kwa sasa utapoteza kura nyingi sana kutokana na kwamba ACT ambayo nayo ilianzishwa kwa makubaliano kati ya Membe na Zitto ili kugawa kura za wakti ule.

Ndo maana Zitto hadi leo hajaweza kujibu sawasawa zile tuhuma za Chadema.

Sasa huko kuna Membe, kuna Nyalandu na wengine yaani Upinzani unaangaliwa tu sasa hivi.

Hebu fikiria, mtu ambae alikuwa waziri mkuu, au waziri wa wizara fulani leo hii aachie kiti hicho cha CCM na aende Upinzani?

Hivi Upinzani umweahi kukaa chini na kutafakari kuhusu ujio wa Lowasa au ujio wa Sumaye ambao ni mawaziri wakuu wa zamani wa nchi hii?

Yupo Maalim Seifu ambae aliitwa mjengoni kupewa mawili matatu kwamba Zanzibar ni kama kawaida na hakutakuwa na shida na watu wote muhimu kwa sasa wapo huko tangu January 2020.

Halafu kuhusu Makonda, wanadhani wamemkomoa kumbe wamejikomoa wenyewe.

Wajumbe wengi wa walopiga kura kwa Ndugulile wameishafanyiwa mahojiano na Kitengo na yalotoka hapo ni majibu yanayoshangaza sana kwamba nchi hii pamoja na uwepo wa serikali hii ya awamu ya tano bado kuna watu wana mioyo ya kuweza kuhonga kwenye uchaguzi wa kura za maoni ili tu Makonda asipite?

Wapo wafanya biashara, wauza unga na watu wengine ambao kwa kweli Makonda hakuwapa nafasi ya kupumua upepo mwananawa bahari ya Hindi.

Msafisha viatu huyu akaanza kunishushia mafanikio ya JPM na matarajio yake pindi atakapotangazwa rasi wa Awamu ya sita ifikapo mwezi October 2020.

Pia akamtaja Paul makonda kwamba anayo nafasi kabisa ya kuwa waziri katika serikali hiyo na huenda akapewa nafasi nyeti sana katika baraza la mawaziri.

Akamalizia kwa kusema raisi wa awamu ya sita Dr JPM atawashangaza sana watanzania kwa aina ya serikali atakayoiunda ya 2020-2025.

Kuja kuangalia muda nikajikuta nimekaa pale masaa mawili na nikamuomba msafisha viatu nimuache ili niwahi boat ya kurudi Zanzibar niwahi ugeni wa ACT Kisiwani humo.

Maana Membe na mshirika wake Zitto Kabwe kwa kiingereza twasema smooth operators na maalim Seif wapo safarini visiwani.

Unaweza kufikiri watanzania wa maisha ya kawaida kabisa hawaelewi kinachoendelea lakini kumbe watanzani walo wengi wana uelewa kabisa wa siasa za Tanzania na wanazifahamu kwa kiwango kilichopitiliza.

NB: Habari imekatikakatika maana lakini wenye uelewa hawatopata shida
Hicho kiwanda 2015 kilikosa nishati au vipuri nini? Mbona tuligalagazwa mbaya? Kutojiamini kote kwa Magu ,uamuzi wa kurudisha bunge letu gizani na Magufuli kuamua kupiga kampeni kwa miaka mitano yalikuwa ni matokeo ya kugaragazwa,Kama haya yamesemwa na huyu mshona viatu no wonder ni mshona viatu,he is an empty head
 
JPM kapunguza kwa kiwango kikubwa saana Tz kutegemea wazungu
Kwa kutekeleza budget kwa 40% au kwa kuongeza productivity ya watanzania? Tunadaiwa 40T sawa na budget yetu ya miaka miwili then wewe unakuja na utopolo
 
Acha kumsingizia shoe shiner
IMG_20200811_211430.jpg
 
Moja kwa moja kwenye mada maana naona Tundu Lissu anajimwambafwai na hata sasa anaanza kuwachokoza watu wa kawaida kabisa hadi wasafisha viatu wa mjini Dar-es-Salaam.

Niliamua kujivinjari maeneo ya mjini Dar na nikapata nafasi ya kusafisha viatu vyangu kwa kuweka Kiwi.

Kwa kawaida mimi ni mchokoz mada sana na nilianza na suala la siasa za sasa zinezoendelea naujio wa Tundu Lissu.

Msafisha viatu akajibu harakaharaka kwamba hiyo ni ni geresha tu Tundu Lissu hawezi kumshinda ngosha au Uncle Magu.

Jamaa akaendela "ngoja nikwambie kitu kimoja, System ndio wamemruhusu kurudi hapa nchini". Akaendelea, ila wamemuachia tu ajimwambafwai kabla ya CCM mashine haijashuka ianze kazi".

MImi nikakaa uzuri na kuagiza maji ya muwa na barafu kwa kipande cha na nikaedelea kumsikiliza msafisha viatu akishusha madini.

CCM si mashine ya unga wala karakana ndogo wala kubwa, bali CCM ni kiwanda kilichotapakaa nchi nzima.

Hata mjumbe wa nyumba 10 wa CCM au mwenyekiti wa serikali ya mtaa wote ni sehemu ya kiwanda hiki cha CCM.

Sasa CCM walianza na Augustino Mrema mwaka 1995 wakampa kazi ya kuwa mgombea wa upinzani na aliifanya kazi hiyo kwa moyo wote wa kujituma.

Mrema alikuwa ni mmoja wa walimu wazuri tu pale Kivukoni na hata kule Mbweni, hadi leo hii, Mrema atakuwa anajivunia kuwa ameacha kundi kubwa na wanafunzi wake wakiwa kazini.

Mwaka 2000 Mkapa hakuwa na kazi kubwa kama ya 1995 akapita maana upinzani tayari ulikwishaanza kulegezwa.

Hata alipokuja Kikwete mwaka 2005 kazi pia haikuwa kubwa na mtoto wa mjini akapita na msemo wake wa Hali Mpya, Kasi Mpya na Nguvu Mpya ulivuruga kabisa maipango ya upinzani na Mbowe akapigwa chini na wapiga kura wa kitanzania.

CCM imetawala nchi hii tangu uhuru na ndio chama dola ambacho kimeshika jeshi, vyombo vyote vya usalama na polisi, sasa iweje kisiwe na nguvu?

Kitengo ni moja ya nguzo za nyuma ya CCM na pamoja na kumpitisha raisi wa sasa John Magufuli (ambae anatarajiwa kupita tena uchaguzi wa mwaka huu) lakini alikuwa ni wa tatu kwenye tatu bora baada ya Amina Salum Ali na Asha Migiro.

Lakini kwa kuwa Amina alifanya mazunguzo na Edo kwamba yeye (Amina) akipitishwa basi Edo awe mgombea mwenza, Kitengo kikasema hio haiwezekani na kura zote za Amina zikaenda kwa Magufuli.

Hii nchi ni lazima iendeshwe kwa misingi ya usawa na kila mwananchi wa nchi hii ni lazima afaidi matunda ya uhuru.

Kulijitokeza makundi ambapo kundi moja lilijiona kuwa lenyewe tu ndilo lenye haki ya kupata kila rasilimali za nchi hii na kuzitapanya huku na huko.

Wananchi wa kawaida kabisa wakasahauliwa na kuishi maisha ya kishenzi sana.

Sasa John akapewa maono yaani Dira ya Maendeleo ya Taifa 2025 na aitekeleze kwa kasi na umakini mkubwa.

Na hata alipoingia madarakani John Magufuli aliwaambia viongozi wote kwamba "jamani eeh kila mwenye mali ajitokeze aziorodheshe kabisa maana mimi nikianza kazi sitakuwa na simile"

Wengi walisikia yalomtokea mama Salma na wengine ambao biashara zao zilikuwa zinatumika kuficha jina halisi.

Ndo maana mzee wa kutabasamu yupo yupo tu maana huwa akumbuka ya Chamwino kwamba aliambiwa na Kitengo kwamba , "jina hapo ni JPM ndo final"

Watu wanalaumu tu jina limetokea mfukoni lakini hawafahamu chanzo halisi ingawa nimekieleza hapo juu.

Sasa Tundu Lissu ameanza kuropoka na kuwataja hadharani wakuu wa vyombo vya ulinzi na usalama.

Anasema ana taarifa za vitisho na kwamba IGP Sirro na DG wa TISS lazima wawafuatilie watu wao, Yaani anamaanisha kwamba ana uhakika vitishio hivyo vinatoka kwa watu wa vyombo vya Usalama?

Huku si ni kujitafutia sababu ili kutengeneza sinema ya bure?

Vyombo vingi vya habari vya nje ambayo Tundu Lissu alijitahidi kuviaminisha na hata Steven Sakari wa BBC kumuuliza kwamba ana ushahidi wa tuhuma anazozitoa, navyo vimepigwa na butwaa na ukimya wa serikali ya Tanzania.

Vyombo hivyo pamoja na nchi za kibeberu na mashirika na makampuni ambayo yalifukuzwa nchini kwa kosa la kukwepa kulipa kodi na kuiba rasilimali za watanzania vilitarajia kuona Tundu Lissu anakamatwa pindi atakapofika Tanzania.

Ukimya huu umewashangaza hata wapinzani wenyewe ambao wengi walitegenea wafanye vurugu na sasa wamechiwa wafanye kampeni wakizunguka kwa kudai wanatafuta wadhamini wa Tundu Lissu.

Upinzani kwa sasa utapoteza kura nyingi sana kutokana na kwamba ACT ambayo nayo ilianzishwa kwa makubaliano kati ya Membe na Zitto ili kugawa kura za wakti ule.

Ndo maana Zitto hadi leo hajaweza kujibu sawasawa zile tuhuma za Chadema.

Sasa huko kuna Membe, kuna Nyalandu na wengine yaani Upinzani unaangaliwa tu sasa hivi.

Hebu fikiria, mtu ambae alikuwa waziri mkuu, au waziri wa wizara fulani leo hii aachie kiti hicho cha CCM na aende Upinzani?

Hivi Upinzani umweahi kukaa chini na kutafakari kuhusu ujio wa Lowasa au ujio wa Sumaye ambao ni mawaziri wakuu wa zamani wa nchi hii?

Yupo Maalim Seifu ambae aliitwa mjengoni kupewa mawili matatu kwamba Zanzibar ni kama kawaida na hakutakuwa na shida na watu wote muhimu kwa sasa wapo huko tangu January 2020.

Halafu kuhusu Makonda, wanadhani wamemkomoa kumbe wamejikomoa wenyewe.

Wajumbe wengi wa walopiga kura kwa Ndugulile wameishafanyiwa mahojiano na Kitengo na yalotoka hapo ni majibu yanayoshangaza sana kwamba nchi hii pamoja na uwepo wa serikali hii ya awamu ya tano bado kuna watu wana mioyo ya kuweza kuhonga kwenye uchaguzi wa kura za maoni ili tu Makonda asipite?

Wapo wafanya biashara, wauza unga na watu wengine ambao kwa kweli Makonda hakuwapa nafasi ya kupumua upepo mwananawa bahari ya Hindi.

Msafisha viatu huyu akaanza kunishushia mafanikio ya JPM na matarajio yake pindi atakapotangazwa rasi wa Awamu ya sita ifikapo mwezi October 2020.

Pia akamtaja Paul makonda kwamba anayo nafasi kabisa ya kuwa waziri katika serikali hiyo na huenda akapewa nafasi nyeti sana katika baraza la mawaziri.

Akamalizia kwa kusema raisi wa awamu ya sita Dr JPM atawashangaza sana watanzania kwa aina ya serikali atakayoiunda ya 2020-2025.

Kuja kuangalia muda nikajikuta nimekaa pale masaa mawili na nikamuomba msafisha viatu nimuache ili niwahi boat ya kurudi Zanzibar niwahi ugeni wa ACT Kisiwani humo.

Maana Membe na mshirika wake Zitto Kabwe kwa kiingereza twasema smooth operators na maalim Seif wapo safarini visiwani.

Unaweza kufikiri watanzania wa maisha ya kawaida kabisa hawaelewi kinachoendelea lakini kumbe watanzani walo wengi wana uelewa kabisa wa siasa za Tanzania na wanazifahamu kwa kiwango kilichopitiliza.

NB: Habari imekatikakatika maana lakini wenye uelewa hawatopata shida
Nilipofika hapo ulipoandika "rais wa awamu ya SITA ifikapo October 2020" nimeamua kuachana na habari yako yote.
 
Kusujudia ndio kupi? Mbona bajeti yake bado inategemea misaada na mikopo toka kwa mabeberu!! Hta SGR inajengwa na beberu kwa mkopo wa Beberu.

Labda unieleweshe kutosujudu ndio kupi


Hawawezi kukuelewa hao........
 
Moja kwa moja kwenye mada maana naona Tundu Lissu anajimwambafwai na hata sasa anaanza kuwachokoza watu wa kawaida kabisa hadi wasafisha viatu wa mjini Dar-es-Salaam.

Niliamua kujivinjari maeneo ya mjini Dar na nikapata nafasi ya kusafisha viatu vyangu kwa kuweka Kiwi.

Kwa kawaida mimi ni mchokoz mada sana na nilianza na suala la siasa za sasa zinezoendelea naujio wa Tundu Lissu.

Msafisha viatu akajibu harakaharaka kwamba hiyo ni ni geresha tu Tundu Lissu hawezi kumshinda ngosha au Uncle Magu.

Jamaa akaendela "ngoja nikwambie kitu kimoja, System ndio wamemruhusu kurudi hapa nchini". Akaendelea, ila wamemuachia tu ajimwambafwai kabla ya CCM mashine haijashuka ianze kazi".

MImi nikakaa uzuri na kuagiza maji ya muwa na barafu kwa kipande cha na nikaedelea kumsikiliza msafisha viatu akishusha madini.

CCM si mashine ya unga wala karakana ndogo wala kubwa, bali CCM ni kiwanda kilichotapakaa nchi nzima.

Hata mjumbe wa nyumba 10 wa CCM au mwenyekiti wa serikali ya mtaa wote ni sehemu ya kiwanda hiki cha CCM.

Sasa CCM walianza na Augustino Mrema mwaka 1995 wakampa kazi ya kuwa mgombea wa upinzani na aliifanya kazi hiyo kwa moyo wote wa kujituma.

Mrema alikuwa ni mmoja wa walimu wazuri tu pale Kivukoni na hata kule Mbweni, hadi leo hii, Mrema atakuwa anajivunia kuwa ameacha kundi kubwa na wanafunzi wake wakiwa kazini.

Mwaka 2000 Mkapa hakuwa na kazi kubwa kama ya 1995 akapita maana upinzani tayari ulikwishaanza kulegezwa.

Hata alipokuja Kikwete mwaka 2005 kazi pia haikuwa kubwa na mtoto wa mjini akapita na msemo wake wa Hali Mpya, Kasi Mpya na Nguvu Mpya ulivuruga kabisa maipango ya upinzani na Mbowe akapigwa chini na wapiga kura wa kitanzania.

CCM imetawala nchi hii tangu uhuru na ndio chama dola ambacho kimeshika jeshi, vyombo vyote vya usalama na polisi, sasa iweje kisiwe na nguvu?

Kitengo ni moja ya nguzo za nyuma ya CCM na pamoja na kumpitisha raisi wa sasa John Magufuli (ambae anatarajiwa kupita tena uchaguzi wa mwaka huu) lakini alikuwa ni wa tatu kwenye tatu bora baada ya Amina Salum Ali na Asha Migiro.

Lakini kwa kuwa Amina alifanya mazunguzo na Edo kwamba yeye (Amina) akipitishwa basi Edo awe mgombea mwenza, Kitengo kikasema hio haiwezekani na kura zote za Amina zikaenda kwa Magufuli.

Hii nchi ni lazima iendeshwe kwa misingi ya usawa na kila mwananchi wa nchi hii ni lazima afaidi matunda ya uhuru.

Kulijitokeza makundi ambapo kundi moja lilijiona kuwa lenyewe tu ndilo lenye haki ya kupata kila rasilimali za nchi hii na kuzitapanya huku na huko.

Wananchi wa kawaida kabisa wakasahauliwa na kuishi maisha ya kishenzi sana.

Sasa John akapewa maono yaani Dira ya Maendeleo ya Taifa 2025 na aitekeleze kwa kasi na umakini mkubwa.

Na hata alipoingia madarakani John Magufuli aliwaambia viongozi wote kwamba "jamani eeh kila mwenye mali ajitokeze aziorodheshe kabisa maana mimi nikianza kazi sitakuwa na simile"

Wengi walisikia yalomtokea mama Salma na wengine ambao biashara zao zilikuwa zinatumika kuficha jina halisi.

Ndo maana mzee wa kutabasamu yupo yupo tu maana huwa akumbuka ya Chamwino kwamba aliambiwa na Kitengo kwamba , "jina hapo ni JPM ndo final"

Watu wanalaumu tu jina limetokea mfukoni lakini hawafahamu chanzo halisi ingawa nimekieleza hapo juu.

Sasa Tundu Lissu ameanza kuropoka na kuwataja hadharani wakuu wa vyombo vya ulinzi na usalama.

Anasema ana taarifa za vitisho na kwamba IGP Sirro na DG wa TISS lazima wawafuatilie watu wao, Yaani anamaanisha kwamba ana uhakika vitishio hivyo vinatoka kwa watu wa vyombo vya Usalama?

Huku si ni kujitafutia sababu ili kutengeneza sinema ya bure?

Vyombo vingi vya habari vya nje ambayo Tundu Lissu alijitahidi kuviaminisha na hata Steven Sakari wa BBC kumuuliza kwamba ana ushahidi wa tuhuma anazozitoa, navyo vimepigwa na butwaa na ukimya wa serikali ya Tanzania.

Vyombo hivyo pamoja na nchi za kibeberu na mashirika na makampuni ambayo yalifukuzwa nchini kwa kosa la kukwepa kulipa kodi na kuiba rasilimali za watanzania vilitarajia kuona Tundu Lissu anakamatwa pindi atakapofika Tanzania.

Ukimya huu umewashangaza hata wapinzani wenyewe ambao wengi walitegenea wafanye vurugu na sasa wamechiwa wafanye kampeni wakizunguka kwa kudai wanatafuta wadhamini wa Tundu Lissu.

Upinzani kwa sasa utapoteza kura nyingi sana kutokana na kwamba ACT ambayo nayo ilianzishwa kwa makubaliano kati ya Membe na Zitto ili kugawa kura za wakti ule.

Ndo maana Zitto hadi leo hajaweza kujibu sawasawa zile tuhuma za Chadema.

Sasa huko kuna Membe, kuna Nyalandu na wengine yaani Upinzani unaangaliwa tu sasa hivi.

Hebu fikiria, mtu ambae alikuwa waziri mkuu, au waziri wa wizara fulani leo hii aachie kiti hicho cha CCM na aende Upinzani?

Hivi Upinzani umweahi kukaa chini na kutafakari kuhusu ujio wa Lowasa au ujio wa Sumaye ambao ni mawaziri wakuu wa zamani wa nchi hii?

Yupo Maalim Seifu ambae aliitwa mjengoni kupewa mawili matatu kwamba Zanzibar ni kama kawaida na hakutakuwa na shida na watu wote muhimu kwa sasa wapo huko tangu January 2020.

Halafu kuhusu Makonda, wanadhani wamemkomoa kumbe wamejikomoa wenyewe.

Wajumbe wengi wa walopiga kura kwa Ndugulile wameishafanyiwa mahojiano na Kitengo na yalotoka hapo ni majibu yanayoshangaza sana kwamba nchi hii pamoja na uwepo wa serikali hii ya awamu ya tano bado kuna watu wana mioyo ya kuweza kuhonga kwenye uchaguzi wa kura za maoni ili tu Makonda asipite?

Wapo wafanya biashara, wauza unga na watu wengine ambao kwa kweli Makonda hakuwapa nafasi ya kupumua upepo mwananawa bahari ya Hindi.

Msafisha viatu huyu akaanza kunishushia mafanikio ya JPM na matarajio yake pindi atakapotangazwa rasi wa Awamu ya sita ifikapo mwezi October 2020.

Pia akamtaja Paul makonda kwamba anayo nafasi kabisa ya kuwa waziri katika serikali hiyo na huenda akapewa nafasi nyeti sana katika baraza la mawaziri.

Akamalizia kwa kusema raisi wa awamu ya sita Dr JPM atawashangaza sana watanzania kwa aina ya serikali atakayoiunda ya 2020-2025.

Kuja kuangalia muda nikajikuta nimekaa pale masaa mawili na nikamuomba msafisha viatu nimuache ili niwahi boat ya kurudi Zanzibar niwahi ugeni wa ACT Kisiwani humo.

Maana Membe na mshirika wake Zitto Kabwe kwa kiingereza twasema smooth operators na maalim Seif wapo safarini visiwani.

Unaweza kufikiri watanzania wa maisha ya kawaida kabisa hawaelewi kinachoendelea lakini kumbe watanzani walo wengi wana uelewa kabisa wa siasa za Tanzania na wanazifahamu kwa kiwango kilichopitiliza.

NB: Habari imekatikakatika maana lakini wenye uelewa hawatopata shida
Hayo Ni mawazo mfulisi, anyway na huo ndio ukomo wako wa kufikiria.
 
KWANI UKITOKA AWAMU YA TANO UNAENDA AWAMU YA NGAPI SI YA SITA? JPM KAMALIZA AWAMU YA TANO SASA ANAKUJA AWAMU YA SITA KAMA ULIKUWA HUELEWI UNGEULIZA TATIZO UMEKARIRI LISSU NDIYO ATASHINDA LABDA AKAGOMBEE TFF
Hongera kwa kweli unajiona unaandika ujinga na upuuzi lakini hutaki kusahihishwa sawa endelea.
 
mwenye elimu mbovu ni wewe ambaye hujui hata inayofuata ni awamu ya ngapi usije ukasema hivyo mbele ya watoto wako watkuona bonge la boya watakucheka mpaka watamuuliza mama yao hivi huyu ni baba yetu au yule anayekujaga wakati huyu hayupo?
Akiingia Lisu ikulu itakuwa sahihi awamu ya 6,lakini kama ni Jiwe bado itakuwa awamu ya 5 kipindi cha pili(2)

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Moja kwa moja kwenye mada maana naona Tundu Lissu anajimwambafwai na hata sasa anaanza kuwachokoza watu wa kawaida kabisa hadi wasafisha viatu wa mjini Dar-es-Salaam.

Niliamua kujivinjari maeneo ya mjini Dar na nikapata nafasi ya kusafisha viatu vyangu kwa kuweka Kiwi.

Kwa kawaida mimi ni mchokoz mada sana na nilianza na suala la siasa za sasa zinezoendelea naujio wa Tundu Lissu.

Msafisha viatu akajibu harakaharaka kwamba hiyo ni ni geresha tu Tundu Lissu hawezi kumshinda ngosha au Uncle Magu.

Jamaa akaendela "ngoja nikwambie kitu kimoja, System ndio wamemruhusu kurudi hapa nchini". Akaendelea, ila wamemuachia tu ajimwambafwai kabla ya CCM mashine haijashuka ianze kazi".

MImi nikakaa uzuri na kuagiza maji ya muwa na barafu kwa kipande cha na nikaedelea kumsikiliza msafisha viatu akishusha madini.

CCM si mashine ya unga wala karakana ndogo wala kubwa, bali CCM ni kiwanda kilichotapakaa nchi nzima.

Hata mjumbe wa nyumba 10 wa CCM au mwenyekiti wa serikali ya mtaa wote ni sehemu ya kiwanda hiki cha CCM.

Sasa CCM walianza na Augustino Mrema mwaka 1995 wakampa kazi ya kuwa mgombea wa upinzani na aliifanya kazi hiyo kwa moyo wote wa kujituma.

Mrema alikuwa ni mmoja wa walimu wazuri tu pale Kivukoni na hata kule Mbweni, hadi leo hii, Mrema atakuwa anajivunia kuwa ameacha kundi kubwa na wanafunzi wake wakiwa kazini.

Mwaka 2000 Mkapa hakuwa na kazi kubwa kama ya 1995 akapita maana upinzani tayari ulikwishaanza kulegezwa.

Hata alipokuja Kikwete mwaka 2005 kazi pia haikuwa kubwa na mtoto wa mjini akapita na msemo wake wa Hali Mpya, Kasi Mpya na Nguvu Mpya ulivuruga kabisa maipango ya upinzani na Mbowe akapigwa chini na wapiga kura wa kitanzania.

CCM imetawala nchi hii tangu uhuru na ndio chama dola ambacho kimeshika jeshi, vyombo vyote vya usalama na polisi, sasa iweje kisiwe na nguvu?

Kitengo ni moja ya nguzo za nyuma ya CCM na pamoja na kumpitisha raisi wa sasa John Magufuli (ambae anatarajiwa kupita tena uchaguzi wa mwaka huu) lakini alikuwa ni wa tatu kwenye tatu bora baada ya Amina Salum Ali na Asha Migiro.

Lakini kwa kuwa Amina alifanya mazunguzo na Edo kwamba yeye (Amina) akipitishwa basi Edo awe mgombea mwenza, Kitengo kikasema hio haiwezekani na kura zote za Amina zikaenda kwa Magufuli.

Hii nchi ni lazima iendeshwe kwa misingi ya usawa na kila mwananchi wa nchi hii ni lazima afaidi matunda ya uhuru.

Kulijitokeza makundi ambapo kundi moja lilijiona kuwa lenyewe tu ndilo lenye haki ya kupata kila rasilimali za nchi hii na kuzitapanya huku na huko.

Wananchi wa kawaida kabisa wakasahauliwa na kuishi maisha ya kishenzi sana.

Sasa John akapewa maono yaani Dira ya Maendeleo ya Taifa 2025 na aitekeleze kwa kasi na umakini mkubwa.

Na hata alipoingia madarakani John Magufuli aliwaambia viongozi wote kwamba "jamani eeh kila mwenye mali ajitokeze aziorodheshe kabisa maana mimi nikianza kazi sitakuwa na simile"

Wengi walisikia yalomtokea mama Salma na wengine ambao biashara zao zilikuwa zinatumika kuficha jina halisi.

Ndo maana mzee wa kutabasamu yupo yupo tu maana huwa akumbuka ya Chamwino kwamba aliambiwa na Kitengo kwamba , "jina hapo ni JPM ndo final"

Watu wanalaumu tu jina limetokea mfukoni lakini hawafahamu chanzo halisi ingawa nimekieleza hapo juu.

Sasa Tundu Lissu ameanza kuropoka na kuwataja hadharani wakuu wa vyombo vya ulinzi na usalama.

Anasema ana taarifa za vitisho na kwamba IGP Sirro na DG wa TISS lazima wawafuatilie watu wao, Yaani anamaanisha kwamba ana uhakika vitishio hivyo vinatoka kwa watu wa vyombo vya Usalama?

Huku si ni kujitafutia sababu ili kutengeneza sinema ya bure?

Vyombo vingi vya habari vya nje ambayo Tundu Lissu alijitahidi kuviaminisha na hata Steven Sakari wa BBC kumuuliza kwamba ana ushahidi wa tuhuma anazozitoa, navyo vimepigwa na butwaa na ukimya wa serikali ya Tanzania.

Vyombo hivyo pamoja na nchi za kibeberu na mashirika na makampuni ambayo yalifukuzwa nchini kwa kosa la kukwepa kulipa kodi na kuiba rasilimali za watanzania vilitarajia kuona Tundu Lissu anakamatwa pindi atakapofika Tanzania.

Ukimya huu umewashangaza hata wapinzani wenyewe ambao wengi walitegenea wafanye vurugu na sasa wamechiwa wafanye kampeni wakizunguka kwa kudai wanatafuta wadhamini wa Tundu Lissu.

Upinzani kwa sasa utapoteza kura nyingi sana kutokana na kwamba ACT ambayo nayo ilianzishwa kwa makubaliano kati ya Membe na Zitto ili kugawa kura za wakti ule.

Ndo maana Zitto hadi leo hajaweza kujibu sawasawa zile tuhuma za Chadema.

Sasa huko kuna Membe, kuna Nyalandu na wengine yaani Upinzani unaangaliwa tu sasa hivi.

Hebu fikiria, mtu ambae alikuwa waziri mkuu, au waziri wa wizara fulani leo hii aachie kiti hicho cha CCM na aende Upinzani?

Hivi Upinzani umweahi kukaa chini na kutafakari kuhusu ujio wa Lowasa au ujio wa Sumaye ambao ni mawaziri wakuu wa zamani wa nchi hii?

Yupo Maalim Seifu ambae aliitwa mjengoni kupewa mawili matatu kwamba Zanzibar ni kama kawaida na hakutakuwa na shida na watu wote muhimu kwa sasa wapo huko tangu January 2020.

Halafu kuhusu Makonda, wanadhani wamemkomoa kumbe wamejikomoa wenyewe.

Wajumbe wengi wa walopiga kura kwa Ndugulile wameishafanyiwa mahojiano na Kitengo na yalotoka hapo ni majibu yanayoshangaza sana kwamba nchi hii pamoja na uwepo wa serikali hii ya awamu ya tano bado kuna watu wana mioyo ya kuweza kuhonga kwenye uchaguzi wa kura za maoni ili tu Makonda asipite?

Wapo wafanya biashara, wauza unga na watu wengine ambao kwa kweli Makonda hakuwapa nafasi ya kupumua upepo mwananawa bahari ya Hindi.

Msafisha viatu huyu akaanza kunishushia mafanikio ya JPM na matarajio yake pindi atakapotangazwa rasi wa Awamu ya sita ifikapo mwezi October 2020.

Pia akamtaja Paul makonda kwamba anayo nafasi kabisa ya kuwa waziri katika serikali hiyo na huenda akapewa nafasi nyeti sana katika baraza la mawaziri.

Akamalizia kwa kusema raisi wa awamu ya sita Dr JPM atawashangaza sana watanzania kwa aina ya serikali atakayoiunda ya 2020-2025.

Kuja kuangalia muda nikajikuta nimekaa pale masaa mawili na nikamuomba msafisha viatu nimuache ili niwahi boat ya kurudi Zanzibar niwahi ugeni wa ACT Kisiwani humo.

Maana Membe na mshirika wake Zitto Kabwe kwa kiingereza twasema smooth operators na maalim Seif wapo safarini visiwani.

Unaweza kufikiri watanzania wa maisha ya kawaida kabisa hawaelewi kinachoendelea lakini kumbe watanzani walo wengi wana uelewa kabisa wa siasa za Tanzania na wanazifahamu kwa kiwango kilichopitiliza.

NB: Habari imekatikakatika maana lakini wenye uelewa hawatopata shida
Masai bado yupo?
 
KWANI UKITOKA AWAMU YA TANO UNAENDA AWAMU YA NGAPI SI YA SITA? JPM KAMALIZA AWAMU YA TANO SASA ANAKUJA AWAMU YA SITA KAMA ULIKUWA HUELEWI UNGEULIZA TATIZO UMEKARIRI LISSU NDIYO ATASHINDA LABDA AKAGOMBEE TFF
Unajua awamu za marais zilivyo??? Nadhani hii itakua ni mara ya kwanza kwako kupiga kura. JPM ni rais wa awamu ya TANO ambaye anagombea tena kupata kipindi cha pili katika awamu hiyo hiyo ya TANO.
 
Back
Top Bottom