Sambinyakwe kitololo
JF-Expert Member
- Nov 15, 2022
- 2,419
- 2,940
Sio pesa ya kusumbua hio japokuwa Sina ,, hio pesa hata helcopter nayotaka hainunui so ni uchafu tu hella ya mboga hio nb Sina hata 1b Nina hasira tuShida ya Tz ujuaji mwingi sana,,mtu anakwambia b50 ndogo kweli,, huyo atakua anamatatizo
Wanachukulia mambo poa poa, tuseme yeye kwake anayo io pesa au zaidi ya io lakini anasahau kwamba asilimia kubwa Tz hali zetu za kawaida sana.Wabongo tunachekeshaga sana,atakwambia 1b pesa ndogo wakati yeye hata 5m hajawahi kuishika na hata ukimpa hiyo 5m aizalishe hawezi ila nyuma ya key board wanaandika balaa mipango ya hela
Ndo kinachom cost 161m unatuma kwa simu😁 asee hio pesa Ni ya kupeleka na chopperNaona statement hujaisoma vizuri... umeona transaction ya 70K kwenda Mpesa, unataka kusema ametuma Usd 70,000 kwenda Mpesa Kenya?
Ambacho huelewi Nini ..Ni pesa hapo ziko converted to usd Sasa hio column uandike tzs itatosha kweli ...pesa zinazoenda kwa mtu zinafika in tsh Kama Ni huko Kenya Ni ksh kwa hio zidisha 20k kwa thamani ya dola
[emoji3][emoji3]Sio pesa ya kusumbua hio japokuwa Sina ,, hio pesa hata helcopter nayotaka hainunui so ni uchafu tu hella ya mboga hio nb Sina hata 1b Nina hasira tu
We ndo hujaelewa hakuna sehemu nimeandika 25m usd Bali nimeiconvert inakuja 47bil tzs ..nikasema Kama Sina Cha maana Sana na Ni mtu wa kawaida Nina 1b kasoro sio ajabu mtu mwenye bil 47 sijui 57 sishangai Sana japo Ni nyingiNafikiri hamuelewani mwenzako anazungumzia 25ML USD Wwe unazungumzia 847Ml TSH.
HIZO NI PESA MBILI TOFAUTI KABISA!! 25ML USD Ni hela ndefu haswa!!
Kama unayo 847 ml USD ni sawa na mtu anazungumzia katibia 2 trilllion Tsh
View attachment 2463785
Mpesa USD 1.32 Mil.... hii statement in walakini
Ndyooo mbna walio mla wote wana ukwasi kias fulaani. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Nasikia Wema ananyota,ukifanikiwa kumlaa basi na mambo yako lazima yanyooke,eti ni kweli [emoji23][emoji23][emoji23]
Acha Makasiriko JombaaAisee usiwaine tu watu Instagram ukawachukulia poa, jamaa huyu huwa anatoka sana na wadada wa Bongo movie, na picha yake akila romance na Wema ilivuja na kumpa umaarufu mkubwa.
Huyu jamaa PCK amekuwa na urafiki na Mastaa wengi na ni mfanyabiashara , ana miliki maduka ya simu, hotel, show room etc.
Kilichonishangaza Leo, ameandika Instagram kuomba msaada Kwa mama Samia, wamezuia bilioni 57 zake zolizondani ya kcb bank, nimejiuliza kiasi kikubwa namna hii Cha pesa kapata wapi.
Pia anadai makonda alimuua masogange Kwa ajili ya bilioni 12, pia anadai makonda alimzurumu range Rover lake . Sasa kama huyu mtu wa kawaida tu ana mihela yote haya, dah hii nchi, kazipataje bilioni 57?
Kumbe ndomana bongo movie wanampenda.
View attachment 2463384View attachment 2463385View attachment 2463386
Helcopter 700M zipo banaSio pesa ya kusumbua hio japokuwa Sina ,, hio pesa hata helcopter nayotaka hainunui so ni uchafu tu hella ya mboga hio nb Sina hata 1b Nina hasira tu
Labda Kama ile Ya Yule Mlamba AsaliHelcopter 700M zipo bana
Haiwezekani wewe.... huwezi kumove 1.32 mil usd kwenda Mpesa Kenya... huyu tapeli, hiyo statement ya uongo.Voda wanaweza sema ndugu mteja Ni umevurugwa au
Matrack?Unaeza panga matracko yako Kama huna magari
ChaiDooh pesa kidogo vile,
Kuna Mzee mmoja Anaitwa JOHN BUKUNE kipindi Cha Rais MAGUFUL huyobwana walimkuta na mabilion ya fedha kweny account had magu akashangaa.
Ikabidi alipie Kodi sjui ilkua Kodi ya Nini Ile, kama One billion.
huyu jamaa kila mwaka hupewa zawadi ya gari kama mwanachma mkubwa WA NMB wilaya ya kahama.
Imetengenezwa na alitengeneza hajatumia akili.View attachment 2463785
Mpesa USD 1.32 Mil.... hii statement in walakini
Wanaanzaje kuguswaaa?? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Pili yaonesha uongo sababu ya alignment kwenye hiyo 1.32mil angalia alignment haijakaa sawa na zingineView attachment 2463785
Mpesa USD 1.32 Mil.... hii statement in walakini
Aisee usiwaine tu watu Instagram ukawachukulia poa, jamaa huyu huwa anatoka sana na wadada wa Bongo movie, na picha yake akila romance na Wema ilivuja na kumpa umaarufu mkubwa.
Huyu jamaa PCK amekuwa na urafiki na Mastaa wengi na ni mfanyabiashara , ana miliki maduka ya simu, hotel, show room etc.
Kilichonishangaza Leo, ameandika Instagram kuomba msaada Kwa mama Samia, wamezuia bilioni 57 zake zolizondani ya kcb bank, nimejiuliza kiasi kikubwa namna hii Cha pesa kapata wapi.
Pia anadai makonda alimuua masogange Kwa ajili ya bilioni 12, pia anadai makonda alimzurumu range Rover lake . Sasa kama huyu mtu wa kawaida tu ana mihela yote haya, dah hii nchi, kazipataje bilioni 57?
Kumbe ndomana bongo movie wanampenda.
View attachment 2463384View attachment 2463385
Shida ni mashaka na mismala anatofanya na vyanzo. Hao ni FIU watakuwa wamezuia kupisha uchunguziAisee usiwaine tu watu Instagram ukawachukulia poa, jamaa huyu huwa anatoka sana na wadada wa Bongo movie, na picha yake akila romance na Wema ilivuja na kumpa umaarufu mkubwa.
Huyu jamaa PCK amekuwa na urafiki na Mastaa wengi na ni mfanyabiashara , ana miliki maduka ya simu, hotel, show room etc.
Kilichonishangaza Leo, ameandika Instagram kuomba msaada Kwa mama Samia, wamezuia bilioni 57 zake zolizondani ya kcb bank, nimejiuliza kiasi kikubwa namna hii Cha pesa kapata wapi.
Pia anadai makonda alimuua masogange Kwa ajili ya bilioni 12, pia anadai makonda alimzurumu range Rover lake . Sasa kama huyu mtu wa kawaida tu ana mihela yote haya, dah hii nchi, kazipataje bilioni 57?
Kumbe ndomana bongo movie wanampenda.
View attachment 2463384View attachment 2463385View attachment 2463386
Hahaha sawa mkuu.Wanaanzaje kuguswaaa?? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Watoto pendwaaa.
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwa mkate