Huyu PCK ni nani? Ana Bil. 57 benki, TRA wamezuia akaunti yake

Huyu PCK ni nani? Ana Bil. 57 benki, TRA wamezuia akaunti yake

Wabongo tunachekeshaga sana,atakwambia 1b pesa ndogo wakati yeye hata 5m hajawahi kuishika na hata ukimpa hiyo 5m aizalishe hawezi ila nyuma ya key board wanaandika balaa mipango ya hela
Wanachukulia mambo poa poa, tuseme yeye kwake anayo io pesa au zaidi ya io lakini anasahau kwamba asilimia kubwa Tz hali zetu za kawaida sana.
 
Ambacho huelewi Nini ..Ni pesa hapo ziko converted to usd Sasa hio column uandike tzs itatosha kweli ...pesa zinazoenda kwa mtu zinafika in tsh Kama Ni huko Kenya Ni ksh kwa hio zidisha 20k kwa thamani ya dola
1672427662116.png

Mpesa USD 1.32 Mil.... hii statement in walakini
 
Sio pesa ya kusumbua hio japokuwa Sina ,, hio pesa hata helcopter nayotaka hainunui so ni uchafu tu hella ya mboga hio nb Sina hata 1b Nina hasira tu
[emoji3][emoji3]

Daah kazi nzito kweli sema ukafanikiwe kumiliki io helicopter, kwetu sisi ni pesa nyingi sana io.
 
Nafikiri hamuelewani mwenzako anazungumzia 25ML USD Wwe unazungumzia 847Ml TSH.

HIZO NI PESA MBILI TOFAUTI KABISA!! 25ML USD Ni hela ndefu haswa!!

Kama unayo 847 ml USD ni sawa na mtu anazungumzia katibia 2 trilllion Tsh
We ndo hujaelewa hakuna sehemu nimeandika 25m usd Bali nimeiconvert inakuja 47bil tzs ..nikasema Kama Sina Cha maana Sana na Ni mtu wa kawaida Nina 1b kasoro sio ajabu mtu mwenye bil 47 sijui 57 sishangai Sana japo Ni nyingi
 
Aisee usiwaine tu watu Instagram ukawachukulia poa, jamaa huyu huwa anatoka sana na wadada wa Bongo movie, na picha yake akila romance na Wema ilivuja na kumpa umaarufu mkubwa.

Huyu jamaa PCK amekuwa na urafiki na Mastaa wengi na ni mfanyabiashara , ana miliki maduka ya simu, hotel, show room etc.

Kilichonishangaza Leo, ameandika Instagram kuomba msaada Kwa mama Samia, wamezuia bilioni 57 zake zolizondani ya kcb bank, nimejiuliza kiasi kikubwa namna hii Cha pesa kapata wapi.

Pia anadai makonda alimuua masogange Kwa ajili ya bilioni 12, pia anadai makonda alimzurumu range Rover lake . Sasa kama huyu mtu wa kawaida tu ana mihela yote haya, dah hii nchi, kazipataje bilioni 57?

Kumbe ndomana bongo movie wanampenda.
View attachment 2463384View attachment 2463385View attachment 2463386
Acha Makasiriko Jombaa
Pesa zake acha ale maisha
 
Dooh pesa kidogo vile,
Kuna Mzee mmoja Anaitwa JOHN BUKUNE kipindi Cha Rais MAGUFUL huyobwana walimkuta na mabilion ya fedha kweny account had magu akashangaa.
Ikabidi alipie Kodi sjui ilkua Kodi ya Nini Ile, kama One billion.
huyu jamaa kila mwaka hupewa zawadi ya gari kama mwanachma mkubwa WA NMB wilaya ya kahama.
Chai

Sent from my SM-A013G using JamiiForums mobile app
 
Aisee usiwaine tu watu Instagram ukawachukulia poa, jamaa huyu huwa anatoka sana na wadada wa Bongo movie, na picha yake akila romance na Wema ilivuja na kumpa umaarufu mkubwa.

Huyu jamaa PCK amekuwa na urafiki na Mastaa wengi na ni mfanyabiashara , ana miliki maduka ya simu, hotel, show room etc.

Kilichonishangaza Leo, ameandika Instagram kuomba msaada Kwa mama Samia, wamezuia bilioni 57 zake zolizondani ya kcb bank, nimejiuliza kiasi kikubwa namna hii Cha pesa kapata wapi.

Pia anadai makonda alimuua masogange Kwa ajili ya bilioni 12, pia anadai makonda alimzurumu range Rover lake . Sasa kama huyu mtu wa kawaida tu ana mihela yote haya, dah hii nchi, kazipataje bilioni 57?

Kumbe ndomana bongo movie wanampenda.
View attachment 2463384View attachment 2463385
Aisee usiwaine tu watu Instagram ukawachukulia poa, jamaa huyu huwa anatoka sana na wadada wa Bongo movie, na picha yake akila romance na Wema ilivuja na kumpa umaarufu mkubwa.

Huyu jamaa PCK amekuwa na urafiki na Mastaa wengi na ni mfanyabiashara , ana miliki maduka ya simu, hotel, show room etc.

Kilichonishangaza Leo, ameandika Instagram kuomba msaada Kwa mama Samia, wamezuia bilioni 57 zake zolizondani ya kcb bank, nimejiuliza kiasi kikubwa namna hii Cha pesa kapata wapi.

Pia anadai makonda alimuua masogange Kwa ajili ya bilioni 12, pia anadai makonda alimzurumu range Rover lake . Sasa kama huyu mtu wa kawaida tu ana mihela yote haya, dah hii nchi, kazipataje bilioni 57?

Kumbe ndomana bongo movie wanampenda.
View attachment 2463384View attachment 2463385View attachment 2463386
Shida ni mashaka na mismala anatofanya na vyanzo. Hao ni FIU watakuwa wamezuia kupisha uchunguzi
 
Back
Top Bottom