Huyu PCK ni nani? Ana Bil. 57 benki, TRA wamezuia akaunti yake

bilioni 50 kwa maisha ya Sasa Ni fedha ndogo Sana.
Mkuu Ni unaota au

Ukiwa na 2b hufanyi kazi Tena Hadi unakufa Ni kula tu hio hela na familia yako


50bilions tzs

Ukiamua tumia laki kwa siku hio pesa utamaliza ndani ya miaka 1369, kifupi nyerere Toka mama yake hajazaliwa tu assume Bibi nyerere kwanzia mwaka ule angekuwa anatumia laki kila siku imagine those days laki Ni milion ngapi ya Sasa ..tutoe hio hesabu ibaki laki tu kwa siku ambapo hapo tunazungumzia mwaka 1830 labda Hadi Sasa Yani mama nyerere hajazaliwa Hadi akaja mzaa nyerere Hadi mwaka huu Kama wangekuwa hai wote hio 50bil wangekuwa hawajafikisha hata robo Yale kuila Ni pesa inayotosha kwa miaka 1369. Kwa hesabu ya laki per day

Kwa waliozaliwa 1970 hela inatosha kwanzia mwaka huo Hadi mwaka 3339😁 au utumie 1mil kila siku kwa miaka 136😁 embu ona tu namna Ni pesa nyingi
 
Alafu hii account ni ya shilingi

Kuna kitu anatuhadaa
 
Kwa akili yako mtu anayejitambua muoe wema simdharau wema Ila matendo yake ya nyuma yanamhukumu,

Alafu usimchukulie whozu poa
 
Kwa akili yako mtu anayejitambua muoe wema simdharau wema Ila matendo yake ya nyuma yanamhukumu,

Alafu usimchukulie whozu poa
Nimuoe mtu ambae nikienda xvid nakuta video yake akiliwa mate na kalisa wamejifunika shuka tu hakuna mtu anaweza Hilo hata iwe Ni 5yrs ago siku ya harusi uletewe video namna mke wako unamuoa 5yrs alivokua anakatikia ukuni na kuunyonya hutamuoa
 
Huyu kashakula miaka jela

Sent from my SO-01J using JamiiForums mobile app
Lkn bado anakula gudtym na deals nyingi kama kawa! Achana na pesa mzeee!

FilleZilla:
Rapa wa Marekani, mwigizaji na mtayarishaji 50 Cent, anasema hivi karibuni atatoa mfululizo wa filamu kulingana na mlaghai wa mtandao wa Nigeria aliyepatikana na hatia, Ramon Abass maarufu kama Hushpuppi.

Katika chapisho la Facebook siku ya Jumatano ambapo aliambatanisha picha za Hushpuppi, 50 Cent alisema alikuwa akifanya kazi kwenye mfululizo wa filamu unaozingatia hadithi ya Hushpuppi.

Aliandika, "Kwa matapeli wangu lazima nifanye hili. Mfululizo wa Hushpuppy unakuja hivi karibuni! GLG, Genge la Mwanga wa Kijani sikosei. #Bransoncognac #lecheminduroi #gunitfilmandtv.”
Hushpuppi alikamatwa huko Dubai, Umoja wa Falme za Kiarabu mwaka 2020 kwa kuwalaghai zaidi ya watu milioni 1.9 kutoka duniani kote wakiwemo Wamarekani.

Kufuatia kukamatwa kwake na polisi wa Dubai ambao walimkabidhi kwa Ofisi ya Shirikisho la Upelelezi, Hushpuppi alirejeshwa Marekani kwa kesi.
 
Nakunaliana na wewe hata mimi huyo unaemzungumzia nimeelewa code ,

Afafanue biashara gani amefanya hadi kuingiziwa $7m
 
Pck entertainment, bado unashangaa yuko karibu na wasanii?!
 
CgfghgýùqKawaulize waliozuia pesa zake

Haziwezi teseka maana sina njaa ndogo ndogo hapa nilipo nina mwaka na miezi kadhaa kama 6 hivi simjuhi mwanaume utaniambia nini? Dogo njaa ndogo ndogo ndo zinatesa wanawake sio mimi, kaa kwa kutulia.
Sasa wewe mwaka na miezi 6 humjui mwanaume. Si unajitesa mwenyewe 🙂 Maisha yanasonga mbele tu. Labda useme kwa spiritual reasons.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…