Mr kenice
JF-Expert Member
- Mar 15, 2022
- 4,260
- 7,033
Tupo na mwingine wanamuita Nzingu Shilinde, huyu ndo mkate kabisaaa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkuu Ni unaota aubilioni 50 kwa maisha ya Sasa Ni fedha ndogo Sana.
Alafu hii account ni ya shilingiAisee usiwaine tu watu Instagram ukawachukulia poa, jamaa huyu huwa anatoka sana na wadada wa Bongo movie, na picha yake akila romance na Wema ilivuja na kumpa umaarufu mkubwa.
Huyu jamaa PCK amekuwa na urafiki na Mastaa wengi na ni mfanyabiashara , ana miliki maduka ya simu, hotel, show room etc.
Kilichonishangaza Leo, ameandika Instagram kuomba msaada Kwa mama Samia, wamezuia bilioni 57 zake zolizondani ya kcb bank, nimejiuliza kiasi kikubwa namna hii Cha pesa kapata wapi.
Pia anadai makonda alimuua masogange Kwa ajili ya bilioni 12, pia anadai makonda alimzurumu range Rover lake . Sasa kama huyu mtu wa kawaida tu ana mihela yote haya, dah hii nchi, kazipataje bilioni 57?
Kumbe ndomana bongo movie wanampenda.
View attachment 2463384View attachment 2463385View attachment 2463386
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] kabisaaa.
Sio ninayotakaHelcopter 700M zipo bana
Kwa akili yako mtu anayejitambua muoe wema simdharau wema Ila matendo yake ya nyuma yanamhukumu,Huyu si ndo fyucha husband wa wema? Ila mastaa bana, wema unadate na mtu mwenye pesa kama huyu hata kama hatujui chanzo cha hizo pesa, basi mkiachana unajishusha thamani una date kale katoto sijui whozu sijui utitili gani si ubaki single tu ijulikane?
Kawaulize waliozuia pesa zakeNi hela ipi haramu kachukua
We inabidi uwe motivational speaker!Mbona pesa ndogo tu hio hata wewe ukiamua unazipata hasa ukiwa kwenye sekta ya madini. KILA wilaya nchini imejaa madini ni wewe tu
Nimuoe mtu ambae nikienda xvid nakuta video yake akiliwa mate na kalisa wamejifunika shuka tu hakuna mtu anaweza Hilo hata iwe Ni 5yrs ago siku ya harusi uletewe video namna mke wako unamuoa 5yrs alivokua anakatikia ukuni na kuunyonya hutamuoaKwa akili yako mtu anayejitambua muoe wema simdharau wema Ila matendo yake ya nyuma yanamhukumu,
Alafu usimchukulie whozu poa
Lkn bado anakula gudtym na deals nyingi kama kawa! Achana na pesa mzeee!
Hata akifika 45 ila aka maintain OQP hakuna cha kujuta huko mbele. Dereva tena mmmh hiyo ngumu kumezaOQP mwenzio amefika miaka 38 huku yupo yupo tu analia tu anafosi penzi na dereva wa boss wake🤣🤣🤣🤣
Nakunaliana na wewe hata mimi huyo unaemzungumzia nimeelewa code ,Kuandika rahisi sana....biashara unazijua au unaziskia? Eti crown,canter,LX 😃
Nilishafanya kazi bank na tulikua na mteja anamalori kama elfu 2 account yake kubwa ilikua bank kwetu alikua anagonga 20m USD balance na hapo anatenda kubeba tumbaku zote Tanzania. Halafu mtu wa showroom mbili za magari awe na ukwasi huo. Unajua faida kwenye kila gari huwa ni sh ngapi?
Account naona ya USD!Alafu hii account ni ya shilingi
Kuna kitu anatuhadaa
Haziwezi teseka maana sina njaa ndogo ndogo hapa nilipo nina mwaka na miezi kadhaa kama 6 hivi simjuhi mwanaume utaniambia nini? Dogo njaa ndogo ndogo ndo zinatesa wanawake sio mimi, kaa kwa kutulia.Kwa akili hizi, zitakazoteseka ni sehemu zako za siri.
Pck entertainment, bado unashangaa yuko karibu na wasanii?!Aisee usiwaine tu watu Instagram ukawachukulia poa, jamaa huyu huwa anatoka sana na wadada wa Bongo movie, na picha yake akila romance na Wema ilivuja na kumpa umaarufu mkubwa.
Huyu jamaa PCK amekuwa na urafiki na Mastaa wengi na ni mfanyabiashara , ana miliki maduka ya simu, hotel, show room etc.
Kilichonishangaza Leo, ameandika Instagram kuomba msaada Kwa mama Samia, wamezuia bilioni 57 zake zolizondani ya kcb bank, nimejiuliza kiasi kikubwa namna hii Cha pesa kapata wapi.
Pia anadai makonda alimuua masogange Kwa ajili ya bilioni 12, pia anadai makonda alimzurumu range Rover lake . Sasa kama huyu mtu wa kawaida tu ana mihela yote haya, dah hii nchi, kazipataje bilioni 57?
Kumbe ndomana bongo movie wanampenda.
View attachment 2463384View attachment 2463385View attachment 2463386
CgfghgýùqKawaulize waliozuia pesa zake
Sasa wewe mwaka na miezi 6 humjui mwanaume. Si unajitesa mwenyewe 🙂 Maisha yanasonga mbele tu. Labda useme kwa spiritual reasons.Haziwezi teseka maana sina njaa ndogo ndogo hapa nilipo nina mwaka na miezi kadhaa kama 6 hivi simjuhi mwanaume utaniambia nini? Dogo njaa ndogo ndogo ndo zinatesa wanawake sio mimi, kaa kwa kutulia.