Sambinyakwe kitololo
JF-Expert Member
- Nov 15, 2022
- 2,419
- 2,940
Haaahaaa[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Hayati kama hayati [emoji38][emoji38][emoji1787]
Magu naye alikuwa anashangaa nini? Huyu aliyerudisha noti hizi zilikwenda wapiNoDooh pesa kidogo vile,
Kuna Mzee mmoja Anaitwa JOHN BUKUNE kipindi Cha Rais MAGUFUL huyobwana walimkuta na mabilion ya fedha kweny account had magu akashangaa.
Ikabidi alipie Kodi sjui ilkua Kodi ya Nini Ile, kama One billion.
huyu jamaa kila mwaka hupewa zawadi ya gari kama mwanachma mkubwa WA NMB wilaya ya kahama.
Mimi tangu nikiwa mdogo sinaga hulka na wanaume.
Na ukiona mwanamke anateswa na mwanaume jua ni mvivu, mwanamke akiwa na vijipesa vidogo vidogo kama vi laki havikosi ndani kodi amelipa gesi kanunua, vinatumizi kanunua mwanaume wa kazi gani?
Imagine life span yetu Ni 75yrs kwa mbindeMagu naye alikuwa anashangaa nini? Huyu aliyerudisha noti hizi zilikwenda wapiView attachment 2464060
Sasa unafaida gani kuishi duniani kwa taabu?Imagine life span yetu Ni 75yrs kwa mbinde
Na watu wanakwiba mamilion why if tungekuwa tunaishi miaka 200
Haaa wapi kama ni tapeli ...basiiii kibali kesha pata kwa mama ...matatizo yake yote yatatatuliwa haraka sana tena wata muuliza kama ni kada wa ccm ,,kama siyo watampa ukada faster...watu kama hao ni kundi la singasinga na rostam wanapendwa sana ccm .Mbona pesa ndogo tu hio hata wewe ukiamua unazipata hasa ukiwa kwenye sekta ya madini. KILA wilaya nchini imejaa madini ni wewe tu
Enzi hizo ilimchukua muda gani kuchukua mzigo wote huo? Maswali alijibu mangapi? Maana B 3 si mchezo halafu unazipeleka nyumbani?Kuna mteja Kipindi cha Magufuli baada ya kuona jamaa anafuatilia sana akaenda bank ya Access akachomoa Billion zake tatu akaenda nazo nyumbani.
Flow ya bank iliyumba.
Uzuri jiwe hayupoHaaa wapi kama ni tapeli ...basiiii kibali kesha pata kwa mama ...matatizo yake yote yatatatuliwa haraka sana tena wata muuliza kama ni kada wa ccm ,,kama siyo watampa ukada faster...watu kama hao ni kundi la singasinga na rostam wanapendwa sana ccm .
Ila kama siyo tapeli wala muuza ngada basi chamoto kitampata lazima wamuoneshe rangi za sa100
True,wabongo wanawaza ngono mda mrefu kuliko kuwaza maendeleo, ngono uleta umasikiniNi pesa ndogo kwa CR7 pekee, Ila kwa wabongo ni nyingi aisee.
Bahati inatengenezwa kupitia ulimwengu wa rohoPamoja na aina za familia, urithi na bahati
Hiyo ndio duniaHizi tuhuma mbona kali sana? Anyway acha wafu wazike wafu wao, mtu ana bilioni 50 bank wengine tunawaza mchana unapitaje
Hiyo ni MPESA Kenya. Inapokea currencies za nje then kwako inaingia as Kshs.Account ya USD inatuma Mpesa
View attachment 2463645
Anyways.... kuwa na Bil 57 kwenye account sio kitu kidogo. Lazima uwe na shughuli inayoeleweka kweli kweli.
Una mdomo mchafu sana, ni hizo pesa mbuzi ulizonazo? Mwenye biliono 50+ hana mdomo mchafu, wewe unayejitapa una bilioni 1 una ongea kwa dharau kubwa hivi, ungekua na bilioni 50 si ndio ungenyea watu kichwani au hata kumuweka mama ako housegirl wako wa kufanya usafi kwenye jumba lakoUnaeza panga matracko yako Kama huna magari
Kumbe mzee Mwinyi anatakiwa kuwepo kwenye list ya matajir tz? Biashara zipi hizo anazomiliki?Nlishangaa ilitoka list humu matajiri wa Tz mzee Mwinyi hayupo. Dah manake ilibdi nichek walahi
How na nimerithi kwao ..Ni sawa na mo amuweke baba yake mfanyakazi na unajua alifanya kuendeleza tu Kama sio jitihada za baba ake mnyaturu Yule ningemuajiriUna mdomo mchafu sana, ni hizo pesa mbuzi ulizonazo? Mwenye biliono 50+ hana mdomo mchafu, wewe unayejitapa una bilioni 1 una ongea kwa dharau kubwa hivi, ungekua na bilioni 50 si ndio ungenyea watu kichwani au hata kumuweka mama ako housegirl wako wa kufanya usafi kwenye jumba lako
Hapana fifty atatumia lifestyles za jamaa kupresent struggles na harakati nyingine kuonyesha hali halisi ya dealers wanavyoishi...Ni kama alivyofanya kwenye power series kuna vipande alijaribu kufanya juu ya maisha ya pablo alipoishi akunga dots na kuonyesha connections zake zilivyokua na Mexico...Clips nyingine walikua engaged how na baadhi ya miji hapo USA 🇺🇸Anakula gudtym akiwa mfungwa au raia wa kawaida?
Katika mfululizo wa shows za 50 Cent, Hush ni moja kati ya waigizaji?
Sent from my SO-01J using JamiiForums mobile app
Ngoja mwaka upinduke...Kwa info zako nakuaminia. Hauna mbambambaaa
Kwani bado wanapaki madawa kwenye magari??Ngoja mwaka mpya uingie ntakuja na uzi maalum,kuhusu hizi yard za magari...
Stay tuned
Ova