Huyu PCK ni nani? Ana Bil. 57 benki, TRA wamezuia akaunti yake

Huyu PCK ni nani? Ana Bil. 57 benki, TRA wamezuia akaunti yake

NoDooh pesa kidogo vile,
Kuna Mzee mmoja Anaitwa JOHN BUKUNE kipindi Cha Rais MAGUFUL huyobwana walimkuta na mabilion ya fedha kweny account had magu akashangaa.
Ikabidi alipie Kodi sjui ilkua Kodi ya Nini Ile, kama One billion.
huyu jamaa kila mwaka hupewa zawadi ya gari kama mwanachma mkubwa WA NMB wilaya ya kahama.
Magu naye alikuwa anashangaa nini? Huyu aliyerudisha noti hizi zilikwenda wapi
Screenshot_20221231-083037.png
 
Katerero unaitoa na laki🤔 mkuu katerero ngoma inaruka Hadi kwa sealing board thamni yake Ni zaidi ya 1milion bila value added tax

Bado Kuna kitu unakikosa mrembo
Mimi tangu nikiwa mdogo sinaga hulka na wanaume.
Na ukiona mwanamke anateswa na mwanaume jua ni mvivu, mwanamke akiwa na vijipesa vidogo vidogo kama vi laki havikosi ndani kodi amelipa gesi kanunua, vinatumizi kanunua mwanaume wa kazi gani?
 
Mbona pesa ndogo tu hio hata wewe ukiamua unazipata hasa ukiwa kwenye sekta ya madini. KILA wilaya nchini imejaa madini ni wewe tu
Haaa wapi kama ni tapeli ...basiiii kibali kesha pata kwa mama ...matatizo yake yote yatatatuliwa haraka sana tena wata muuliza kama ni kada wa ccm ,,kama siyo watampa ukada faster...watu kama hao ni kundi la singasinga na rostam wanapendwa sana ccm .
Ila kama siyo tapeli wala muuza ngada basi chamoto kitampata lazima wamuoneshe rangi za sa100
 
Kuna mteja Kipindi cha Magufuli baada ya kuona jamaa anafuatilia sana akaenda bank ya Access akachomoa Billion zake tatu akaenda nazo nyumbani.

Flow ya bank iliyumba.
Enzi hizo ilimchukua muda gani kuchukua mzigo wote huo? Maswali alijibu mangapi? Maana B 3 si mchezo halafu unazipeleka nyumbani?
 
Haaa wapi kama ni tapeli ...basiiii kibali kesha pata kwa mama ...matatizo yake yote yatatatuliwa haraka sana tena wata muuliza kama ni kada wa ccm ,,kama siyo watampa ukada faster...watu kama hao ni kundi la singasinga na rostam wanapendwa sana ccm .
Ila kama siyo tapeli wala muuza ngada basi chamoto kitampata lazima wamuoneshe rangi za sa100
Uzuri jiwe hayupo
 
Unaeza panga matracko yako Kama huna magari
Una mdomo mchafu sana, ni hizo pesa mbuzi ulizonazo? Mwenye biliono 50+ hana mdomo mchafu, wewe unayejitapa una bilioni 1 una ongea kwa dharau kubwa hivi, ungekua na bilioni 50 si ndio ungenyea watu kichwani au hata kumuweka mama ako housegirl wako wa kufanya usafi kwenye jumba lako
 
Una mdomo mchafu sana, ni hizo pesa mbuzi ulizonazo? Mwenye biliono 50+ hana mdomo mchafu, wewe unayejitapa una bilioni 1 una ongea kwa dharau kubwa hivi, ungekua na bilioni 50 si ndio ungenyea watu kichwani au hata kumuweka mama ako housegirl wako wa kufanya usafi kwenye jumba lako
How na nimerithi kwao ..Ni sawa na mo amuweke baba yake mfanyakazi na unajua alifanya kuendeleza tu Kama sio jitihada za baba ake mnyaturu Yule ningemuajiri
 
Hivi TRA hawajui Kama Kuna watu tumezaliwa na bahati zetu Sasa Kama umeokota pesa Bado watataka Kodi , umeokota tanzanite ya billion Bado watataka Kodi ifikie hatua tusiweke pesa bank

Pesa zangu nataka zivuta kidogo kidogo Hadi ziishe
 
Anakula gudtym akiwa mfungwa au raia wa kawaida?

Katika mfululizo wa shows za 50 Cent, Hush ni moja kati ya waigizaji?




Sent from my SO-01J using JamiiForums mobile app
Hapana fifty atatumia lifestyles za jamaa kupresent struggles na harakati nyingine kuonyesha hali halisi ya dealers wanavyoishi...Ni kama alivyofanya kwenye power series kuna vipande alijaribu kufanya juu ya maisha ya pablo alipoishi akunga dots na kuonyesha connections zake zilivyokua na Mexico...Clips nyingine walikua engaged how na baadhi ya miji hapo USA 🇺🇸
 
Back
Top Bottom