Don Vill
JF-Expert Member
- May 4, 2020
- 2,249
- 5,674
Lorry 2000 si mchezo we jamaa , na sidhani kama Tz kuna mtu au kampuni yenye freight lorries 2000 , hata yule Mhindi anayeitwa Bhanji ambaye ni contractor WA usafirishaji wa bidhaa za viwandani, kwenye migodi nk hana malori 2000 na ana malori mengi kama utitiri nchi hii ,hizo lorry 2000 Hana ,sembuse hao wengine ?
Usangu logistics wanaweza kuwa nazo hizi.