Huyu PCK ni nani? Ana Bil. 57 benki, TRA wamezuia akaunti yake

Huyu PCK ni nani? Ana Bil. 57 benki, TRA wamezuia akaunti yake

Watu hatusomagi yale maelezo nyuma ya account opening form. Nakumbuka kuna mzungu mmoja nilikuaga namfungulia account akaomba aondoke na forms kwanza. Kesho yake akaja ame underline baadhi ya vipengele anataka ufafanuzi. Nikamuelezea ila vingine vikawa vigumu nikaipangua nikampeleka kwa boss wangu maana mi pia nilikua sijawahi kusoma nilijibu kwa experience tu

Vilikuwa vinasemaje?
 
Kilichopo tra linatakiwa liwe reflected na utajiri wako. Yaani ukiwa na let say 1000M Basi tra angalau uwe umelipa si chini 200M. Kuna Ile vat ama mapato. Kila buku uipatayo ya serikali Ni 180 wanakula Bata . Huku wao utajiri ama wizi wao hawalipi Kodi hata salalry zao zipo tax free

salary zipi zipo tax free tena jamani??? kwamba wafanyakazi wa TRA hawakatwi PAYE kwenye salary zao[emoji81][emoji81][emoji81]

"hii nchi uhuru umezidi"[emoji38][emoji38][emoji38]
 
Hapo kwenye B 50 T$h ni hela ndogo, hapana hapana tuache utani io pesa ni nyingi au umemaanisha ni ndogo kwa kina mo, bakhresa, rostam.

Tuache kuchukulia mambo poa poa, ukiwa na 1B T$h unahesabika ni moja wa ma millionaire duniani.
Milionea wa Masanzakona labda , millionaire ni mtu ambaye ana bilioni 2.3 tshs ambayo ni equivalent na 1M USD na mara nyingi wanaziquantify katika assets na si cash kama wengi mnavyodhani humu ,cash sio asset ,cash ni liability tu ambayo muda wowote inapotea .
 
Milionea wa Masanzakona labda , millionaire ni mtu ambaye ana bilioni 2.3 tshs ambayo ni equivalent na 1M USD na mara nyingi wanaziquantify katika assets na si cash kama wengi mnavyodhani humu ,cash sio asset ,cash ni liability tu ambayo muda wowote inapotea .
Watanzania wanaomiliki $1M or 2.5Bn tzs money tunaweza fika wangapi labda
 
Ila huu mkeka wa huyu jamaa umenifanya nijisikie hopeless sana.., mtafanya watu tuanze kuuza madawa ya kulevya jamani, hii mikeka yenu msiwe mnaiweka hadharani bhana, mi najionaga nina pesa, kumbe hamna kitu kabisa aisee ,daaah, mnatupa msongo wa mawazo

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Huyu si ndo fyucha husband wa wema? Ila mastaa bana, wema unadate na mtu mwenye pesa kama huyu hata kama hatujui chanzo cha hizo pesa, basi mkiachana unajishusha thamani una date kale katoto sijui whozu sijui utitili gani si ubaki single tu ijulikane?
Thaman yako ipo kwenye ubinadamu wako, ukiwa na mentaliy yako ya kujigeuza bidhaa utakuja kununuliwa, utumiwe , uachwe halafu baadaye uanze kulalamika umechezewa.
 
Kuandika rahisi sana....biashara unazijua au unaziskia? Eti crown,canter,LX [emoji2]
Nilishafanya kazi bank na tulikua na mteja anamalori kama elfu 2 account yake kubwa ilikua bank kwetu alikua anagonga 20m USD balance na hapo anatenda kubeba tumbaku zote Tanzania. Halafu mtu wa showroom mbili za magari awe na ukwasi huo. Unajua faida kwenye kila gari huwa ni sh ngapi?
Atakuwa Singa wa ATT Tabora nini huyo?
 
Sina idadi kamili ,ila nina uhakika idadi iliyopo ni ndogo na imetawaliwa na wageni kutoka ulaya ,Asia na kwingineko ,wazawa wapo pia ila wachache .
Watanzania wanaomiliki $1M or 2.5Bn tzs money tunaweza fika wangapi labda
 
Mbona pesa ndogo tu hio hata wewe ukiamua unazipata hasa ukiwa kwenye sekta ya madini. KILA wilaya nchini imejaa madini ni wewe tu
Hizi hela ni nyingi dollar million 25 unaita hela kidogo😆😆.
Acha utani bana, mtu anaweza fikiri wewe una dollar 200 M. Wakati wanaume wote NBC wanagombea milioni 700 ya bongo.
 
Lorry 2000 si mchezo we jamaa , na sidhani kama Tz kuna mtu au kampuni yenye freight lorries 2000 , hata yule Mhindi anayeitwa Bhanji ambaye ni contractor WA usafirishaji wa bidhaa za viwandani, kwenye migodi nk hana malori 2000 na ana malori mengi kama utitiri nchi hii ,hizo lorry 2000 Hana ,sembuse hao wengine ?
Kiwete ana lorry za haja.
 
Hii bank statement ni ya kufoji. Angalia font type na size ya “USD” kwa kulinganisha na true font ya statement . Utaona herufi “U”, “S” na “D” font yake siyo sawa na herufi hizo hizo sehemu nyingine kwenye statement. Safe to say, hii ni account ya Tshs.
Statement ni ya kuforge, hata charges hazimake sense.

  • Balance enquiry charge USD 30 (TZS 70,000 kuuliza salio)???
  • Kuna MPESA withdrawal ya USD 70,000 (TZS 166,000,000)???
  • Card Payment ya USD 100,000 (TZS 237,200,000)??? - Hakuna benki ya Tanzania yenye limit hizi hata kwa Credit cards za juu kabisa. Hata kwa nchi kama US ukiwa na AMEX Black Card huwezi kutumia hii amount bila prior authorization.

Tujifunze basics hata za kusoma statement. Hapo kama ni tapeli ataondoka na wengi maana wengi wanaamini kwamba ana pesa kutokana na miamala hiyo, halafu atafuata watu wamkopeshe wakiamini pesa zimezuiliwa kwa muda kisha atapotea.

KCB Bank wachunguze na watoe statement la sivyo watalia wengi
 
Back
Top Bottom