Dejane
JF-Expert Member
- Jan 1, 2014
- 50,587
- 71,492
Watu hatusomagi yale maelezo nyuma ya account opening form. Nakumbuka kuna mzungu mmoja nilikuaga namfungulia account akaomba aondoke na forms kwanza. Kesho yake akaja ame underline baadhi ya vipengele anataka ufafanuzi. Nikamuelezea ila vingine vikawa vigumu nikaipangua nikampeleka kwa boss wangu maana mi pia nilikua sijawahi kusoma nilijibu kwa experience tu
Vilikuwa vinasemaje?