Huyu PCK ni nani? Ana Bil. 57 benki, TRA wamezuia akaunti yake

Wewe ni Great thinker JF, wabongo wengi hawachunguzi mambo kwa kina.
 
Alafu wengi ni swala 5
 
Umri wake je?
Ukiacha Mme wako uliyesota naye , Kwa Mwanamke walu walu na mdangaji thaman yake Kwenye macho ya wanaume maximum ni 45 yrs( na hapo ana vijisent vya kujipodoa) ..... , baada ya hapo Kama ana vijisent atakuwa anajibebisha Kwa wahuni wazee wa hit and run , miez sita mingi wanachora , Ku_ma huwa zinazeeka
 
Yani jamii forums kweli great thinkers ni wachache mno, naona watu wachache tu huko juu walibaini kuhoji kua hio statement iko edited, wengi wamechukuliwa kirahisi sana, mtu unaona kabisa transaction ya 1.2M USD kwenda mpesa kenya af unaamini amini kirahisi, jifunzeni wakuu.
 
Na ndo mana wabongo wengi wanatepeliwa kila siku kirahisi, yani kuwachukua ni rahisi mno.
 
Fake hiyo
 

Attachments

  • Screenshot_20230101-110933_Instagram.jpg
    92.4 KB · Views: 4
Hashpuppi in making, ngoja abanwe kende atataja alipozikwapua hizo billion 57, bora angeenda kuziweka uswizi huko sio bongo hii lazima wambane, na mpaka wanamtia komeo inamaana wamemfuatilia vya kutosha kwa kipindi kirefu na mafaili yake wanayo bila yeye kujijua kua anafuatiliwa kimya kimya,

Wabongo akili viazi kweli unaiba na kutapeli alafu pesa unaenda kuziweka bank, chimba kisima futi 12 kwenda chini ndani zipack uko tia password ya maisha hakuna atakaejua wapi umeficha mabillion mpaka siku wezi wakuvamie, get rich or die trying Ila usifuche pesa za wizi na utapeli bank kila senti unayoiweka mamlaka inaziangalia kwa jicho la kuzichukua na kuzitaifisha kisha ikufungulie kesi ya kutakatisha fedha na uhujumu uchumi

Cc: Cyril Ramaphosa
 
Mkuu hicho kisima utachimba mwenywe? Hamna fundi hakuna utakaemshughulisha? Naona unachukulia kirahisi tu kwamba hamna atakaejua
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…