glory to yhwh
JF-Expert Member
- Jul 11, 2013
- 1,026
- 1,401
Na kufuga majini UMUGHAKA anaweza kulidhibitisha hiliJamaa ana bil 57 bank ila Kuna wale washamba million 100 tu utasikia kwetu matajiri..mara walishe mbwa burger mara hivi ushamba mzigo .
Watu wa Pwani haswa zanzibar Wana madili ya hatar wanapiga pesa ila hata kujionyesha ni ngumu sana ...wengi ni dili haramu kama kawaida wanauza mpaka unga ila ngumu sana kuwajua kama wana pesa.
Inaandikwa fear kweli mkuu?😓😓Kweli life sio fear, wakati wengine hapa hatuna ata mia mfukoni just imagine mwana wa mai😁
wewe una kiasi gani Bank? Tuanzie hapo.Mbona pesa ndogo tu hio hata wewe ukiamua unazipata hasa ukiwa kwenye sekta ya madini. KILA wilaya nchini imejaa madini ni wewe tu
Account inasoma sifuriwewe una kiasi gani Bank? Tuanzie hapo.
Alipo kata tu ndio akapoteza mvuto kbsa kbsaa dah anatisha ukimuona
Kwenye mind tu[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23], Nipe ramani tunaanzia wapi
Kwa nini alikata utumbo? Hivi hajui kuwa mbinguni hakuna hoteli?
Matapeli wamedhulumianaHizi tuhuma mbona kali sana? Anyway acha wafu wazike wafu wao, mtu ana bilioni 50 bank wengine tunawaza mchana unapitaje
Ukiwa ccm unakuwa na hela.Kweli life sio fear, wakati wengine hapa hatuna ata mia mfukoni just imagine mwana wa mai😁
Pesa haramu??Jamaa ana bil 57 bank ila Kuna wale washamba million 100 tu utasikia kwetu matajiri..mara walishe mbwa burger mara hivi ushamba mzigo .
Watu wa Pwani haswa zanzibar Wana madili ya hatar wanapiga pesa ila hata kujionyesha ni ngumu sana ...wengi ni dili haramu kama kawaida wanauza mpaka unga ila ngumu sana kuwajua kama wana pesa.
Unadhani ata English najua mkuu basi tu kuigaInaandikwa fear kweli mkuu?😓😓
Na kufuga majini UMUGHAKA anaweza kulidhibitisha hili
Nilidhasema jmn kina manara ,babalevel wachungweze jmn siyo sawa Hali ya ufisadi inaua dhamani ya pesa yetu
Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
Sio bongo tu hata U.S,25 miliion dollar hio unaishi downtown Maryland bila kazi yeyote hadi unakufa na mzigo hauishiInategemea na unapambana vipi mzee kufikisha B57 usichukulie kitoto kwa hii life ya kibongo aisee
Mnadate watu au mnadate pesa?Huyu si ndo fyucha husband wa wema? Ila mastaa bana, wema unadate na mtu mwenye pesa kama huyu hata kama hatujui chanzo cha hizo pesa, basi mkiachana unajishusha thamani una date kale katoto sijui whozu sijui utitili gani si ubaki single tu ijulikane?
Huu ni upumbavu wanazuiaje pesa za mtu kirahisi sana hao TRA ni wachawi sana, hio pesa muhimu sana kwa uchumi wa nchi hasa mzunguko wetu wa pesaAisee usiwaine tu watu Instagram ukawachukulia poa, jamaa huyu huwa anatoka sana na wadada wa Bongo movie, na picha yake akila romance na Wema ilivuja na kumpa umaarufu mkubwa.
Huyu jamaa PCK amekuwa na urafiki na Mastaa wengi na ni mfanyabiashara , ana miliki maduka ya simu, hotel, show room etc.
Kilichonishangaza Leo , ameandika Instagram kuomba msaada Kwa mama Samia, wamezuia bilioni 57 zake zolizondani ya kcb bank, nimejiuliza kiasi kikubwa namna hii Cha pesa kapata wapi.
Pia anadai makonda alimuua masogange Kwa ajili ya bilioni 12, pia anadai makonda alimzurumu range Rover lake . Sasa kama huyu mtu wa kawaida tu ana mihela yote haya, dah hii nchi, kazipataje bilioni 57?
Kumbe ndomana bongo movie wanampenda.
View attachment 2463384View attachment 2463385View attachment 2463386