Sambinyakwe kitololo
JF-Expert Member
- Nov 15, 2022
- 2,419
- 2,940
Kutakatisha Ni kufanyajeIla hizi showrooms za magari baadhi huwa nahisi ni kichaka cha kutakatishia pesa.
Ipo moja ya wadosi wanapokea cash pekee hakuna kulipia bank,wataku-escot kufuata pesa zako bank (ukitaka) ila za kwao uje uwape mkononi yard kwao.
Hahaha Huyo ndiyo Bob Sambeke Jr Bilioea wa Moshi.JF JF [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Yote heri ..Kwan Elon musk Ana miaka mingapi na Ana pesa ngapi huyo pck hata aishi miaka 200 hawez fikisha pesa ya kununua tu twitter iliotumikaMwemzio ana 45yrs ana 57bn. Utaifikisha ukiwa na miaka 90
Kuhusu Masogange?Huyu huenda anatumika na cartel fulani au anatumika kufadhili baadhi ya mambo hatarishi maana miamala iko wazi kabisa mara mpesa mara ATM withdrawal....wanajificha kwenye migongo ya biashara hizo za magari na vituo vya yatima. Kaisha huyo aisee iko wazi kabisa,halafu alivyo na akili ndogo ishu confidential za bank statement anaweka Instagram....hakuna mfanya biashara mkubwa anaesotea hela afanye huo upuuzi. Hili jamaa linatumika tu ndo mana hata akili halina
Tafiti zinaonesha wenzetu waislam waioshika dini kweli walio wengi ni waaminifu sana ukilinganisha na idadi ya waaminifu kwa upande wa pili. uaminifu kuanzia kwenye mahusiano, Biashara, kazi etc. Sio watu wa tamaa za kijinga!!!Watu wa Pwani haswa zanzibar Wana madili ya hatar wanapiga pesa ila hata kujionyesha ni ngumu sana
Kuandika rahisi sana....biashara unazijua au unaziskia? Eti crown,canter,LX 😃Huamini ninaweza kuwa na 847m 🏦 bank
Hivi show room Kuna crown za 2012 na 2014 ngapi na alphard ngapi na canter ngap , horse mbili za scania 124 na magari mengine ..show room ingine Kuna LX cruiser na cruiser 76 series Ni Bei gani hizo Kama unafahamu mixer magari mengine madogo dogo Ni pesa ngapi hizo hadi bank ushindwe kwa na 800m plus
Haya Bado wenye ma bus hao kina abood nk bus moja Ni sh ngapi na analeta ngapi .. imagine 430m+ na zinakuja bus 16 ..equal to 6.8bil unahisi bank anabaki na sh ngapi hapo unahisi anaweza toa 7b abaki na 1B bank?
Wacha we!Pesa ndogo Sana hio am 32yrs na Nina 1B kasoro ..na sijulikani na mtu yoyote natembelea tu ka vanguard ..show room ya magari ziko mbili mikoa miwili tofauti
Pamoja na maduka ya nguo.Ila hizi showrooms za magari baadhi huwa nahisi ni kichaka cha kutakatishia pesa.
Ipo moja ya wadosi wanapokea cash pekee hakuna kulipia bank,wataku-escot kufuata pesa zako bank (ukitaka) ila za kwao uje uwape mkononi yard kwao.
Ndo wanaongoza kutoa ndogoTafiti zinaonesha wenzetu waislam waioshika dini kweli walio wengi ni waaminifu sana ukilinganisha na idadi ya waaminifu kwa upande wa pili. uaminifu kuanzia kwenye mahusiano, Biashara, kazi etc. Sio watu wa tamaa za kijinga!!!
Mie nimeshangaa kuweka hiyo bank statements hadharan lolHuyu huenda anatumika na cartel fulani au anatumika kufadhili baadhi ya mambo hatarishi maana miamala iko wazi kabisa mara mpesa mara ATM withdrawal....wanajificha kwenye migongo ya biashara hizo za magari na vituo vya yatima. Kaisha huyo aisee iko wazi kabisa,halafu alivyo na akili ndogo ishu confidential za bank statement anaweka Instagram....hakuna mfanya biashara mkubwa anaesotea hela afanye huo upuuzi. Hili jamaa linatumika tu ndo mana hata akili halina
Utashika nikiacha?Wacha we!
Uliza kwanza kwanini gateway ya madawa ya kulevya ni Zanzibar na Tanga huko kwa hao waaminifuTafiti zinaonesha wenzetu waislam waioshika dini kweli walio wengi ni waaminifu sana ukilinganisha na idadi ya waaminifu kwa upande wa pili. uaminifu kuanzia kwenye mahusiano, Biashara, kazi etc. Sio watu wa tamaa za kijinga!!!
Bila shakaUtashika nikiacha?
Hao wanatakatishaa pesa za officials wa serikal hao wala wasikutishe... Et ana show room.. bla bla. Hiv bil57 mchezo.. huyo anatakatisha pesa za viongoz wa burundi huyo kama sio ugandaInategemea na unapambana vipi mzee kufikisha B57 usichukulie kitoto kwa hii life ya kibongo aisee
Bro niungie ten kiongoziPesa ndogo Sana hio am 32yrs na Nina 1B kasoro ..na sijulikani na mtu yoyote natembelea tu ka vanguard ..show room ya magari ziko mbili mikoa miwili tofauti
Akili yako ndogo SanaKuandika rahisi sana....biashara unazijua au unaziskia? Eti crown,canter,LX 😃
Nilishafanya kazi bank na tulikua na mteja anamalori kama elfu 2 account yake kubwa ilikua bank kwetu alikua anagonga 20m USD balance na hapo anatenda kubeba tumbaku zote Tanzania. Halafu mtu wa showroom mbili za magari awe na ukwasi huo. Unajua faida kwenye kila gari huwa ni sh ngapi?