FlyingDutchman
JF-Expert Member
- Nov 17, 2022
- 399
- 794
Yeah, he lacks refined knowledge in finance regulationsKwahiyo kwa kuweka public umeelewa cash deposit ya $ 18m imetoka wapi na ni genuine au sio. Hiyo kajichomesha tu kwa upeo wake mdogo
Huwa nawaza nikipata 1 bil nile nilale tu bila job,sasa mjuba anazo 50 b lakin kila siku anahangaika kufatilia hesabu
Uongo mtupuTafiti zinaonesha wenzetu waislam waioshika dini kweli walio wengi ni waaminifu sana ukilinganisha na idadi ya waaminifu kwa upande wa pili. uaminifu kuanzia kwenye mahusiano, Biashara, kazi etc. Sio watu wa tamaa za kijinga!!!
Aisee kumbe ni hela ndefu sana🤣🤣🤣Bilioni moja kuimaliza sio kazi ndogo
Ukiwa unatumia laki moja kila siku, itakuchukua miaka zaidi ya 30 kuimaliza bilioni moja
Inaweza kuwa kweliHao wanatakatishaa pesa za officials wa serikal hao wala wasikutishe... Et ana show room.. bla bla. Hiv bil57 mchezo.. huyo anatakatisha pesa za viongoz wa burundi huyo kama sio uganda
Uliza kwanza kwanini gateway ya madawa ya kulevya ni Zanzibar na Tanga huko kwa hao waaminifu
ukweli ni upo bro?Uongo mtupu
Acha bana wabongo wanahonga hela ya nauli tu kwenda kuchakatwa na kurudi kwenu labda kwa mbaali na sabuni za kuogea hapo utajiri anapatajeYaan Wema angekua na akili sahv angekua mbali hata level ya Zari, mweeeeh ila sasa akili kisoda anaishia kujichetua na rapa feki wa chuga.
Sent using Jamii Forums mobile app
Hawa vijana wasio na hela na wasiojua kutafuta hela huwa wanachukulia pesa kitu rahisi sana. Achana naoKuandika rahisi sana....biashara unazijua au unaziskia? Eti crown,canter,LX 😃
Nilishafanya kazi bank na tulikua na mteja anamalori kama elfu 2 account yake kubwa ilikua bank kwetu alikua anagonga 20m USD balance na hapo anatenda kubeba tumbaku zote Tanzania. Halafu mtu wa showroom mbili za magari awe na ukwasi huo. Unajua faida kwenye kila gari huwa ni sh ngapi?
Achana na huyu jamaa haelewi. Watu wanamalori yanaenda nchi zote za kusini na bado yard inagari kibaoUsangu logistics wanaweza kuwa nazo hizi.
Unauliza kapataje bil 57 wakati ushasema ni mfanyabiashara?Aisee usiwaine tu watu Instagram ukawachukulia poa, jamaa huyu huwa anatoka sana na wadada wa Bongo movie, na picha yake akila romance na Wema ilivuja na kumpa umaarufu mkubwa.
Huyu jamaa PCK amekuwa na urafiki na Mastaa wengi na ni mfanyabiashara , ana miliki maduka ya simu, hotel, show room etc.
Kilichonishangaza Leo, ameandika Instagram kuomba msaada Kwa mama Samia, wamezuia bilioni 57 zake zolizondani ya kcb bank, nimejiuliza kiasi kikubwa namna hii Cha pesa kapata wapi.
Pia anadai makonda alimuua masogange Kwa ajili ya bilioni 12, pia anadai makonda alimzurumu range Rover lake . Sasa kama huyu mtu wa kawaida tu ana mihela yote haya, dah hii nchi, kazipataje bilioni 57?
Kumbe ndomana bongo movie wanampenda.
View attachment 2463384View attachment 2463385View attachment 2463386
Watu hatusomagi yale maelezo nyuma ya account opening form. Nakumbuka kuna mzungu mmoja nilikuaga namfungulia account akaomba aondoke na forms kwanza. Kesho yake akaja ame underline baadhi ya vipengele anataka ufafanuzi. Nikamuelezea ila vingine vikawa vigumu nikaipangua nikampeleka kwa boss wangu maana mi pia nilikua sijawahi kusoma nilijibu kwa experience tukabla ya kufungua account muombe maelezo kuhusu wewe na bank.
ukisoma yote unaacha kufungua account
Masikini wakisikia habari kama hizi wanafurahi sana. Watasema lolote baya ili roho zao zifurahie. Wakisikia una hela nyingi wanaanza kuulizana katoa wapi? Utapewa kila aina ya biashara mbaya utafikiri itapunguza ugumu wa wao kuishi yaani kupata hela.Nilisikiaga ni tapeli, wanawauziaga wazungu dhahabu feki huko south Africa, nilisikiaga tu.
Hakuna tajiri anatoa pesa zake ovyo hamtaki kuua ndugu zenu mnataka pesa zetu kamuombe Mo kaki Kama atakupaHuna hela wewe 🤣
Na inaonekana hiyo ndio iliwashitua watuHuyu jamaa atakua fraudster na mtakatishaji pesa mkubwa wambane vizuri. 18m USD inakua deposited cash? Huyu ni mpigaji wamfuatilie vizuri
Haya hatukukwamishi tengeneza hio 100bilHawezi kuwa tapeli, asingekuwepo. LAZIMA atakuwa ni mtu anafanya biashara halali. KWA MFANO Mimi hapa nilipo, nisipopata mtu wa kunikwamisha, nikiamua tuseme kutengeneza business inipe hata Billion 100 ndani ya miaka michache sana ijayo, natengeneza hiyo biashara na Billion 100 nazikamata. TATIZO NI KUKWAMISHANA